LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mimi ni mdogo sana sikuwepo wakati tunapigana na Uganda ila moja kati ya vitu vilivyofanya tukashinda ni kuwa raia wa Uganda walitupokea kwa mikono miwili. Putin atashinda pambano lakini atapoteza vita. Ili kuifanya Ukraine iwe kwenye orbit ya Urusi, watahitaji kuwatawala. Kwa hali hii ambayo tayari watu milioni moja ni wakimbizi ni vigumu maana kila siku watasimulia watoto wao kwa nini waliikimbia Ukraine. Waisrael walitawanywa duniani miaka 2000 iliyopita lakini hawakuisahau ardhi yao. Nyumbani ni nyumbani tu. Direct confrotation inaacha alama za wazi. China atapata vikwazo vikubwa sana akiichukua Taiwan kwa nguvu. Bado capability yake kwenye vita haimfikii mmarekani. Ana jeshi kubwa lakini bado sio imara kihivyo. Lingekua imara angekua ameshaamua ugomvi wake na India kwa nguvu. Pia taiwan inajiimarisha kila siku. Kadiri anavyochelewa kuichukua ndio hivyo mambo yanazidi kuwa magumu. China anatiwa afikie uchumi wa consumer wake wawe na uwezo wa kutumia bidhaa inazozalisha. Mpaka leo uchumi wa china unategemea nguvu ya uwekezaji wa serikali kuendelea. Inatakiwa iondoke kuitegemea serikali kuinua uchumi mpaka mtu mmoja mmoja maana ndio wanunuzi wa bidhaa nyingi. Serikali huwa inanunua sana wakati wa vita na baada ya hapo ni wachache sana watafaidika. Pia ukitaka kujua nguvu ya wakimbizi chunguza Kagame aliingiaje madarakani?
 
Ni ujinga kumlazimisha mkeo akupende kwa kumpiga badala ya kumnunulia vitu vizuri. Hizi walifanya baba zetu na ndicho hicho Putin anakifanya
 
ni kweli history is written by the winners ingawa ukweli utabaki kuwa ukweli ndio maana leo hii amna anaedispute kuwa red army iliwakomboa hao jamaa kutoka kwa wanazi, lkn km ulivyoainisha kwe hii comment yako at the end of the day watu wamefanya maamuzi kulingana na maslahi yao na si ushabiki km yule ndugu anavyofikiri
 
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
 
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
Hahahaha...NATO waliofanya tathmini na kuona bora wakae pembeni wamekaa kimya lakini mkazi mmoja wa mchambawima anainua kishingo kweli maajabu hayaishi. Mwamba anamaliza kila ncha
 
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
Mnaodanganyana Urusi watu wanaandamana poleni sana.
Kwanza mnatuchanganya mnaposema Putin ni dictator huku kuna uhuru wa kuandamana. Ila mkumbuke tu Urusi hakuna maandamano hata Nyamizi analijua hili. Nchi za kijamaa hakuna maandamano na hakuna uchaguzi na wanaheshimu sana haki za binadamu
 
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
At the current state Putin has nothing to loose. Inteligensia ya marekani ina hofu na state ya mind yake kutokana na kujitenga kwa takribani miaka miwili toka Corona iiigie. Putin ameshacross the point of no return. Russia is in it whether they like or not. That man use to be pragmatic but logical sijui kwa nini ameshindwa kumanuva kama alivyofanya baada ya orange revolution ya 2004-2005. Hakuhitaji kwendan mabomu alihitaji kuwatuma SVR wakafanye mambo chini kwa chini. Wakati mwingine wanapandikizwa watoto kabisa. Direct conflict ina causalities nyingi mno.
 
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
Nyumbani kwake hawataki vita watu wanaandamana,ugenini wanawindwa na raia na wanajeshi wa Ukraine.

Upande mwingine anakabwa na vikwazo uchumi unazidi kuwa mbaya.

Kama ni mwanaume afanye hayo mauaji ya halaiki afu tuone mwisho wake.
Wewe ni nani?
ww si kinyangarakata tu huko uswaken.......
eti kinamuonya Putin..,..
gademshit
 
Ni ujinga kumlazimisha mkeo akupende kwa kumpiga badala ya kumnunulia vitu vizuri. Hizi walifanya baba zetu na ndicho hicho Putin anakifanya
yeah ingawa atafanikiwa kwa kiasi flan ila kuna limitations nyingi sana
 
ameshindwa kumanuva km 2004/05 coz jamaa walijitahidi sn kuziba zile loop hole maana baada ya ile coup ya 2014 jamaa walishajifunza na wakahakikisha state institutions zote zinakuwa na watu ambao ni pro west, ndio maana alikua akiishutumu sn ukraine kuwa ni racist, wanazi na wauaji.
 

Hakika.
 

Hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…