NYUNDO YA MOTO
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 5,360
- 17,002
Sasa marekani amsaidie Ukraine kama Nani wakat si mwanachama Wa NATO? Huyo Putin aguse nchi mojawapo ya NATO mfano Poland tuoneIt's not straight forward analysis kama unavyofanya. Yes NATO ni alliance yenye nguvu lakini ikitokea vita na Russia, which is very unlikely, wote watapoteza vibaya sana, it'll be deadly on both sides, Russia ana supersonic nuclear arsenals, na ana mabomu ya nuclear probably kuweza kuangamiza Dunia, sidhani kama NATO inaweza kwenda hiyo njia.
It's called balance of terror, jiulize tu kwann marekani haijapeleka wanajeshi kuisaidia Ukraine? Sababu ni very simple, they don't want to escalate the political tension wajikute kwenye vita na Russia.
Hicho kimedia kinamilikiwa na raia ea USA na ameamua kufanya maigizo(propaganda] ili kuihadaa dunia na wao wamefungiwa daima kufanya kazi katika nchi ya Urusi. Yeye ni moja ya wale waliopenyezwa na USA ili kuihujumu Urusi. Kiufupi leo umefurahia ila kesho watakapo chunwa ngozi utalia na kulalamika. Hukumu ya haini kwa nchi za kijamaa mnazijua na tutawaua mbele ya kamera ili muandike kwa uchungu NyamiziWaleta taarifa hapa wa Putin hawaleti zile za upinzani wa ndani kule Russia,pana Kituo kimoja cha TV wamerisign wafanyakazi wote Live on Camera baada ya kushutumu jinsi wanavyolazimishwa utoaji wa habari wenyewe wameita "Media Crackdown".Nimekuja hapa nione kama imeletwa,naambulia ma screen shot ya TBC ya Russia peke yake.
Aongezewe kuni za kutosha huko kuzimu ameua sana raia hadi Mungu kupitia taifa la Urusi amekuja kumteketeza mda huu. Mungu mwacheni aitwe MunguIn Ukraine, the former commander of the airborne assault mountain division of the guard, Major General Andrey Sukhovetsky, diedView attachment 2139352
Hatutaki jimbo lolote.mpaka sasa tuna vinu 2 vya kuzalisha umeme,bado vi 3 tu tuanze kuwauzia umeme wa ukraineWarusi wa Babati na Kateshi vip mpo tupeni habari ni mji gani hapo Ukrain wa maana mliofanikiwa kuukamata baada ya wiki moja na siku tatu za nyie kuanzisha vita
Aaaaah nacheka kama mazuri vile lakini daah warusi wa Hai mmepatwa na aibu sana kwa kweli kwa jinsi mlivyokuwaga mnajitapa kuwa mna jeshi lenye nguvu duniani na mmekutana na kipigo heavy kutoka kwa kitaifa kidogo kama Ukrain haya ni maajabu aisee
Urusi sasa mlipofikia hali ni mbaya zaidi ya kupiga tu mabomu ovyo ovyo na kupiga makazi ya Raia basi hakuna kingine cha maana mlichokipata kwenye hii vita mpaka sasa
Yaani ata jeshi lenu la anga ni mdebwedo kweli kweli , jeshi la majini ndo usiseme kabisa yote tisa kumi ni jeahi la ardhini kila likiiinua mguu linakula kipondo heavy kil likisogeza pua linakuala kipondo cha kufa mtu na ndo maana mpKa sasa mmeshindwa kufanya advancement ya maana yoyote ile
Kwa Putin hamna mashoga?.Hapa naona tu Ubishi wa Team Mashoga vs Putin
👍Hayuko strategic ok anatengeneza buffer zone ni kweli ila hata akishika bandari wakati vikwazo vya kimataifa vipo itamsaidia nini zaidi ya kuwa buffer zone tu ndani ya Ukraine?
Wakati yeye anatengeneza physical buffer zone Ukraine wenzie west wanatengeneza buffer zones za political,economical ,Financial etc za warusi wote wakubwa na wadogo ,matajiri na maskini kuto cross!!!
👍👍You can not create a lost glory. UK will always dream of becoming the empire it once was. Also Italy will dream about the time when Roman empire rulled the whole world. Seasons and time is not created by a mere human being. Putin will never be Stalin. He must know that everything happened for a reason. China was but a small country with the same GDP per capita with Tanzania merely 40 years ago. Today they are the behemoth that is threatining America. The same can be said of the Napoleon Bonaparte the greetest French dictator who rulled the restless Prussia with all its power. Time decide bro. There is nothing Putin will achieve in Ukraine. He will be isolated and the populace will turn against him in due time. He wont be able to invest in future hence he will be left behind by tge world that is progressing very fast.
Mrussi wa dongobeshi,vipi bado tu kyiv haijawa majivu 😎Wewe kila siku na mada yako moja jitahidi uchangamshe akili
Wanatoa mapovu hao ukiwauliza haya maswali,msubiri kiongozi wao Frustration anakuja na majibu muda si mrefu.Warusi wa Babati na Kateshi vip mpo tupeni habari ni mji gani hapo Ukrain wa maana mliofanikiwa kuukamata baada ya wiki moja na siku tatu za nyie kuanzisha vita
Aaaaah nacheka kama mazuri vile lakini daah warusi wa Hai mmepatwa na aibu sana kwa kweli kwa jinsi mlivyokuwaga mnajitapa kuwa mna jeshi lenye nguvu duniani na mmekutana na kipigo heavy kutoka kwa kitaifa kidogo kama Ukrain haya ni maajabu aisee
Urusi sasa mlipofikia hali ni mbaya zaidi ya kupiga tu mabomu ovyo ovyo na kupiga makazi ya Raia basi hakuna kingine cha maana mlichokipata kwenye hii vita mpaka sasa
Yaani ata jeshi lenu la anga ni mdebwedo kweli kweli , jeshi la majini ndo usiseme kabisa yote tisa kumi ni jeahi la ardhini kila likiiinua mguu linakula kipondo heavy kil likisogeza pua linakuala kipondo cha kufa mtu na ndo maana mpKa sasa mmeshindwa kufanya advancement ya maana yoyote ile
Mbona yale ya uharibifu wanayaacha Urusi ya faida wanaban, mbwa haoMeta said they will continue to do everything possible to restore the availability of Facebook for RussiansView attachment 2139347
Wew mwenyeweNimekuwa mfuatiliaji wa maoni ya watu mbalimbali juu ya huu mgogoro wa Ukraine na Urusi acha nami niandike kile ambacho naamini kwenye huu mgogoro.
Mapema kabisa Urusi ilipoanza mazoezi ya pamoja na Belarus, Washington ilionya kuwepo kwa uvamizi nchini Ukraine kutoka Urusi. Baadaye yakifanyika mazungumzo na ikaonekana Urusi amerudisha majeshi yake ila kauli ya siku zote ya Urusi alikuwa akisema "HATAKI VITA" shinikizo la kuchochea uvamizi lilikuwa linaendelea kutoka Magharibi na si Ukraine kwa maana Marekani alikuwa na taarifa juu ya kile ambacho Urusi inapanga juu ya Ukraine.
Putin anatangaza kuyatambua majimbo yaliyojitenga na kusema atapeleka majeshi kulinda raia na hatimaye anafanya hivyo na haishii kwenye majimbo tu aliyoyalenga anataka kung'oa serikali yote ya Ukraine na kupandikiza pandikizi lake pale. Majeshi ya Urusi yanaanza kusambaa kwenye maeneo mbalimbali ya nchi ya Ukraine. Upinzani umekuwa mkubwa sana kutwaa mji mkuu Kiev. Japo kwa wengi wanazungumza hili suala kishabiki sana kuliko kiuhalisia.
Ngome pekee ambayo imeonekana kuwa na nguvu nchini Ukraine ni kutwaa mji wa Kiev ambao ni makao makuu ya serikali na shughuli mbalimbali. Isingekuwa rahisi kwa Urusi kuchukua Kiev kama jinsi ambavyo Wamarekani wa Songwe na Warusi wa Ilula wanavyodhani. Baada ya uvamizi Zelensky alitangaza kuwapa silaha raia walinda nchi yao dhidi ya uvamizi wa Urusi na tumeendelea kuona idadi kubwa ya raia wakichukua silaha kwa ajili ya mapambano. Ukraine ni taifa lenye watu takribani milioni 42 na mji wa Kiev una watu wapatao milioni 2.7 (tuseme milioni 3)
Urusi iliandaa idadi ya wanajeshi wapatao laki moja na nusu hadi laki 2 kwa ajili ya operesheni/uvamizi huo. Idadi ya wanajeshi ambao Urusi ilipeleka Ukraine ni sawa kabisa na idadi ya wanajeshi wa Ukraine. Urusi ina wanajeshi wapatao laki 9. Nimeona media nyingi zinaandika kuwa asilimia 75 ya jeshi lipo Ukraine kitu ambacho wanashindwa kufafanua kuwa ni asilimia 75 ya wanajeshi walioandaliwa kwa ajili ya uvamizi/operesheni.
Urusi inapata shida kuuteka mji wa Kiev kutoka na aina ya mashambulizi waliyochagua au kile ambacho wameamua kufanya. Mji wenye raia milioni 3 usingekuwa mgumu kuwa mikononi mwa Urusi kama ingeamua kufanya MAUAJI ya halaiki ili kuhakikisha mji upo mikononi mwao hata kwa masaa 2 ama 5. Inawezekana na mataifa yote yanajua hivyo inawezekana Kiev kuwa chini ya Urusi kwa muda mfupi zaidi ya mbinu hii waliyotumia ya kupiga maeneo muhimu huku wakitaka raia kuondoka ili wapambane na majeshi ya Ukraine.
Kiev ingekuwa unakaliwa na wanajeshi pekee yake ni imani yangu kuwa hadi sasa Urusi ingekuwa imeteka mji huo na kuwa chini yake. Wengi tunaongea kushabiki na kushindwa kung'amua kwanini Urusi umeshindwa kuchukua mji huo hadi sasa. Jibu ni kuwa haitaki kuua raia na ingekuwa inataka kufanya hivyo idadi ya vifo ingekuwa mbaya sana huko Ukraine.
Siyo Marekani wala NATO wote wanajua uwezo wa kijeshi wa Urusi na hata wao wanajua Urusi hajatumia hata asilimia 40 ya uwezo wake wa kijeshi dhidi ya Ukraine ila kwa sababu ngozi za Waafrika ni nyeusi nasi tumemezwa na ushabiki tumeamua kugawana fimbo na kila mmoja anamchapa mwenzake kishabiki na si kiuhalisia.
Macron mapema leo ametoa pongezi kwa jeshi la Ukraine ila akakiri haoni kama watahimili nguvu za jeshi la Urusi siku za karibuni. Ni wazi wote wanajuana na wala Macron hajawaambia kinafiki anajua nini ambacho Urusi anacho. Laiti kama uwezo wake wa mashumbulizi ungekuwa umefika mwisho leo ungeziona nchi zenye nguvu kijeshi zikiibuka Ukraine moja kwa moja kuipiga Urusi ila wanajua Urusi ni nani na wameamua kumheshimu katika maamuzi yake ila wamebaki kupiga kelele na vikwazo.
Kwahiyo tunapolizungumza hili suala tusilichukulie kama malumbano ya Simba na Yanga maana haziumii nyasi huko Ukraine wanaumia watu hata kama ni wanajeshi wana familia zao. Hakuna familia inayotaka kuona inaletewa ndugu yao akiwa kwenye jeneza akiitwa shujaa.
Vladimir ameendelea kusisitiza na kusema nia yake kwa Urusi lazima itimie hata kama watafanya mazungumzo, yaani ni kuwa Urusi ili irudi nyuma ni lazima matakwa yake yasikilizwe jambo ambalo hakuna mtu au nchi itaenda mbele kuzuia uvamizi wa Urusi pale Ukraine, wataipa kichwa Ukraine ila hawataumia raia wa Ujerumani wala Canada bali wanatumia raia wa Ukraine na jeshi la Ukraine.
Urusi itafanya kile inacholenga juu ya Ukraine hata kama atamaliza mission akiwa kachoka kiuchumi ila lazima afanye na lazima atimize kile ambacho anaamini juu ya mgogoro huu. Huu si uvamizi wa kwanza kuonwa ukifanywa duniani na hata si mara ya kwanza kwa Urusi kufanya uvamizi wa aina hii. US ni kinara wa vamizi za aina hii ila hakuna siku kaonekana mbaya tumejaa unafiki wa kuikosoa Urusi na kuona ni taifa dhalimu na lenye ushetani ila tuition ya somo hili Urusi imelichukua kutoka kwa US na punde Uchina nayo itajifunza na Taiwan itatwaliwa.
Kwahiyo kama US alifanya dhidi ya wengine akaona ni sawa asinyenyuke kukemea masomo ambayo yeye mwenyewe ndiye mwalimu wake. Urusi atapoteza uchumi wake na kila aina huduma kutoka Ulaya na maeneo mengine duniani ila ili Urusi iwe na ukomavu wa leo na kesho NI LAZIMA AICHUKUE UKRAINE IWE ISIWE. ndicho ambacho Putin kamwambia Macron.
#MbaoZaMaweUshabiki na mihe
Wew mwenyewe una ushabiki umesema ule alofanya Putin s uvamiz na uko serious kabisa umeleta na story za marekan kuwa nae anavamiaga kwahiyo nawew umerud kwenye ushabik wa simba na yangaNimekuwa mfuatiliaji wa maoni ya watu mbalimbali juu ya huu mgogoro wa Ukraine na Urusi acha nami niandike kile ambacho naamini kwenye huu mgogoro.
Mapema kabisa Urusi ilipoanza mazoezi ya pamoja na Belarus, Washington ilionya kuwepo kwa uvamizi nchini Ukraine kutoka Urusi. Baadaye yakifanyika mazungumzo na ikaonekana Urusi amerudisha majeshi yake ila kauli ya siku zote ya Urusi alikuwa akisema "HATAKI VITA" shinikizo la kuchochea uvamizi lilikuwa linaendelea kutoka Magharibi na si Ukraine kwa maana Marekani alikuwa na taarifa juu ya kile ambacho Urusi inapanga juu ya Ukraine.
Putin anatangaza kuyatambua majimbo yaliyojitenga na kusema atapeleka majeshi kulinda raia na hatimaye anafanya hivyo na haishii kwenye majimbo tu aliyoyalenga anataka kung'oa serikali yote ya Ukraine na kupandikiza pandikizi lake pale. Majeshi ya Urusi yanaanza kusambaa kwenye maeneo mbalimbali ya nchi ya Ukraine. Upinzani umekuwa mkubwa sana kutwaa mji mkuu Kiev. Japo kwa wengi wanazungumza hili suala kishabiki sana kuliko kiuhalisia.
Ngome pekee ambayo imeonekana kuwa na nguvu nchini Ukraine ni kutwaa mji wa Kiev ambao ni makao makuu ya serikali na shughuli mbalimbali. Isingekuwa rahisi kwa Urusi kuchukua Kiev kama jinsi ambavyo Wamarekani wa Songwe na Warusi wa Ilula wanavyodhani. Baada ya uvamizi Zelensky alitangaza kuwapa silaha raia walinda nchi yao dhidi ya uvamizi wa Urusi na tumeendelea kuona idadi kubwa ya raia wakichukua silaha kwa ajili ya mapambano. Ukraine ni taifa lenye watu takribani milioni 42 na mji wa Kiev una watu wapatao milioni 2.7 (tuseme milioni 3)
Urusi iliandaa idadi ya wanajeshi wapatao laki moja na nusu hadi laki 2 kwa ajili ya operesheni/uvamizi huo. Idadi ya wanajeshi ambao Urusi ilipeleka Ukraine ni sawa kabisa na idadi ya wanajeshi wa Ukraine. Urusi ina wanajeshi wapatao laki 9. Nimeona media nyingi zinaandika kuwa asilimia 75 ya jeshi lipo Ukraine kitu ambacho wanashindwa kufafanua kuwa ni asilimia 75 ya wanajeshi walioandaliwa kwa ajili ya uvamizi/operesheni.
Urusi inapata shida kuuteka mji wa Kiev kutoka na aina ya mashambulizi waliyochagua au kile ambacho wameamua kufanya. Mji wenye raia milioni 3 usingekuwa mgumu kuwa mikononi mwa Urusi kama ingeamua kufanya MAUAJI ya halaiki ili kuhakikisha mji upo mikononi mwao hata kwa masaa 2 ama 5. Inawezekana na mataifa yote yanajua hivyo inawezekana Kiev kuwa chini ya Urusi kwa muda mfupi zaidi ya mbinu hii waliyotumia ya kupiga maeneo muhimu huku wakitaka raia kuondoka ili wapambane na majeshi ya Ukraine.
Kiev ingekuwa unakaliwa na wanajeshi pekee yake ni imani yangu kuwa hadi sasa Urusi ingekuwa imeteka mji huo na kuwa chini yake. Wengi tunaongea kushabiki na kushindwa kung'amua kwanini Urusi umeshindwa kuchukua mji huo hadi sasa. Jibu ni kuwa haitaki kuua raia na ingekuwa inataka kufanya hivyo idadi ya vifo ingekuwa mbaya sana huko Ukraine.
Siyo Marekani wala NATO wote wanajua uwezo wa kijeshi wa Urusi na hata wao wanajua Urusi hajatumia hata asilimia 40 ya uwezo wake wa kijeshi dhidi ya Ukraine ila kwa sababu ngozi za Waafrika ni nyeusi nasi tumemezwa na ushabiki tumeamua kugawana fimbo na kila mmoja anamchapa mwenzake kishabiki na si kiuhalisia.
Macron mapema leo ametoa pongezi kwa jeshi la Ukraine ila akakiri haoni kama watahimili nguvu za jeshi la Urusi siku za karibuni. Ni wazi wote wanajuana na wala Macron hajawaambia kinafiki anajua nini ambacho Urusi anacho. Laiti kama uwezo wake wa mashumbulizi ungekuwa umefika mwisho leo ungeziona nchi zenye nguvu kijeshi zikiibuka Ukraine moja kwa moja kuipiga Urusi ila wanajua Urusi ni nani na wameamua kumheshimu katika maamuzi yake ila wamebaki kupiga kelele na vikwazo.
Kwahiyo tunapolizungumza hili suala tusilichukulie kama malumbano ya Simba na Yanga maana haziumii nyasi huko Ukraine wanaumia watu hata kama ni wanajeshi wana familia zao. Hakuna familia inayotaka kuona inaletewa ndugu yao akiwa kwenye jeneza akiitwa shujaa.
Vladimir ameendelea kusisitiza na kusema nia yake kwa Urusi lazima itimie hata kama watafanya mazungumzo, yaani ni kuwa Urusi ili irudi nyuma ni lazima matakwa yake yasikilizwe jambo ambalo hakuna mtu au nchi itaenda mbele kuzuia uvamizi wa Urusi pale Ukraine, wataipa kichwa Ukraine ila hawataumia raia wa Ujerumani wala Canada bali wanatumia raia wa Ukraine na jeshi la Ukraine.
Urusi itafanya kile inacholenga juu ya Ukraine hata kama atamaliza mission akiwa kachoka kiuchumi ila lazima afanye na lazima atimize kile ambacho anaamini juu ya mgogoro huu. Huu si uvamizi wa kwanza kuonwa ukifanywa duniani na hata si mara ya kwanza kwa Urusi kufanya uvamizi wa aina hii. US ni kinara wa vamizi za aina hii ila hakuna siku kaonekana mbaya tumejaa unafiki wa kuikosoa Urusi na kuona ni taifa dhalimu na lenye ushetani ila tuition ya somo hili Urusi imelichukua kutoka kwa US na punde Uchina nayo itajifunza na Taiwan itatwaliwa.
Kwahiyo kama US alifanya dhidi ya wengine akaona ni sawa asinyenyuke kukemea masomo ambayo yeye mwenyewe ndiye mwalimu wake. Urusi atapoteza uchumi wake na kila aina huduma kutoka Ulaya na maeneo mengine duniani ila ili Urusi iwe na ukomavu wa leo na kesho NI LAZIMA AICHUKUE UKRAINE IWE ISIWE. ndicho ambacho Putin kamwambia Macron.
#MbaoZaMawe
Unatia huruma sana kwa kauli yako na hata kwa hali iliyopo huko Ukraine. Kwa hiyo Sisi unapotuita na tunapoitika wito wako inatuona mafala sana, na mnahesabu hadi mda huu wa mazungumzo(mapumziko).Warusi wa Babati na Kateshi vip mpo tupeni habari ni mji gani hapo Ukrain wa maana mliofanikiwa kuukamata baada ya wiki moja na siku tatu za nyie kuanzisha vita
Aaaaah nacheka kama mazuri vile lakini daah warusi wa Hai mmepatwa na aibu sana kwa kweli kwa jinsi mlivyokuwaga mnajitapa kuwa mna jeshi lenye nguvu duniani na mmekutana na kipigo heavy kutoka kwa kitaifa kidogo kama Ukrain haya ni maajabu aisee
Urusi sasa mlipofikia hali ni mbaya zaidi ya kupiga tu mabomu ovyo ovyo na kupiga makazi ya Raia basi hakuna kingine cha maana mlichokipata kwenye hii vita mpaka sasa
Yaani ata jeshi lenu la anga ni mdebwedo kweli kweli , jeshi la majini ndo usiseme kabisa yote tisa kumi ni jeahi la ardhini kila likiiinua mguu linakula kipondo heavy kil likisogeza pua linakuala kipondo cha kufa mtu na ndo maana mpKa sasa mmeshindwa kufanya advancement ya maana yoyote ile
Unafanya analysis kama mtoto wa Darasa la 7 vile, Putin hana sababu za kiusalama kuivamia Poland, ila ana kila sababu ya kuivamia Ukraine, na ndicho alichofanya, NATO hawawezi pigana na Russia, same as Russia unless it is absolutely necessary.Sasa marekani amsaidie Ukraine kama Nani wakat si mwanachama Wa NATO? Huyo Putin aguse nchi mojawapo ya NATO mfano Poland tuone