LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Brother relax, Si unajiweza tulia hivyohivyo Ungali tumia akili mapema, Ungeyajua haya tatizo lako ni mgeni kwenye siasa, Huna tofauti na Mtu aliyekurupusha kutoka kulima na kushikishwa mtutu
 
Zelensky wrote a new appeal:

I am sure that soon we will be able to tell our people: come back! Come back from Poland, from Romania, Slovakia and all other countries. Come back, because the threat is no more.

Zelensky said that Ukraine is doing everything to make the agreements on humanitarian corridors work;

Zelensky on negotiations with the Russian Federation: let's see if we can go further;

Zelensky on Poland's help to Ukraine: now there is actually no border between the countries
 
Mm binafsi nitafurahi ikiwa tu nitaona kichwa cha huyu rais kipo kwenye kifungashio Nyamizi Tsh Sikirimimimasikini DeepPond Waite naomba kuungwa mkono hoja yangu.
 
Mimi nachomshangaa huyu Rais wa Ukraine! Ni kila siku kuzililia nchi za NATO kuweka "No fly zone" wakati wamempa "Air Defense missiles"za kutosha lakini anashindwaje kuzitumia kuangusha ndege za kivita za Russia zinazoruka kwenye anga la nchi yake na kuishambulia.
 
Mimi ninahisi hii vita tayari imeshakuwa ya Dunia maana tayari humu JF wako ambao wameshaanza kutoleana Matamko Makali hata kutukanana. Kuna mmoja kamtisha mwenzake nikahisi anaweza kubonyeza kidude cha nuclear
Hawa vijana wanaotukanana humu ni wapumbavu na malofa
 
Mm binafsi nitafurahi ikiwa tu nitaona kichwa cha huyu rais kipo kwenye kifungashio Nyamizi Tsh Sikirimimimasikini DeepPond Waite naomba kuungwa mkono hoja yangu.
Mwenye mbwa kaona bora ajitokeze, anamuomba Putin walimalize kidiplomasia kwa Putin kujadiliana moja kwa moja na huyu mmiliki wa Mbwa.

Mwambieni sisi tunataka kula kichwa cha mbwa wake kwanza, kisha mengine ndio yatafuata

 
Russian tennis player Karen Khachanov removed the Russian flag from the description on his Instagram. The flag remained on the tennis player's Twitter page.

Earlier, the first racket of the world, Daniil Medvedev, also removed the Russian flag from the description of his Instagram (located after the words "professional tennis player").

Source: Baza
 
Yaani mpaka sie vilaza wa TZ wanatoa tathimini
Sisi vilaza wa Tanzania, mpaka wachambuzi wa nyuklia tunao. Na mchambuzi wa nyuklia unakuta anakaaa manyoni, ata Dar es salaam Tanzania apajui. Lakini anaichambua Russia na Ukraine kama anaichambua manyoni
 
Yy analalamika mmetoa bila concern yake. Ila hii inahusiana vipi ni kule kwenye battle ground?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…