LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Bibi kavaa mtaji kwenye meno yote full gold😅
 
watu wanakimbia hao sio raia hao ni wanajeshi wanaovaa kiraia kupa huruma ya warusi
 
Reactions: Tsh
Na wao watuwekee zao wamekomaa na kituo kimoja cha waarabu wahanga wa vichapo vya US , wanasema tunadanganywa basi wao watuambie ukweli with vivid evidence kama wanavyofanya ukraine
 
Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?
haya kasome hiyo
 
ha ha nawajeshi hujichanya humo na kusepa
 
Volodymir asubiri mpaka nchi yote imegeuka magofu. Aondoke TU kwa maslahi makubwa ya Nchi na watu wake. Kwavyovyote vile Ukraine itashindwa TU, kwanini usubiri hadi nchi yote imekufa
 
Reactions: Tsh
watu wanakimbia hao sio raia hao ni wanajeshi wanaovaa kiraia kupa huruma ya warusi
Sawa. Inawezekana kabisa na lilitegemewa, unapoingia nchini kwa watu na mabomu na silaha nzito ambazo wao hawana wavamiwaji wanapozidiwa inawezekana mbinu za namna hiyo kutumika.
Hata wakifanikiwa wakachukua nchi uwezekano ni mkubwa sana uasi utakuwepo na warusi wakauwawa huko mtaani. Kumbuka, kuna raia pia hawataki warusi nchini kwao.
 
Putin aliidharau Ukraine Sasa anaona madhara yake!
Hii ni hasara kubwa.Russia ingekuwa nchi ya kidemokrasia angeng'olewa!
 
silaha ni za kawaida mig 21 su 25 su 24 bm 21 kornet ant tank warusi wanatumia silaha za kawaida kabisa
 
Volodymir asubiri mpaka nchi yote imegeuka magofu. Aondoke TU kwa maslahi makubwa ya Nchi na watu wake. Kwavyovyote vile Ukraine itashindwa TU, kwanini usubiri hadi nchi yote imekufa
Kuna hadithi ya zamani, generali mmoja wa vita aliingia nchini kwa watu kuteka nchi, alipofanikiwa kuingia akachoma meli kisha akawaambia kikosi chake, tuna option tatu tu.... Kushinda hii vita au kufa au kuwa watumwa. Kutoroka si option.

Huenda Ukrain imeamua kuwa option ni mbili tu, Tusiwepo tena au Urusi watuachie nchi yetu, Kuwa hai na kutawaliwa si option.
 
Kwanini hii isiwe jibu kuwa Urusi ana technolojia nzuri ndio maana ameangushwa
 
Naona huko hapa kwa ajili ya ubishi tu na sio kujadiliana.
Haya naomba utwambie kwann Marekani na washirika wake walitumia muda wa miezi miwili kuiteka Iraq badara ya siku 10 kama unavyo taka Urusi afanye kwa Ukraine.
Naomba jibu.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
silaha ni za kawaida mig 21 su 25 su 24 bm 21 kornet ant tank warusi wanatumia silaha za kawaida kabisa
Huenda ameamua au kalazimika kutumia hizo. Urusi ina silaha ambazo akitaka kuifuta Ukraine anaifuta. Ila akishaifuta then what? Anakuwa ameshinda vita? Dunia nzima itamuacha na kumsifia kama anavyosifiwa humu? Lengo la urusi ni kuifuta serikali si Ukraine na mpaka sasa hajafanikiwa.
 
The Ministry of Defense showed how the Su-34 of the Russian Aerospace Forces, during a special operation, struck at the military infrastructure of the nationalists.

Russian aviation won air supremacy over Ukraine on February 28.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…