Huna akili pathetic!!Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?
Ongea kama mtu mwenye akili timamu acha kuwa kama kitimoto aliyekatwa kichwa!!Vipi bangi yako ya chooni imekaa mda gani kichwani!?
Subiri kwanza muoneshe shughuliHuna akili pathetic!!
SLAVAN UKRAIN ,live long Volodymyr Zerenskyy👏Wamarekani wenyewe wanamshangaa Comedian anachotafuta ni nini?
Lakini kina nyamizi huku wanamwita shujaa.
Wala hata nusu ya hizo siwezi kubali kama wamezitungua. Napenda nione crash site, rubani au footage. Ukrainians wamejaza smartphones uwanja wa vita wanapiga na kujirekodi, vita haiko baharini kwamba ndege zimeondoka na kupotea. Urusi ndio wamebanwa na mainstream media taarifa zao hazifiki kwa wengiIla mkuu bado hujajibu swali langu je unadhani kweli mpaka sasa Ukraine imesha zitungua ndege 88 za Urusi? Au ni propaganda.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Walau wewe Mkuu unasimama katika ukweli,kwa hili nakubaliana na wewe upo sahihi.Haaaaa wengi humu huwa wana ongelea mambo ya kitaalam kwa Utashi wao na mizaha mingi.
Usiyachukulie maanani.
Katika dunia ya sasa hakuna taifa unalo weza kulishinda kwa siku mbili hata jeshi letu huwezi kulishinda kwa siku mbili.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
S-400 hazipo kwa ajili ya jeshi kama Ukraine, lile hata S-300 inalizidi uwezo. Ukraine inafanya ambush ya silaha za Urusi hakuna kamanda atafanya mchezo kusogeza S-400 zikamatwe Wamarekani waje mbiombio kuzisoma.Nimeshangaa kwa urusi kutuma wanajeshi wasio na uzoefu na wengi wao hawajaambiwa kuwa wanaenda kupigana Ukraine.
Pia sijaona s400 hata moja.
SLAVAN UKRAINE 👏Hata hivyo bila ushabiki ninaamini Russia itashindwa tu katika huu mgogoro. Maana hata uwe na nguvu kiasi gani MAADAM WANANCHI WA UKRAINE WOTE HAWAMTAKI NA WAMESHAMCHUKIA SANA RUSSIA BASI ITAFELI TU
Marekani alipeleka Blackhawk helicopters sijui mbili na armoured vehicles chache akiwa na kaoperesheni kadogo sana. Russia kaja na misururu ya magari ya jeshi inazidi urefu wa kilomita barabarani. Yani unaenda Maxar unapewa picha za satellite za misururu ya kijeshi ya Russia, kazingira pande tatu za UkraineMarekani walipovamia Somalia, wanajeshi wao waliuawa na kutembezwa mitaani jijini Mogadishu, kwenye vita, hata uwe na nguvu kiasi gani casulties haziepukiki
Tukiachana na nuclear weapons, siwezi panga majeshi bora ya conventional weapons Urusi ikawepo kwenye top 4. Huwezi kuwa na jeshi la ovyo la ardhini na angani linaposhindwa kupigana na vijeshi vidogo kama Ukraine alafu unataka tukuite superpower kwenye majeshi. Ujerumani kwenye WW2 ilipigana na Poland, Ufaransa, Urusi, Marekani na Uingereza ikiwa pamoja na Commonwealth zake zenye nchi imara kama New Zealand, Australia na Canada, et. Hata South Africa ilishiriki dhidi ya Mjerumani, hao ndio walikuwa na jeshi la kupigana na maadui wengi sio hii Russia.
Huu uzi nimeutelekeza kwa siku tatu hizi baada ya kuona kile ninachokijua kimezidi kupwaya. Jeshi la anga la Urusi ndio la kufanya mashambulizi usiku ili lisidondoshewe ndege zake kweli? Juzi ndege 6 ziko confirmed kuangushwa, source zipo nyingi za kudhitibisha hilo na ndege ambazo hakuna uhakika hazijahesabika. Wiki ya pili sasa bado Ukraine imesimamisha S-300 zinafanya kazi. Ingekuwa Israel siku ya kwanza tu, trust me siku ya kwanza tu hakuna air defence system ungeona iko kazini!
Urusi inashindwa kulinda convoy zake, inapaki magari kibao mpakani kule Belarus ila inaogopa kuingia nayo mengi ziko Bayraktar TB2 zinayasubiri, hawana air cover wanaenda as if tuko 1980s. Urusi wana systems zao kama S-300 (S-400 si rahisi ikaletwa kufanya kazi ndogo hizi) ziko mbali uko kwao ambavyo wala Ukraine hana mpango wa kuishambulia Urusi hivyo zinatoa air cover mpaka pembeni mwa Ukraine ila nao wanaendesha ndege level za chini kukwepa radar.
Russia haina coordination nzuri ya airstrikes, artillery na troops. Hata airforce yao haina uzoefu na combat missions, Urusi wako busy na kuendesha ndege kwenye maonesho na kwenye mazingira rafiki wakati NATO wanakuwa na mazoezi magumu yanayofanyika kwenye maeneo tofauti duniani kama Mediterranean sea, Marekani na maeneo ya Ulaya. Marubani wa UK na US hukutana kufanya mazoezi magumu kila mwaka yanaitwa 'Red flags', hutumia makombora ya kisasa, ndege za kisasa na hutumia hali ya hewa mbovu kwenye mvua kubwa, fog na upepo. Last year mwishoni hapo kuna F-35 mpya ya Uingereza ilidondokea kwenye maji wakiwa kwenye mazoezi makali na Marekani. Marubani wa NATO wana simulation rooms za kisasa zinazofanana na mazingira halisi ya vitani, rubani anapewa simulator inayofanana kila kitu na ndege yenye hata VR anazoea mazingira, buttons, emergencies, maamuzi ya haraka. Hata movements za ndege, acrobatics na mitikisiko anapewa anachokosa ni ile hofu inayotofautisha mazoezi na reality. Russia hana kampuni ya kutengeneza modern simulators marubani wake wana disadvantage hapa. Marubani wa Russia wakifanikiwa sana wanatimiza masaa 100 ya kurusha ndege kwa mwaka wakati Marekani na members wakubwa wa NATO wa kwao wanazidi masaa 200 kwa mwaka.
Ndege za Urusi zingekuwa mbovu India isingekuwa inazitumia vizuri na kushinda angani, tena India iliwahi fanya mazoezi na members wa NATO wakakubali sana uwezo wake. India ndio airforce inayoongoza kupata ajari, wale jamaa hawakai miezi miwili bila ndege ya jeshi kuanguka, kamanda wa jeshi la anga alidai bora wafanye mazoezi kwenye mazingira magumu wafe kwenye wakati wa amani ila vita ikija wawe strong wafanye mission kwenye mazingira yote.
Hapa tatizo ni training mbovu isiyokidhi, na washirika wa Urusi hawafanyi mazoezi pamoja. Russia inafanya mazoezi na India, China kidogo sana na watu wa kawaida kama Belarus. NATO wanaunganisha mbinu za wageni kama South Korea, Japan na Israel which I think ndio airforce inayojua sana air warfare kuliko hapa duniani. Israel imeanza operations Syria miaka zaidi ya 10 na sijawahi sikia imepoteza ndege hata moja. Leo hii Urusi ndani ya wiki mbili ana hasara kibao angani.
Sasa we ulifikiri ni send-off
Ni kosa na yeye analijua hilo na hawezi hata kuthubutu kutengeneza Soda akaiita COCA,pamoja na arrogance ya Putin lakini hajawa mjinga wa kufikia kufanya hili.Kosa vp ikiwa katengwa na dunia na nani atamwekea vikwazo ikiwa ametengwa
yeah ni kweli zile ni propaganda za waukraine but ukweli ni kwamba wanatumia video na picha halisi za russia casualities ambazo ht urusi mwenyew hadispute so hii sheria pia imedhamiria kuzuia watu wa urusi kujua hali halisi ya kinachoendelea ukraine,duh mkuu urusi inapigana na ulimwengu wote??mambo yameshafika huko?propaganda ni sehemu ya vita kumbuka urusi inapigana na ulimwengu ukiangalia hizo picha unaweza sema urusi haiteka hata kijiji lakin mbona warusi hapig picha wanajeshi wa ukraine walio uwawa mbona madhara ya vita yanatolewa na waukraine hapa wanataka attension ya raia wa urusi waandamane kumpoa putin. Ndo maana putin kacheza game la hio sheria huyu mwamba ni zaid ya genius
Imesonga mbele wapi zaidi ya ivyo vimji viwili vya mpaka na ule mmoja mlikuwa mmeuteka na ikakombolewa sasa ivi mpaka airport mliyokuwaga mmeiteka ile siku ya kwanza ya vita tayari imeshaa kombolewa na jeshi bora la Ukrain na sasa umerudi kwenye umiliki halali wa serikali ya Ukrainsasa kwanini urusi imezidi kusonga mbele wakati ukrein ina zana za kuzuia vifaru ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha