LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aliyekuambiwa Ukraine kuna vita nani, Ukraine kuna operation tu ya kijeshi tu, naweza kusema ni operation ndogo sana. Ulishawahi kuona vitani pande zote wanaomba kusimamisha mapigano kwa ajili ya jambo jingine?
Huna akili pathetic!!
 
Hivi vita haviwezi kudumu kwa muda mrefu kwani Russia na vikwazo vikali walivyowekewa hadi Putin amelalamika kwamba ni "Declaration of War" hawawezi kuendesha vita kwa muda mrefu.

Miezi mitatu tu ijayo tayari uchumi wao utakuwa taabani na wananchi watakuwa wanaandamana kudai majeshi yao yaondoke kwenye ardhi ya Ukraine. Kumbuka asilimia 85 ya warusi wanapinga hivi vita.
 
Makampuni kama Lockheed Martin na Boeing yamekuwa yakipata hela nyingi bila sababu za msingi. Marekani ina warmongers wanatishia serikali kwamba kuna threats hivyo military spending iongezwe na silaha kali zitengenezwe mwishoni wanakuja na vitu kama F-35 Lightning II na F-16V. Wakati Uturuki ina drones na Israel ina loitering munitions zinafanya majukumu effectively dhidi ya silaha za Urusi. Mara ya kwanza Israel iliposhambulia Syria tulisema operators wa Syria wako incompetent na silaha za Syria ni weak sio superior, mara ya pili Libya tukasema waliopewa silaha ni insurgents hawana training nzuri na discipline, ikaja Nagorno Karabakh tukahisi labda walishtukizwa na hawana quantity inayotosheleza, tukaja Uturuki iliposhambulia Syria tukasema vilevile. Sasa Urusi yuko anatumia silaha zake mwenyewe
 
Ila mkuu bado hujajibu swali langu je unadhani kweli mpaka sasa Ukraine imesha zitungua ndege 88 za Urusi? Au ni propaganda.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Wala hata nusu ya hizo siwezi kubali kama wamezitungua. Napenda nione crash site, rubani au footage. Ukrainians wamejaza smartphones uwanja wa vita wanapiga na kujirekodi, vita haiko baharini kwamba ndege zimeondoka na kupotea. Urusi ndio wamebanwa na mainstream media taarifa zao hazifiki kwa wengi
 
The Ministry of Defense showed Ukrainian military documents that came to the department during a special operation.

They belong to the 4th operational brigade of the National Guard of Ukraine, located in Gostomel, Kiev region. Among the papers are maps and plans for combat use.

In addition, orders were at the disposal of the RF Armed Forces that indicate close cooperation with NATO structures and the practical training of the National Guardsmen by NATO.









 
Walau wewe Mkuu unasimama katika ukweli,kwa hili nakubaliana na wewe upo sahihi.
 
Nimeshangaa kwa urusi kutuma wanajeshi wasio na uzoefu na wengi wao hawajaambiwa kuwa wanaenda kupigana Ukraine.
Pia sijaona s400 hata moja.
S-400 hazipo kwa ajili ya jeshi kama Ukraine, lile hata S-300 inalizidi uwezo. Ukraine inafanya ambush ya silaha za Urusi hakuna kamanda atafanya mchezo kusogeza S-400 zikamatwe Wamarekani waje mbiombio kuzisoma.

Zile Buk pekee zinatosha kuiweka Ukrainian airforce nje ya anga
 
Russia kaishambulia na kuisambaratisha ngome ya kijeshi ya Ukrain iitwayo Starokostiantyniv military air base kwa kutumia makombora ya masafa marefu yenye ufanisi na shabaha zaidi ktk kushambulia tageti (long-range high-precision weapons)
 
Hata hivyo bila ushabiki ninaamini Russia itashindwa tu katika huu mgogoro. Maana hata uwe na nguvu kiasi gani MAADAM WANANCHI WA UKRAINE WOTE HAWAMTAKI NA WAMESHAMCHUKIA SANA RUSSIA BASI ITAFELI TU
SLAVAN UKRAINE 👏
 
Marekani walipovamia Somalia, wanajeshi wao waliuawa na kutembezwa mitaani jijini Mogadishu, kwenye vita, hata uwe na nguvu kiasi gani casulties haziepukiki
Marekani alipeleka Blackhawk helicopters sijui mbili na armoured vehicles chache akiwa na kaoperesheni kadogo sana. Russia kaja na misururu ya magari ya jeshi inazidi urefu wa kilomita barabarani. Yani unaenda Maxar unapewa picha za satellite za misururu ya kijeshi ya Russia, kazingira pande tatu za Ukraine
 

Hhahahahah nimecheka sana. Mnamchukulia sana poa russia, endeleeni kudanganyana wengi humu hamumjui russia vizuri na wengi wameanza mjulia kwenye vita na ukraine hamjui historia yake vzr huyu jamaa.
 
Kosa vp ikiwa katengwa na dunia na nani atamwekea vikwazo ikiwa ametengwa
Ni kosa na yeye analijua hilo na hawezi hata kuthubutu kutengeneza Soda akaiita COCA,pamoja na arrogance ya Putin lakini hajawa mjinga wa kufikia kufanya hili.
 
yeah ni kweli zile ni propaganda za waukraine but ukweli ni kwamba wanatumia video na picha halisi za russia casualities ambazo ht urusi mwenyew hadispute so hii sheria pia imedhamiria kuzuia watu wa urusi kujua hali halisi ya kinachoendelea ukraine,duh mkuu urusi inapigana na ulimwengu wote??mambo yameshafika huko?
 
sasa kwanini urusi imezidi kusonga mbele wakati ukrein ina zana za kuzuia vifaru ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Imesonga mbele wapi zaidi ya ivyo vimji viwili vya mpaka na ule mmoja mlikuwa mmeuteka na ikakombolewa sasa ivi mpaka airport mliyokuwaga mmeiteka ile siku ya kwanza ya vita tayari imeshaa kombolewa na jeshi bora la Ukrain na sasa umerudi kwenye umiliki halali wa serikali ya Ukrain

Kifupi jeshi lenu ni dhaifu sana sana halina ubora wowote ni kaMa majeahi yetu uku Africa jeshi halina nidhamu ata kidogo jeshi halina formula, jeshi liko disorganized kama vile kuku waliokatwa vichwa alafu uje kuniambia kiwa kuna jeshi apo jeshi linaishiwa mafuta , jeshi linaishiwa mpaka chakula , jeshi la hovyo zaidi kuwahi kutokea katika karne hii ovyo kabisa putin na wafuasi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…