LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kuilegeza, kuidhoofisha na kuondoa neo Nazi kutoka maeneo tuliyofikia
 
Ikichukuliwa tu Kiev,Khakiv ,Odessa na Maliupol basi biashara imeisha hapo
 
Ameandika pumba sa na wakati kapewa uwezo wa kufikiri na kuchanganua alafu yeye anajiandikisha pumba!!
Jamii forum ni sehemu ya watu wenye bongo.
Ambapo hutumia nguvu ya hoja kushinda mada.
Na sio maneno ya kashfa, kejeli, matusi.
Mimi nilijiunga huku baada ya kuwa msomaji Toka 2016.

Hivyo usitumie lugha zisizo na stara badala yake tumia hoja kumshinda.
 
kumwadhibu kwa vikwazo.
Sio vikwazo tu pia wamefanya apata hasara kubwa sana;Wanajeshi waliofariki zaidi ya elfu 11,vifaa vingi vilivyoteketezwa,kutengwa kimataifa mpaka na marafiki zake.Nchi ziliyoonyesha kuwa naye pamoja; Belarus pamoja na Eritrea.Hata China Bado anapima upepo,ukichukulia China ya sasa ipo kimaslahi zaidi!
 
Elfu 11???...hata BBC hawajasema hii...bila shaka upo ndani ya Kiev kabisa...
 
Ikianza kuhesabiwa hasara Ukraine ndio mtajua kazi ya Urusi haina makosa
 
Kwa hiyo unafikiri ni sahihi kushikilia watu Toka Mataifa mengine kisa vita yao, huo ni uhalifu.

Pili kutoka walipo mpaka Urusi ni karibu kuliko kupitia Poland, Romania au Georgia.

Tatu hii inathibitisha ukweli kuwa wanatumia raia kama Kinga wasishambuliwe.

Nne sijui umesahau ubaguzi mkubwa wa rangi kwa watu wanaotaka afika na Asia kuvuka mipaka iliyopo upande wa Poland, Romania au Georgia.

Tano unasahau wanafunzi kutoka afrika au Asia wamekwama huko na manyanyaso mengine.

Sita wewe ndio ungekuwa raisi wa nchi ungechukua maamuzi gani
 
Hakuna Kijiji kinachokosa wazee, halafu kikafanikiwa
 
Nakukumbusha tu huwezi kuiwekea embargo Russia.
Huwezi kuiwekea embargo Taifa kubwa iliwahi kufanyika hivyo ni Cuba na India ya zamani iliyochoka
 
Nakukumbusha tu huwezi kuiwekea embargo Russia.
Huwezi kuiwekea embargo Taifa kubwa iliwahi kufanyika hivyo ni Cuba na India ya zamani iliyochoka
Watu kama wewe nawatamani Sana, yaani unashadidia kwenda kuua na kuvamia Nchi nyingine.

Nina hasira za kukudedisha kabisa.
 
British Prime Minister Johnson said that Russian oil and gas cannot be abandoned overnight.
 
Ukiwa mfatiliaji mzuri wa historia, utagundua Kenya sio Taifa la kuliamini.

Kenya aliwasapoti Makabulu kwenye utawala wao wa kikandamizaji.

Kenya aliwasaliti wapigania uhuru toka Mataifa mbalimbali kama Dr Nnandi.

Kenya ni Taifa pekee katika jumuiya ya afrika mashariki yenye Kambi za Kijeshi Toka Mataifa mengine.
Kuna Mwingereza na Mmarekani.

Kenya huwa anaside na upande wa Magharibi bila hoja Wala sababu kisa tu pesa.

Labda kaka unafikiri uhayawani ni sifa nzuri
 
The US recognizes that restrictions on Russia over the situation in Ukraine will come at a price, as evidenced by price fluctuations in the energy market, Kerry said.
 
Hiyo source ni ya uongo
 
Sasa wewe ndugu unataka ku side kwenye pesa au kwenye umaskini?

Hoja wanayo,hawakuwa wanakubaliana na mfumo wa kijinga wa ujamaa.

Mbona husemi Kenya ilisaidia Tzn tusipate kichapo kutoka kwa Amini via msaada wa Libya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…