LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Watu kama wewe nawatamani Sana, yaani unashadidia kwenda kuua na kuvamia Nchi nyingine.

Nina hasira za kukudedisha kabisa.
Mimi ni ndugu yako kutoka pwani, Nina uasili pia wa Kibiti, kisiju na Rufiji.

Babu mzaa babu alizaliwa kwenye Kijiji ambacho kinjekitile ngwale alizama kwenye kidimbwi.

Bibi mzaa bibi yangu alizaliwa kipata Kijiji ambacho vita ya majimaji ilianza.

Hivyo sema nikukute wapi na muda gani ili unidedishe lakini kuwa makini kitakacho kupata.

Viva Russia
 
Watu kama wewe nawatamani Sana, yaani unashadidia kwenda kuua na kuvamia Nchi nyingine.

Nina hasira za kukudedisha kabisa.
Hata Mexico iwapo itahama upande wa Magharibi na kuhamia mfano CSTO na kuhatarisha usalama wa Marekani.

Unafikiri Marekani haitachukua hatua.
Ukimaliza hasira zako, kafatilie kisa Cha Panama mpaka raisi wao kuhukumiwa US

Ukimaliza hapo kajifunze Monroe Doctrine na uje useme inasema nini?

Jenga hoja na sio hasira
 
View attachment 2142294
Naombeni kujua Russia ina matatizo gani?Naanza kupatwa na wasiwasi sana nilikua naamini ni nchi yenye nguvu sana.Ni nn hasa kinaendelea?hii mbn aibu?
Kukamatwa kwa silaha kama Pantsir ikiwa intact ni upuuzi wa crew yake. Wanajeshi wote hufundishwa kuharibu silaha endapo wataiacha kwenye mazingira ya adui. Ukienda YouTube utakuta wanajeshi wa Marekani wanatupa helicopters baharini na kuchoma silaha walipokuwa wanaondoka Vietnam.
Sasa hapo utakuta C-17 Globemaster zinapishana njiani kubeba silaha za Urusi zilizokamatwa zikiwa vizuri kwenda zikasomwe. Hata hivyo hii Pantsir Marekani walishaibeba kutokea Libya ambapo ilipelekwa na UAE ikashambuliwa na Bayraktar TB2 ikaharibika kidogo Marekani sijui iliwapa nini ikaichukua. Ile ilikuwa ni export version na sio latest.

Mpaka sasa Russia ikikutana na NATO Patsir hazitakuwa na maana tena. Na vifaru vya Russia labda afanye mass production ya T-14 Armata tofauti na hapo hana kifaru cha kutishia NATO member. Kina T-72, T-80 na T-90 viko challenged sana
 
Uingereza ndio nchi pekee ya Ulaya inayoweza acha kuitegemea Urusi na isiathirike kwa lolote. Tafuta data za biashara kati ya Europe na Russia utaona UK hata gesi tu haitegemei Russia
UK pia inatafuta nafasi kwenye world stage baada ya influence yake kupungua Ulaya.

Kumbuka Leo UK ni fraction ya nguvu aliyokuwa nayo wakati ana British Empire

Hivyo jamaa anatafute validity ya world stage.
 
The Armed Forces of Ukraine shoot civilians in the back, said Konstantin from Mariupol, who escaped through the humanitarian corridor:

“We went to the Ukrainian checkpoint left. There were no people at all, I also thought: "Great to go out." About 100 meters passed in your direction - they started shooting at us from behind.

Artillery arrived. We both lay down and did not move for an hour and a half.

He stressed that no one in the city knows about humanitarian corridors, local authorities do not report anything. Ukrainian military personnel do not take citizens out at all, they sit in basements: “Little children, there are a lot of people there.”
Your browser is not able to display this video.
 
Hata Marekani aliacha Siraha nyingi kule Afghanistan je hazina maana Tena.

Huwezi kuielewa system siraha ya ADUI kwa muda mfupi hivyo.
 
Putin inatakiwa ampeleke mtoto wake kwenye hivi vita, aache kuswaga watoto wa wengine kuwapeleka kwenye hivi vita vya kipumbavu alivyoviasisi ona sasa watoto wa watu wanavyouwawa kinyama. Hovyo kabisa huyu dikteta.
Hiyo tabia ya kupeleka watoto wao vitani tena frontline wanayo Wajerumani hasa, wengine sio sana. Kwanza Putin hana mtoto wa kiume kwenda uko
 
Nje ya ulichokiongea lakini mkuu...
Ukiangalia Jeshi la Russia, hujiskii aibu juu ya Jeshi letu?
Hivi hata tanks tulizonazo zinafika 100 kweli?
Maana russia kuna wakati convoy ya km 64 ilionekana.
Nilijiskia aibu kama raia.
 
I don’t know why [the Armed Forces of Ukraine] are hiding behind civilians. We remained like cannon fodder, a human shield.”

Another resident of Mariupol, who managed to evacuate alive. Her husband died during the shelling, the house was destroyed, and her daughter remained on the other side of the city - the woman does not know if she is alive.
Your browser is not able to display this video.
 
Now the second part of the negotiations between Russia and Ukraine is underway, the delegations have already left once for a break, Belta reports. The meeting has been going on for about two hours.

The same topics are discussed as during the previous meetings - issues of internal political settlement of the situation in Ukraine, international humanitarian aspects and issues of military settlement, the agency writes, citing the head of the Russian delegation, Vladimir Medinsky. The parties intend to pay special attention to humanitarian corridors.

 
Ukweli bwana Vlodomyry Zelensky atakumbukwa kama mmoja kati ya idiot wakubwa duniani.

Kuna Mataifa kama Finland, Norway, Sweden ambayo ni neutral na Yana maisha mazuri kushinda Magharibi.

Kuuingiza nchi kwenye Vita na kugoma kufanya mazungumzo mapema na Urusi ndilo tatizo lake kubwa.

Walimwambia tuko pamoja ila kimenuka wamemwacha peke yake.

Leo hii amefanya nchi nzima kuwa mahame na bado anakubali kwenda kukaa kwenye meza ya mazungumzo.

Hapo tayari kashavamiwa na kupigwa hivyo card zake za kuplay ni chache mno.

Vyovyote itakavyo kuwa hawezi Tena kuipata DONBAS na mhatari inaongezeka zaidi maana DONBAS inazidi kuchukua eneo kubwa la Mashariki mwa Ukraine.

Ukiangalia nani anayepoteza majibu ni rahisi Ukraine.
 
Hebu toa utoporo hapa angekuwepo ndugu yako ingekuwa una ungea huo uharo? watu wameishiwa chakula mpaka wameanza kuywa barafu alafu una leta hoja za kipuuzi.
Vita ni kati ya Urusi na Ukraine raia wa kigeni vita haiwahusu waruhusiwe waondoke.
Kwa hiyo ww ukija kusikia watz wenzako wameuawa kwenye vita isivyo wahusu utafurahia?

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
UK pia inatafuta nafasi kwenye world stage baada ya influence yake kupungua Ulaya.

Kumbuka Leo UK ni fraction ya nguvu aliyokuwa nayo wakati ana British Empire

Hivyo jamaa anatafute validity ya world stage.
Kwenye masuala ya kutumia akili Uingereza sina shaka nao. Historia inawahukumu vizuri wewe utaona wanabishana hapa ila karne kadhaa mbele itaonekana walichukua uamuzi sahihi.

Walitenganisha majukumu ya kifalme na ya serikali baada ya mapinduzi ya monarch ya Ufaransa, leo hutasikia malkia analalamikiwa. Walipokuja Afrika walijua wana population ndogo na wana makoloni mengi duniani hivyo watumie indirect rule wakishirikiana na vibaraka wao machifu. Walipiga marufuku utumwa ulipoanza kutokuwa profitable kibiashara ila wakaja na sifa eti waliona huruma. Yani kuna maamuzi mengi Uingereza ilifanya zamani na unaona hawa watu ni next level
 
Negotiations between the delegations of Russia and Ukraine in Belarus have ended, the Russian embassy in Minsk said.
 
Ila tatizo hii sio Uingereza ya zamani.
Sababu kubwa ya kutoka ukiitoa bra bra ni kuwa dominated na Ujerumani na Ufaransa ndani ya EU.

Kumbuka haya ndio Mataifa yanayo dictate nini kifanyike EU.

Inawezekana unayosema ila hata Sasa British bado tu itacollapse tu.

Kumbuka kujitoa EU imewazidi waegemee zaidi kwa Marekani nje ya hapo hapo, sera zake za mambo ya nje hazina uzito kama iliyokuwa.

Baada ya hii vita Dunia haitarudi kama ilivyokuwa.

Urusi itaangaliwa vingine
Nato itaangaliwa vingine
Us itaangaliwa vingine
China atakuwa more bold na kufanya maamuzi yake mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…