LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nje ya ulichokiongea lakini mkuu...
Ukiangalia Jeshi la Russia, hujiskii aibu juu ya Jeshi letu?
Hivi hata tanks tulizonazo zinafika 100 kweli?
Maana russia kuna wakati convoy ya km 64 ilionekana.
Nilijiskia aibu kama raia.
Mbinu mchanganyiko za medani ni bora zaidi kuliko hayo ma underground vehicles.

Nilichokifunza kikubwa ukiacha mbinu ni kuwa na vifaa vya mawasilino ya haraka,kuwa na surface to air missiles na ndege za kushambulia.

Mengine yote ni mizigo yenye msaada kiduchu.
 

West gan unayemwongelea? Labda ungesema US ila hao takataka wengine hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Russia. NATO ni waoga na ukishaona mtu yuko hv atakimbilia maneno, vikwazo na propaganda na bila shaka hajiamini na jeshi lake.

Labda ujue western yyte atakayeingia vitani kuna mataifa makubwa yanayomsapoti russia nayo yataingia hio itakua WW3. Afu mnaosema russia maskini huwa nashindwa waelewa mnaangalia nn? Nchi inamiliki zaid ya nyuklia 6000 ndege vita zaid ya 2000 bado magari hv unajua gharama ya kutengeneza nyuklia 1??. Usije na data ambazo huna uhakika nazo.

Russia wamejipanga sana kwenye jeshi coz ndo silaha yao kubwa wanayoitegemea watafanya ujinga kote lakini sio kwenye jeshi wapo makini sana hapa kwasabu adui yake no1 ni US.

Na kama russia angekua vibaya kwenye jeshi marekani angekua alishamvamia muda sana kwasabu mmarekani anajua uwepo wa Russia kadiri siku zinavozidi kwenda ndo anazidi kuwa mbaya kwenye utawala wake. Mmarekani anamaspy kila kona lakini kwanini hamvamii Russia? Coz anajua ubora wake kijeshi so anaishia kushinikiza vikwazo nk.

Kinachoendelea ni Eastern nao wakiongozwa na China, Russia, Korea, India etc hawa wataunga umoja wao na watakua na nguvu sana huko
Mbeleni.Ngoja niishie hapa.

Tukija kwenye bible kama wewe ni msomaji wa bible imeandikwa kama sio kitabu cha ufunuo, utawala wa mashariki watachomoza na wataangusha utawala wa magharibi ndo hao Us na NATO hzi ni dalili za siku za mwisho ni kama unabii unatimia kwa haya yanaondelea sahivi kwa wanaoamini bible ndo imeandika hivo. Kwa sisi wengine tuendelee kuamin tunachoamini
 
Ni upumbavu wa hali ya juu alafu walivyo wanafiki sasa wanajifanya eti hawana upande ***** mimi nataka waendelee kuwang'ang'ania mpaka serikali ya Tz ikajisalimishe kwa serikali ya Ukrain na ipige magoti ili wanafunzi waweze kuruhusiwa kuondoka pale
 
Wewe kiazi ndio unawaza huo upuuzi ila wenye Rais wao wanawaza hivi 👇

 
Ntatumiaje hoja wakati yeye hoja zake ziko katika mtindo wa pumba!!
 
Inawezekana jeshi la anga la Urusi wanyonge sana kwa Israel na NATO countries.

Urusi bado wanaendesha operesheni za kijeshi kama enzi za Soviet.
 
Kama wako karibu na Russia wambie Russia wakawachukue sasa muone kama wataweza

Pili Raisi anapaswa kuongea na Raisi mwenzie wa Ukrain na kumuomba wawaruhusu wanafunzi wa tz wawaondoe kule na si kuongea na Russia iyo ni dharau tena kubwa sana ata kama mimi ningekuwa ndo Raisi wa Ukrain ningefanya ivyo ivyo
 
Hakuna sababu za US kuvamia bali anatumia akili tuu.

Tulia unywe aji afu ndio usome hizi habari hapa chini 👇



 

Nearly 100 percent of pre-staged Russian forces in Ukraine: US official​

Russian President Vladimir Putin has now deployed into Ukraine nearly 100 percent of the more than 150,000 forces that he had pre-staged before the invasion, a senior US defence official had said.

“That’s our best estimate right now,” the official told reporters, speaking on condition of anonymity.


Sasa soon tutaona aibu kwa Putin, tushaua 1/15 ya jeshi lililoingia Ukraine.

Tumejeruhi kadhaa na kuteka kadhaa...

Hii ni aibu sana Kwa Russia na Putin
 
Mi naamini kama urusi imepoteA askar elfu 11 basi Ukraine 30000
Utakuwa hujafanya ufuatiliaji vizuri, askari wa Ukraine hawajirundiki kama wa Russia wanaotegemea Sana ma equipment kiasi kwamba with ambush wanaiwawa wengi kama sisimizi.
 
Mimi siongei kwa hisia nakupa ukweli halisi uusikilize ama uukatae lakini huo ndo ukweli na icho ndo ambacho serikali ya tz inapaswa kukifanya ili vijana wetu waondolewe kule
 
UK pia inatafuta nafasi kwenye world stage baada ya influence yake kupungua Ulaya.

Kumbuka Leo UK ni fraction ya nguvu aliyokuwa nayo wakati ana British Empire

Hivyo jamaa anatafute validity ya world stage.

Nchi kama UK ilibidi iwe mbali sana kiuchumi hata No1 ila kuitegemea US kuna mwathiri sana, Us ni mjanja yuko kimaslahi zaidi hawa watakuja kushtuka jua linazama. UK wapo vizuri sana kidogo naona mfaransa ameanza kushtuka shtuka
 

Kujitoa EU nahisi marekani anahusika hapa bila shaka lazma shinikizo lilikuwepo sio bure
 
Mkuu hata nyuzi za simba umepotea upo Ukraine tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…