LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
BREAKING NEWS

Majeshi ya Ukraine yameukomboa mji mdogo wa Shuhuv baada ya Mapigano Makali yaliyopelekea kuuawa kwa wanajeshi 6 wa Ukraine,Wanajeshi 18 wa Urusi na Vifaru 4 vilitelekezwa na vingine 7 kuteketezwa. Wanajeshi 11 wa Urusi wamechukuliwa mateka.View attachment 2143616View attachment 2143615
Mkuu acha kutulisha matango pori leo hakukuwa na vita ,hii habari ni ya jana iliripotiwa na BBC lakini wakasema hakuna udhibitisho wowote au ushahidi wowote unao onesha hilo kutokea.

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ban hata yeye mwenyewe US itamuumiza tu,ndo maana ameenda kujipendeza venuela ,ili wamuuzie mafuta .na supplyer mkubwa wa hizo nishaati ni Russia ,Sasa kumpiga ban ,maana yake uwe na mtu mwngine anaye supply Mara 2 ya Russia ,na kimsingi hakuna!
 
Umeongea point muhimu sana watu kuelewa kuwa mabeberu yako smart sana kwenye mambo yao. Russia mwenyewe anajua mabeberu yanamfuatilia kila step kwenye operation yake Ukraine na inawezekana logistics nyingi jeshi la ukraine linapata kutoka kwa mabeberu
Ni kweli ila ata Russia alishawauzia S 300 na leo kaiteketeza moja



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biden signed a decree banning energy imports from Russia and new investments in the Russian energy sector - the White House.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
McDonald's will temporarily close 850 of its restaurants in Russia, the media write, citing the company's CEO.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Mwana umetisha, hadi yeye mwenyewe yuko kimya
Huyo amekosea kusema kwamba Dunia ni yetu sote. Dunia ni mali ya MUNGU na yeye ndo huchagua nani amiliki wapi.

Vita ya wale jamaa ni ya karne na karne tuwaachie wenyewe.
 
Ndio maana wengine tunaiunga mkono Urusi sababu ya huu ubabe na uonevu wa Mareka
Vipi unaunga mkono na uharibifu anaoufanya mrusi pale ukraine na kuharibu miundobinu ?
huyu Mmarekani anaezuia nchi huru kufanya biashara na Urussi
Mrusi ametishia Nchi yoyote itakayojaribu kumsaidia ukraine itapata pigo la kihistoria.

Kwa hiyo utaona hata mrusi ameingilia uhuru wa nchi zingine wasimsaidie ukraine wakati msaada ni jambo la uhuru wa Nchi husika.

Hapo tunaona kwamba mrusi naye kaingilia uhuru wa ukraine

,na kaingilia uhuru pia uhuru wa Nchi zingine kuisaidia ukraine jambo ambalo sio sawa.

Kwa kuona hivyo mmarekani naye akaonoa aweke vikwazo ikiwa ni muendeleo tu wa ushenzi anaofanya raisi putin.
Tuombee Urussi afanikiwe hii operation ili dunia i balansi..
Mimi siombi urusi afanikiwe,naomba urusi asitishe mapigano ili raia wa ukraine waishi kwa amani.

Kitu anachokitana mrusi hata bila vita anaweza akakipata tu,hivyo vita iishe tu watu wanaacha makazi na wanaumia wanakimbilia moji mingine,amani hakuna tena,familia zinatengana kwa kweli ukivaa viatu vyao inaumiza sana.
 
The UN, commenting on the fact that people in Ukraine are not allowed to evacuate to Russian territory, said that citizens should have the opportunity to evacuate wherever they want.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Russia calls for return to 'peaceful co-existence' with U.S. like during Cold War -Interfax
Reuters

March 8 (Reuters) - Russia and the United States should return to the principle of "peaceful co-existence" like during the Cold War, the Interfax news agency cited the Russian foreign ministry as saying on Tuesday.

The foreign ministry added that it was open to honest and mutually respectful dialogue with the United States and that hope remained that normalcy in relations between the two countries could be restored, Interfax reported.
Unamaanisha kwamba Urusi inataka mazungumzo na USA? Urusi inatakiwa ijikite kutatua tatizo la Ukraine,badala ya kutaka kukutana na Ukraine ili wamalize mgogoro,Urusi inakazania kutaka kuzungumza na Marekani,sijui huu ujinga utaisha lini kwa kweli.
 
Putin instructed the government to determine within two days the countries that will be affected by the ban on the import and export of certain types of products and raw materials from Russia in 2022.
SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Unadhani waliopiga ban hawajaona hilo?
waliliona lkn ,imewabidi wakajipendekeza kwa maadui zao Iran,Syria ,Saudi Arabia ,maana hao hao malekani waliwawekeaga vikwazo vya kiuchumi,Sasa huu ndo muda wa hawa jamaa nao kupiga double standard [emoji1],hata hivyo haitatosha ,kum supless Russia kwenye volume ya mafuta aliyokuwa aki supply duniani.tushudie mafuta kupanda Bei zaidi !!
 
Hii vita mpaka inaisha hakutakuwa na tank battle hata moja. Ile Gulf war Iraq walijichanganya eti wakaingia tank battle na Marekani walikuwa wanapigwa sana. Battle kubwa zaidi ilikuwa ni Medina Ridge ndani ya masaa mawili Marekani ilipoteza vifaru vinne na silaha nyingine ila Iraq ilipoteza vifaru 186 na silaha nyingine nyingi. Israel nayo ilikutana na vifaru vya Syria kwenye Yom Kippur iliviharibu sana ila Egypt walipambana. Hata uwe na vifaru vizuri ila training na experience ni muhimu mno kwenye crew yako.

Ukraine wameona hawawezi shinda battle ya tank vs tank, wala artillery hawatumii maana wako outguned na range ndogo. Wanapiga ambush kwa msaada wa ATM na raia
 
Nipe hii clip nione

Clip ya 1992-94?
Sina Mkuu ila unaweza kuipata
Mimi niliona watoto wakikimbia na mikono
Na ilikuwa fundisho kubwa kwao hawatalisahau
Chimbua google unaweza kupata

Hii picha mojawapo mjeda wa USA baby wakiichapa ikiwa haina uhai
IMG_4573.jpg
 
Back
Top Bottom