LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
waliliona lkn ,imewabidi wakajipendekeza kwa maadui zao Iran,Syria ,Saudi Arabia ,maana hao hao malekani waliwawekeaga vikwazo vya kiuchumi,Sasa huu ndo muda wa hawa jamaa nao kupiga double standard [emoji1],hata hivyo haitatosha ,kum supless Russia kwenye volume ya mafuta aliyokuwa aki supply duniani.tushudie mafuta kupanda Bei zaidi !!
Itakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumia
 
Na ndio mana Biden kasema hivi

Biden understands that allies in Europe will not be able to join this ban;
Na wanajipanga kuacha utegemezi

Screenshot_20220308-193020.png


Screenshot_20220308-193052.png


Screenshot_20220308-193731.png
 
Jamaa anazan watu wanaamka ndoton na kusema tu Ban bila ya kuangalia mbele
wangekuwa wanaangalia wasingekuwa wanatapatapa hovyo sasahivi hasa macron na scholz kila cku wanaenda kupatanisha mzozo wa urusi-ukraine...wangekuwa na plan b wangekuwa wameshatulia makwao wanafanya mambo mengine...mzee baba ndugu zako walikurupuka
 
Ukraine Airspace Update:

Russian Air Force losses over Ukraine thought to be "unsustainable." 121 Russian aircraft are estimated to have been shot down, with 25 airframe losses independently verified as of March 7th.

Sources:
  • rb.gy/ckeobl
  • rb.gy/sjzmy8
  • rb.gy/ieaekk


FB_IMG_1646766162285.jpg
 
Mbambe ni mbambe tu, hawana namna ya kukataa, hadi venezuela amekubali naye, kwa hili likitekelezwa ipasavyo Putin atakuwa amepata pigo kubwa sana, japo na yeye amesema ikipigwa ban kwenye mafuta na yeye anazuia gesi kwa nchi za ulaya!!
venezuela na iran hawajakubali bado kuuza mafuta weka source hapa tuone
 
Mrusi ndo itamuumiza zaidi kwa sababu sio mrusi pekee anayezalisha mafuta,so nchi zingine zitafaidika zaidi pia kuuza...
Ndio najua .katka hawa donor wa mafuta,sio wote watamkubalia US.anyway si amesaini decree Leo ya zuio la kununua nishati kutoka Russia,picha halisi tutaiona baada ya wk 2 au 3.ma string sijui kajipangaje kwa haya yanayokuja kwenye wizara yake hapa tz
 
Itakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumia
jamaa kachafukwa kiukweli ,yaani ukweli ni kwamba Putin hayuko tayari kuona Russia yake inadidimizwa kinamna yeyote ile .Sasa sijui ata backup vipi hii impact ya zuio la bidhaa yake ya nishati.na naskia amehamisha makumi ya midege yake ya Vita ,ameipeleka Sudan imepaki pale na bado anaihamisha na midege mingine kuipeleka hukohuko Sudan ,huyu jamaa sijui ana plan gani aise .ila yy anadai ameipeleka Sudan ili kukabiliana kwa dharula yeyote itakayojitokeza
 
Ni kosa kubwa sana kuiita Iskander kuwa ni short range air defence system hakuna mtu anaweza kukuelewa katika hilo. At least unaweza kuchanganya kama mimi ukaiita Patsir ni short range badala ya medium range.

Iskander tactical ballistic missile ni la kupiga military installations kama airbases na linaweza wekewa nuclear warhead. Pantsir ni ya kulinda anga dhidi ya ndege, drones na missiles. Hii ni tofauti kubwa mno
Sijajua hata huku jamii forum, Kuna watu wenye upeo mdogo hivi.
Soma mwenyewe halafu niambie kama umeelewa.
Unajizalilisha
Screenshot_20220308-221509.jpg
Screenshot_20220308-221527.jpg
Screenshot_20220308-221657.jpg
 
Hataweza kiuchumi.

Next week Iran na Venezuela wanaondolewa vikwazo vya kiuchumi na kuanza kuuza mafuta kwenye nchi za Ulaya.

Kama Iran watakubali basi Vikwazo vya Nishati kwa Urusi vitakuwa vikali kabisa,lakini kama wakikataa basi ni wazi Ulaya hawana mbadala wa mafuta ya Urusi kwa mda huu. Ndio maana wanaharakisha kuondoa vikwazo kwa Iran na Venezuela.

Kama Iran na Venezuela watakubali basi watakuwa wameisariti Urusi ambayo ilikuwa nao bega kwa bega pindi walipobanwa na vikwazo.
We jamaa unajua hadi mipango ya miezi ijayo. Kwamba wao IRAN, na VENEZUELA hawajui kuwa watakuwa wanatumika katika huo mgogoro?.
 
Deal likitiki Maduro ataula kuna uwezekano Venezuela akalamba kila mwezi zaidi ya dollar za kimarekani billion 5 hata na zaidi kama mrusi atawafungia ulaya Bomba la mafuta na gesi na vita ya Yukrein kuendelea. Kwasababu kuna uwezekano pipa moja la mafuta likafika dollars 300.

Enzi hizo za Hugo Chavez kabla ya vikwazo Venezuela hela ilkuwepo siyo mchezo hadi Chavez aliipa Haiti msaada wa dollars za kimarekani billion 2 nakuwasemehe wasilipe. Mungu amrehemu Hugo Chavez.

Colombia na Venezuela ni mahasimu na watani wa jadi ilivyo Kenya na Tanzania. Wakati wa neema kipindi cha Hugo Chávez wavenezuela walikuwa wanawacheka sana wacolombia kwasababu ya vita na hali ya kiuchumi nchini kwao. Baadaye Colombia ikatulia na uchumi kuimarika. Vikwazo vilipoanza Venezuela na uchumi kushuka wacolombia wakaanza kuwacheka Venezuela.

Sasa wanvenezuela watawaambia soon we'll be back.
Hakuna kitu kama hicho Venezuela aliwekewa vikwazo na marekani
 
huo mkataba hatujui vipengele na mashariti yake yapo vipi ila fikra zangu zinaniambia kabisa kutokana nahali inavyoendelea sasa kule ukraine kama unalosema litatokea basi nauhakika 80% mkataba huo utakuwa in favour of iran nautakuwa nimkataba mbovu kwa marekani kusaini kuliko ule trump alioupiga chini nabila shaka utakuja kuleta balaa baadae sababu iran anadhamira za wazi kabisa zakutengeneza silaha za nyuklia toka kitambo na hata marekani analijua hilo ...tusiongee sana wakati hatujui nikipi kitakuwa kwenye mkataba huo ngoja tusubiri
IRAN hana mpango wakutengenza nyuklia na aliishalisema hili wewe ninani mpaka umlishie ama uwalishie maneno
all in all US anaanza kutapa tapa maana sasa yupo IRAN yupo VENEZUELA kutaka kuziba gape litaloachwa na RUSSIA
cjui kwa IRAN ila kwa VENEZUELA kule asahau nandio maana akataka kumpindua bwana yule kwaajili ya hii ishu imekula kwake kenge yule
 
Itakuwa tu ileile ya Fidel castro tunakomaa lakini tunaumia. Putin katishia hivi vikwazo vikiendelea anaachia nyuklia. Kusema ukweli jamaa anaumia
Putin ataumia kiutu uzima atagugumia jdani kwa ndani
 
Back
Top Bottom