Wataje tu ni wavaa pedoToka niaze kufuatilia hivi vita vya Urusi v/s Ukraine naona Kuna baadhi ya watu wa Imani flani wanaishabikia Urusi ili kupata amani ya mioyo Yao kwa kulipa kisasi Kwa mashambulizi yaliyokwishafanya kwenye nchi za kiarabu, huu Ni ujinga Wa kiwango cha juu sana.
Raisi wa Poland huyo na kauli yakePoland says it is ready to deploy, "immediately and free of charge", all its MIG-29 jets to the Ramstein Air Base in Germany and place them "at the disposal" of the US government.
I don't know why but, Poland wanawatamani sana Russia aingie 18 zao, wamekuwa wachokozi sana
Hapo kwenye secondary ndio watu hupaogopa
IRAN hajawahi kua na hio mipango nakaishasema sanaairan mpango wakutengeza silaha zanyuklia upo chief,pia iran ni jeuri sana sidhani kama atakubali kuuza mafuta ulaya kama putin ataweka mkono wake, hofu yangu ni kwa venuzuela ambae yupo vibaya sana kiuchumi anaweza akamsaliti mrusi... Ila mda haudanganyi ngoja tuone nini kitatokea
hadi Taleban kulaan uvamizi wa Ukraine basi jua Putin kazingua sana.
hao alowapita ulishawahi kuona serikali zinabadilishwa eti kisa vikwazo?Hata N.Korea jeshi haliyumbi, point ya vikwazo sio tuu kuwabana serikali bali kuumiza watu wa ndani Ili wabadili kiongozi.
Kwa.sasa Russia anaongoza kwa kuwekewa vikwazo ngoja tuone mwisho wake
View attachment 2143008
Nawaonea huruma sana hao wapoland maana shughuli wanayoPoland says it is ready to deploy, "immediately and free of charge", all its MIG-29 jets to the Ramstein Air Base in Germany and place them "at the disposal" of the US government.
I don't know why but, Poland wanawatamani sana Russia aingie 18 zao, wamekuwa wachokozi sana
Weka data tuone kama hao hawawezi kureplace nafasi ya urusi.
???Toka niaze kufuatilia hivi vita vya Urusi v/s Ukraine naona Kuna baadhi ya watu wa Imani flani wanaishabikia Urusi ili kupata amani ya mioyo Yao kwa kulipa kisasi Kwa mashambulizi yaliyokwishafanya kwenye nchi za kiarabu, huu Ni ujinga Wa kiwango cha juu sana.
Iran akatae hela!! Wewe unaweza?!Kama Iran, Venezuela na Iraq wakikataa kuuza Mafuta kwa Marekani na Ulaya Basi ujue Marekani na Ulaya hawawezi kuweka vikwazo vya Nishati kwa Urusi.
Kama Iran anaushirika wa kweli na Urusi Kama tunavyoaminishwa Basi asusie kuwauzia Mafuta Ulaya.
Sio troops, Poland wamesema watawapatia Ukraine Ndege vita zote za aina ya MIG-29Raisi wa Poland huyo na kauli yakeView attachment 2143848
Kwa Sasa US, IRAN na VENEZUELA ni marafiki wakubwa mno[emoji2][emoji2], kumbuka Hana rafiki wala adui wa kudumu[emoji3][emoji3]. Hadi sasa Russia kwisha habari yake. Lakin mbona US huvamia nchi za watu na hali haiwi hivi? Hapo ndo utagundua nani mkubwa kati ya Russia na US, utagundua pia mkubwa ni mkubwa tu, na tatu utagundua kwanini US huenda vitani na washirika wake wa NATO, kwa sababu haiwezekani kuitenga NATO kwa vikwazo.IRAN hana mpango wakutengenza nyuklia na aliishalisema hili wewe ninani mpaka umlishie ama uwalishie maneno
all in all US anaanza kutapa tapa maana sasa yupo IRAN yupo VENEZUELA kutaka kuziba gape litaloachwa na RUSSIA
cjui kwa IRAN ila kwa VENEZUELA kule asahau nandio maana akataka kumpindua bwana yule kwaajili ya hii ishu imekula kwake kenge yule
Na Hali iko hivi huko kwenye battleground,toys wa Russia wanakata tamaa maana hawaelewi wako vitani kufanya nini huku wenzao wako fire 🔥🔥 kulinda Nchi yao kwa morale
View attachment 2143015
View attachment 2143016