LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Katafute mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Putin kawapeleka watu vitani na njaa!maajabu
 
Kwahiyo ww kutoka Chuwani Zenji unayajua haya ila walioko Moscow hawajui.
 
Ila na Iran wako vizuri kwenye drone na pia ni wazuri kwenye mifumo ya ulinzi ya kuharibu hizo drone na kuzidukua kwa hiyo usiwachukulie poa mkuu.


kwenye mgogoro wa Ukraine nime gundua umetawaliwa na propaganda nyingi mno kuliko uhalisia na vyombo vya habari vinazitia nguvu hizo propaganda na kuonekana ni kweli.

Kwa sababu jana wizara ya Ulinzi ya Marekani ilisema inakadiliwa wanajeshi wa Urusi kati ya 2000 au 4000 wameuawa lakini Ukraine inasema ni zaidi 12,000.

Ukraine inasema imeangusha zaidi ya ndege 88 na herkopita 48, wakati jana wizara ya Ulinzi ya marekani imesema ndege na herkopita za Urusi zilizo angushwa kwa ujumla hazifiki 20.



Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Jamani kuuliza si ujinga,naomba kueleweshwa hizo Tank Ni nini?...zikoje?
Tanks ni vifaru. Makala inaeleza uwezekano wanajeshi kuzidiwa na baridi ndani ya vifaru kuanzia wiki ijayo kutokana na kuchanganya msimu wa barafu. Njia pekee kuepuka hili ni kuicha engine ikinguruma muda wote ,jambo ambalo haliwezekani kutokana na upungufu mkubwa wa mafuta unaokabili jeshi la uvamizi. Vladimir Putin is a terrible war strategist.
 
Tunaitunza hii comment yako kwa matumizi ya baadae. Iache hivihivi tafadhali bila kui edit
 
If someone with weapons in their hands attacks the Russian military, he will also become a target, Peskov said, answering a question about the distribution of weapons to all citizens in Ukraine.
 
Kyiv constantly comes up with proposals for direct negotiations between Putin and Zelensky, now the foreign ministers are discussing this issue, Peskov said.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…