LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Peskov about Washington's statement about the answer in the event of the confiscation of the assets of companies leaving Russia: "The consequences will be mutually negative."

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Rais wa Ukraine kulalamika kila siku ni mbinu mojawapo ya kivita. NATO na USA wako nae bega kwa bega.

Wanachokifanyika NATO na USA ni kuitumia Ukraine kama chambo ya kuiangusha Russia kiuchumi ambapo matokeo yake haitatawalika na nguvu zake kijeshi zitapungua sana kwa siku zijazo.

Ukraine itapata hasara ya miundombinu ila NATO na USA watasaidia kuijenga upya.

Shughuli itakua kwa Russia maana itapata hasara kubwa kiuchumi kwa miaka mingi ijayo.
'Ukraine itapata hasara ya miundombinu...
Vipi kuhusu hasara ya uhai wa watu? NATO itafanya nini?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ifafanue zaidi sasa tuelewe kama ni ngumu kueleweka.
Mkuu unajua sometimes nakosa muda kuandika maelezo marefu.

Ukraine ana MANPADS ila usiku hazifanyi kazi vizuri. Sijasoma popote kwanini ila nafanya assumption kwamba nyingi zina optical seekers ambayo inafanya kazi kwenye mwanga mchana. Infrared seekers ambazo husoma kitu kinachotoa joto angani itakuwa labda hazijaletwa au guidance system ya MANPADS zao nyingi haitumii infrared. Pia Urusi inawinda sana air defence system za Ukraine hasa zile medium na long range. Kwahiyo unakuta inaweka angani ndege ya AWACS kama ambazo tatu zimeonekana kwenye base kule Belarus hivyo zinazungukia kule, zina coverage range ya kutosha. Ikiwa uko inachunguza anga la Ukraine na kujua wapi kuna radar emmissions kisha wanatuma ndege zishambulia pale kwa kutumia anti radar missile.
Kama mtakumbuka kuna mwaka hivi karibuni ndege ya Urusi ilipigwa na missile ya Syria na crew ya watu 16 kama sikosei walikufa, hii ilikuwa friendly fire na Syria ilikuwa inashambulia ndege za Israel zilizokuwa kwenye anga lake ikatokea ndege moja ikatumia manouver ya kujificha kwenye radar cross section ya ndege ya Urusi, ndio ilikuwa inafanya surveillance.

Kwahiyo Ukraine wanatumia air defence system mchana kimachale kwa kuwasha na kuzima faster. Someni jinsi a Yugolav commander shot down a US F-117 Nighthawk 'stealth' aircraft, mbinu ni hizi hizi. Usiku kuna kitu kingine kinafanya Ukraine wasifanye vizuri air defence, sijajua ni nini.
 
The European Union has reached the limit of its ability in terms of financial sanctions against Russia, said EU diplomat Josep Borrell.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Mwaka juzi kulikuwa na uzi nadhani ni wa North Korea nikadokeza somewhere kwamba Uturuki inaweza ipiga Iran watu wakaja juu kweli kwamba nawakosea Iran. Ila Uturuki ni taifa lingine kwenye silaha na ni superpower kwenye drone tangu kabla ya hii vita ianze. Silaha nyingine za Uturuki kama meli za kivita, helicopters, jet trainers, IFVs na APCs, missiles na precision guided munitions tuziache kwanza. Bado nasema hivi Iran hawezi kumpiga Uturuki na ambavyo dynasties za Persians zina historia ya kupigana na Ottomans mara nyingi. Hawa wote wapiganie mipakani ila sio deep in territories hiki tunachokiona kwa Ukrainians kiko kwenye damu ya Wairan sio kwamba unaanza kuwahamasisha.

Yale mapinduzi ya 2016 yaliyofeli Uturuki maelfu ya raia waliingia barabarani kutengeneza human chain kuzuia vifaru vya wanamapinduzi visipite, kuna clip nadhani YouTube bado zipo raia wamezuia njia crew ya kifaru ikafungua hatch kuongea nao raia wakawashusha na kuwachapa makofi. Nikiunganishi na jinsi Ottomans walivyopigana kwenye Gallipoli campaign kuzuia zile staits ambazo unapitisha meli za kivita ndio uende Urusi. The way kina Winston Churchill kipindi hicho ni kamanda walivyoshindwana na Waturuki mpaka kila upande ukapoteza wanajeshi 56,000 kwa vifo naamini Uturuki ukiwachokoza ujipange sana. Kuna jamii zina spirit ya tangu kale ya kupigana

Uturuki anaizidi China na Urusi kwenye unmanned aerial vehicles ila anazidiwa mbali na Israel na Marekani. Hizi ndege za Russia kina Su-25 na Mig-34 zinazopigwa kwenye anga la Ukraine hazina ulazima sana wa kutumika kama Russia ingekuwa na effective attack drones. Uzuri ni kwamba ukiwa na drone huogopi kupoteza rubani na unakuwa na confidence, rubani akiwa na Su-25 anakuwa na hofu, anaenda haraka na coordinates anaweza kosea kwa kiwewe maana kila siku ndege zinadondoshwa na mwishowe anakosea target. Operator wa drone anatulia maana haoni kingine zaidi angani, hata ikipigwa hatokufa, drone si gharama sana na zimetengenezwa kwa materials ambazo ni ngumu kuziona kwa radar
Nilikuuliza wewe ni mwanajeshi mstafu ukunijibu, wewe ni YouTube man, au ni mtekenolojia ya kijeshi.
 
The meeting between Lavrov and Kuleba is over. The negotiations lasted an hour and a half.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Mwaka juzi kulikuwa na uzi nadhani ni wa North Korea nikadokeza somewhere kwamba Uturuki inaweza ipiga Iran watu wakaja juu kweli kwamba nawakosea Iran. Ila Uturuki ni taifa lingine kwenye silaha na ni superpower kwenye drone tangu kabla ya hii vita ianze. Silaha nyingine za Uturuki kama meli za kivita, helicopters, jet trainers, IFVs na APCs, missiles na precision guided munitions tuziache kwanza. Bado nasema hivi Iran hawezi kumpiga Uturuki na ambavyo dynasties za Persians zina historia ya kupigana na Ottomans mara nyingi. Hawa wote wapiganie mipakani ila sio deep in territories hiki tunachokiona kwa Ukrainians kiko kwenye damu ya Wairan sio kwamba unaanza kuwahamasisha.

Yale mapinduzi ya 2016 yaliyofeli Uturuki maelfu ya raia waliingia barabarani kutengeneza human chain kuzuia vifaru vya wanamapinduzi visipite, kuna clip nadhani YouTube bado zipo raia wamezuia njia crew ya kifaru ikafungua hatch kuongea nao raia wakawashusha na kuwachapa makofi. Nikiunganishi na jinsi Ottomans walivyopigana kwenye Gallipoli campaign kuzuia zile staits ambazo unapitisha meli za kivita ndio uende Urusi. The way kina Winston Churchill kipindi hicho ni kamanda walivyoshindwana na Waturuki mpaka kila upande ukapoteza wanajeshi 56,000 kwa vifo naamini Uturuki ukiwachokoza ujipange sana. Kuna jamii zina spirit ya tangu kale ya kupigana

Uturuki anaizidi China na Urusi kwenye unmanned aerial vehicles ila anazidiwa mbali na Israel na Marekani. Hizi ndege za Russia kina Su-25 na Mig-34 zinazopigwa kwenye anga la Ukraine hazina ulazima sana wa kutumika kama Russia ingekuwa na effective attack drones. Uzuri ni kwamba ukiwa na drone huogopi kupoteza rubani na unakuwa na confidence, rubani akiwa na Su-25 anakuwa na hofu, anaenda haraka na coordinates anaweza kosea kwa kiwewe maana kila siku ndege zinadondoshwa na mwishowe anakosea target. Operator wa drone anatulia maana haoni kingine zaidi angani, hata ikipigwa hatokufa, drone si gharama sana na zimetengenezwa kwa materials ambazo ni ngumu kuziona kwa radar
uturuki ishakutanaga kwenye battle na syria na uturuki akakalishwa ilifika stage uturuki ikaomba patroit kutoka marekani hata kwenye mgogoro drone tb2 hazijafanya kitu . Upande wa iran iran irgc wana uzoefu coz wametapakaa mashariki ya kati kuhusu drone iran historia inawabeba mjadara wa uturiki na syria upo humu humu
 
Hivi Ukraine si ni nchi huru?
Sasa mbona kama Russia anawapangia wenzie? Kwani ye hofu yake nini km NATO wakiweka hizo silaha huko Ukraine? Ye si anasifiwa ana nguvu za kivita,na jeshi nk!

Basi km ni hivyo anawaogopa NATO
Mwaka 1962 Marekani alipinga vikali USSR kuweka silaha zake Cuba. Nusra ulimwengu uingie WW III kwa vita vya nuclear. Marekani huyo huyo leo anakenyua aweke silaha zake pembezoni mwa Urusi.
 
Ukrainian Foreign Minister Kuleba, after negotiations with Lavrov, said that the parties have not yet been able to reach a decision on a ceasefire.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Tanks ni vifaru. Makala inaeleza uwezekano wanajeshi kuzidiwa na baridi ndani ya vifaru kuanzia wiki ijayo kutokana na kuchanganya msimu wa barafu. Njia pekee kuepuka hili ni kuicha engine ikinguruma muda wote ,jambo ambalo haliwezekani kutokana na upungufu mkubwa wa mafuta unaokabili jeshi la uvamizi. Vladimir Putin is a terrible war strategist.
Asante!Dah Sasa itabidi watoke humo kwenye hayo mantaki wakavamie nyumba za Wananchi wajifiche humo...unless watakufa kizembe...Ila Putin si wapeleke mafuta si wakisema Urusi chief producer wa mafuta huko ulaya Sasa anakwama wapi?
 
Lavrov, following a meeting with Kuleba, said that Russia is in favor of any contacts that can contribute to a way out of the crisis in Ukraine.

At the same time, he noted that the Russian-Ukrainian track in Belarus to resolve the crisis in Ukraine is uncontested.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Lavrov: At the talks, Russia confirmed that Moscow's initiative to open humanitarian corridors in Ukraine on a daily basis remains in force.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Russia does not plan to attack other countries, and Russia did not attack Ukraine either, Lavrov said at a press conference following talks with Kuleba.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The transfer of MANPADS to Ukraine creates a threat to civil aviation, it is not clear where the weapons will go next, Lavrov said.
SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
The format of negotiations with Russia, which took place on March 10, will be continued, Kuleba said.

SmartSelect_20220309-103148_Gallery.jpg
 
Back
Top Bottom