Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Data are taken and added daily[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wakizikwa wachukua takwimu za kivita watazipatia wapi au watafukua makaburi [emoji848]....
Raia wa kirusi wanaumia vp?Dadeki kutoka Ruble 60+ mpk 120.
Wanaoumia apa ni Raia wa kirusi. Putin yee yuko Ofisini na kalam yake mezani. U
Vidali vya wale kuku wanajeshi wenu wanaiba kwenye mabanda ya watu?😂Tupo tunakula vidali vya kuku kwanza ndio tuje tushushe madini
Kwa iyo huyu ni mwakilishi wa wananchi?
Shida ya sisi world third countries tunahadaika sana...Piganeni huku Africa Ndio utajua kama Demokrasia inafwata au last. Hao ni watu wametumwa tu, wengine kwenda kutafuta umarufu wakizani vita imeshakuwa kama maji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama data are taken and being added daily, why there variations kutoka source zote.Data are taken and added daily
Bro hv mfumuko wa bei nchini kwako ni Raisi Samia anayeshinda Chamwino ndo hua anaumia au Raia wa chini aka mtumiaji wa mwisho... Mmm?Raia wa kirusi wanaumia vp?
Mkuu toka umeingia kwenye huu uzi kuna kitu umeongeza, heshima yako.Bro hv mfumuko wa bei nchini kwako ni Raisi Samia anayeshinda Chamwino ndo hua anaumia au Raia wa chini aka mtumiaji wa mwisho... Mmm?
Zile tozo zilivopanda aliumia Raisi au mwananchi wa kawaida... Ikitokea njaa apo nchini Rais wako nae atashinda njaa?
Mtu yeyote mwenye akili za kawaida tangu zile data za siku 4 za mpambano wa Ukraine na Russia takwimo za vifo zilizokuwa zinatolewa na Zelensky anakuwa tayari ameshagundua kuna data zinapikwa.Ila na Iran wako vizuri kwenye drone na pia ni wazuri kwenye mifumo ya ulinzi ya kuharibu hizo drone na kuzidukua kwa hiyo usiwachukulie poa mkuu.
kwenye mgogoro wa Ukraine nime gundua umetawaliwa na propaganda nyingi mno kuliko uhalisia na vyombo vya habari vinazitia nguvu hizo propaganda na kuonekana ni kweli.
Kwa sababu jana wizara ya Ulinzi ya Marekani ilisema inakadiliwa wanajeshi wa Urusi kati ya 2000 au 4000 wameuawa lakini Ukraine inasema ni zaidi 12,000.
Ukraine inasema imeangusha zaidi ya ndege 88 na herkopita 48, wakati jana wizara ya Ulinzi ya marekani imesema ndege na herkopita za Urusi zilizo angushwa kwa ujumla hazifiki 20.
Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
Heshima yako pia kwa kuniona jombaa[emoji3577][emoji1666]Mkuu toka umeingia kwenye huu uzi kuna kitu umeongeza, heshima yako.
Huwa naburudika napoona mtu anahoji taarifa kwa hoja fikirishi kama hivi.... Big Up Mr HammazMtu yeyote mwenye akili za kawaida tangu zile data za siku 4 za mpambano wa Ukraine na Russia takwimo za vifo zilizokuwa zinatolewa na Zelensky anakuwa tayari ameshagundua kuna data zinapikwa.
Ndani ya siku 4 data zilizotolewa wanajeshi wa Russia 3600 wamekufa. Suala si kama Russia hawafi, suala ni kuangalia kwa takwimu hiyo ya siku 4 battle gani imetokea Ukraine ya kumwaga damu kiasi hicho? Hakuna.
-Kuangalia gari za jeshi zinabeba wanajeshi wangapi?
-Vifaru vinabeba wanajeshi wangapi?
-Military Transport Plane inabeba wanajeshi wangapi?
-Helicopter zinabeba wanajeshi wangapi? n.k
-Formation ya kwenye battle ilikuwaje?
Ukishapata idadi ya wanajeshi wanaobebwa kwenye hizo zana ni kuangalia kwa hiyo idadi ya hao wanajeshi wanaobebwa zitakuwa zimelipuliwa zana ngapi za kivita?
-Rudi kwenye historia angalia battle kubwa zilizofanyika kipindi cha vita kwa siku walikufa wanajeshi wangapi?
-Kisha angalia battle kama hiyo Ukraine ilipiganwa? Na kama ilipiganwa ni wapi? Kwa sababu battle za namna hiyo miji huwa imasambaratishwa. Kisha rudi tena mji gani wa Ukraine umesambaratishwa?
-Vita zinapiganwa kwa kuviziana kwenye miji. Ukilipua utalipua vifaru au magari mangapi? Mpaka kwa siku uuwe wanajeshi wa adui wako 800? Hakuna! Ni data za uongo!
Russia ilitangaza imepeleka wanajeshi 120,000 Ukraine sasa kuuliwa 3,600 ndani ya siku 4 unashangaa?Mtu yeyote mwenye akili za kawaida tangu zile data za siku 4 za mpambano wa Ukraine na Russia takwimo za vifo zilizokuwa zinatolewa na Zelensky anakuwa tayari ameshagundua kuna data zinapikwa.
Ndani ya siku 4 data zilizotolewa wanajeshi wa Russia 3600 wamekufa. Suala si kama Russia hawafi, suala ni kuangalia kwa takwimu hiyo ya siku 4 battle gani imetokea Ukraine ya kumwaga damu kiasi hicho? Hakuna.
-Kuangalia gari za jeshi zinabeba wanajeshi wangapi?
-Vifaru vinabeba wanajeshi wangapi?
-Military Transport Plane inabeba wanajeshi wangapi?
-Helicopter zinabeba wanajeshi wangapi? n.k
-Formation ya kwenye battle ilikuwaje?
Ukishapata idadi ya wanajeshi wanaobebwa kwenye hizo zana ni kuangalia kwa hiyo idadi ya hao wanajeshi wanaobebwa zitakuwa zimelipuliwa zana ngapi za kivita?
-Rudi kwenye historia angalia battle kubwa zilizofanyika kipindi cha vita kwa siku walikufa wanajeshi wangapi?
-Kisha angalia battle kama hiyo Ukraine ilipiganwa? Na kama ilipiganwa ni wapi? Kwa sababu battle za namna hiyo miji huwa imasambaratishwa. Kisha rudi tena mji gani wa Ukraine umesambaratishwa?
-Vita zinapiganwa kwa kuviziana kwenye miji. Ukilipua utalipua vifaru au magari mangapi? Mpaka kwa siku uuwe wanajeshi wa adui wako 800? Hakuna! Ni data za uongo!
Hebu nipe hiyo link!? Wanajeshi 120,000 unaelewa unachokiongea??Russia ilitangaza imepeleka wanajeshi 120,000 Ukraine sasa kuuliwa 3,600 ndani ya siku 4 unashangaa?
Mlipuko wa kombora moja waweza kuuwa zaidi ya wanajeshi hata 500 kama wakiwa eneo moja.
Wapo wengine siku mbili hizi walikuwa wamechachawa wanatuletea ramani ya jinsi Russia inavyosonga mbele kuelekea kyiv.Tangu jana naona ziiii sijui nini kimewakumba 🙂wanapita kimya kimya kama hawaoni kitu
Umesaidia kuondoa ushabiki, na kuweka reality.Mtu yeyote mwenye akili za kawaida tangu zile data za siku 4 za mpambano wa Ukraine na Russia takwimo za vifo zilizokuwa zinatolewa na Zelensky anakuwa tayari ameshagundua kuna data zinapikwa.
Ndani ya siku 4 data zilizotolewa wanajeshi wa Russia 3600 wamekufa. Suala si kama Russia hawafi, suala ni kuangalia kwa takwimu hiyo ya siku 4 battle gani imetokea Ukraine ya kumwaga damu kiasi hicho? Hakuna.
-Kuangalia gari za jeshi zinabeba wanajeshi wangapi?
-Vifaru vinabeba wanajeshi wangapi?
-Military Transport Plane inabeba wanajeshi wangapi?
-Helicopter zinabeba wanajeshi wangapi? n.k
-Formation ya kwenye battle ilikuwaje?
Ukishapata idadi ya wanajeshi wanaobebwa kwenye hizo zana ni kuangalia kwa hiyo idadi ya hao wanajeshi wanaobebwa zitakuwa zimelipuliwa zana ngapi za kivita?
-Rudi kwenye historia angalia battle kubwa zilizofanyika kipindi cha vita kwa siku walikufa wanajeshi wangapi?
-Kisha angalia battle kama hiyo Ukraine ilipiganwa? Na kama ilipiganwa ni wapi? Kwa sababu battle za namna hiyo miji huwa inasambaratishwa. Kisha rudi tena mji gani wa Ukraine umesambaratishwa?
-Vita zinapiganwa kwa kuviziana kwenye miji. Ukilipua utalipua vifaru au magari mangapi? Mpaka kwa siku uuwe wanajeshi wa adui wako 800? Hakuna! Ni data za uongo!
Watu hawajui tu kuua hata wanajeshi wa adui wako 200 kwa siku ni mpambano mzito.