Putin anatakiwa airejeshe Alaska maana nayo iliondoka kihuni tu toka urusi km donbassPutin anaweza kuivamia hata marekani na wasifanye chaochote
Chonde chonde!!! Chifu Hanyanga asije akachongoa mdomo akatuponza!!! Akae kimya hivo!!!Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]
duh basi Ukraine wana kazi kubwa ya kufanya...ni kwamba tunaweza sema Russia anatetea haki ya mkataba kati yao na hayo majimboWatu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.
● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.
Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.
Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
shukrani mkuu angalau nimepata picha kamili ya huu mgogoro unaondeleaWatu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.
● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.
Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.
Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
Umoja wa Wamarekani wa Mwabepande na umoja wa wasiofungamana na upande wowote uko wapi?Kidume siku ya leo kaishachukua kyiev, mji mkuu wa Ukraine.
● Marekani yuko wapi???
● Umoja wa mataifa uko wapi???
● Umoja wa ulaya uko wapi???
● Umoja wa africa uko wapi???
Wamekalia porojo tu kenge hao.
We are watching this dramaMwanaume putin,bado kilomita 10 tu,aingie kiev,kazi kwenu NATO marafiki wakati wa raha..View attachment 2130839
Hahahahah wahuni hawaokoti simu chawa anachezea makombora tu show kali!Anazungumza Raisi wa Ukraine, Zelensky.
"Leo niliwauliza Viongozi 27 wa ulaya Kama Ukraine itakua ndani ya umoja wa NATO, Niliuliza Moja kwa moja. Kila mtu anaogopa, hawajibu Simu zangu. Na Sisi hatuogopi, Hatutaogopa chochote."
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer my calls. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
Source: Al Jazeera news
Umekula githeri sasa unatutolea Carbon monoxideMarekani ameprove Hana lolote. Hii itasaidia nchi kuingia kwenye mrengo wa Russia. Maana naye Ni mbabe haingiliwi.
putin hawez kuvamia nchi za NATO,
Putin anaweza kuivamia hata marekani na wasifanye chaochote
Walijitenga rasmi lini na Russia walipeleka majeshi ya ulinzi lini?Watu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.
● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.
Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.
Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
Hapa uliposema YOUR NEXT una maana gani maana sijaelewa.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.
Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.
Kwamtazamo wangu.
ukiangalia kimkakati Putin akimalizana na Kiev hataishia pale.
Kama kweli kilicho mfanya kuvamia Ukraine ni security issues,then anahitaji kuwafurusha wanajeshi wa US Poland na Romania.
Sababu nyingine nikwamba tayari Putin na washirika wake wameona US ni debe tupu kwahiyo watataka kumjaribu Poland waone atafanyanini.
Bilashaka Putin anaamini US akibaki Poland atakuwa haja maliza kazi sababu US watatumia ukaribu huo wa Poland ama Romania kuleta usumbufu Ukraine ambayo itakuwa tayari chini ya Russia.
Wamesha mjaribu Syria, na Venezuela wakaonakumbe hanauwezo mkubwa kiasi hicho.
Vi nchi vingine kama Latvia na Lithunia havina sumu Putin akivitaka anaweza kutuma migambo tu.
Ngoja tusubiri muda simrefu moto utawakatu.
Sisi Africa msituhusishe na maugomvi yao[emoji2][emoji119]Kidume siku ya leo kaishachukua kyiev, mji mkuu wa Ukraine.
● Marekani yuko wapi???
● Umoja wa mataifa uko wapi???
● Umoja wa ulaya uko wapi???
● Umoja wa africa uko wapi???
Wamekalia porojo tu kenge hao.
Kaelezea mwaka 2014Walijitenga rasmi lini na Russia walipeleka majeshi ya ulinzi lini?
You are next ✓ # Your next ×Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.
Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.
Kwamtazamo wangu.
ukiangalia kimkakati Putin akimalizana na Kiev hataishia pale.
Kama kweli kilicho mfanya kuvamia Ukraine ni security issues,then anahitaji kuwafurusha wanajeshi wa US Poland na Romania.
Sababu nyingine nikwamba tayari Putin na washirika wake wameona US ni debe tupu kwahiyo watataka kumjaribu Poland waone atafanyanini.
Bilashaka Putin anaamini US akibaki Poland atakuwa haja maliza kazi sababu US watatumia ukaribu huo wa Poland ama Romania kuleta usumbufu Ukraine ambayo itakuwa tayari chini ya Russia.
Wamesha mjaribu Syria, na Venezuela wakaonakumbe hanauwezo mkubwa kiasi hicho.
Vi nchi vingine kama Latvia na Lithunia havina sumu Putin akivitaka anaweza kutuma migambo tu.
Ngoja tusubiri muda simrefu moto utawakatu.