LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]
Chonde chonde!!! Chifu Hanyanga asije akachongoa mdomo akatuponza!!! Akae kimya hivo!!!

● Mwamba ana nuclear 6,100 (Nuclear) na vichwa vya nuclear 1,200 (Nuclear Warheads) vya kufunga kwenye makombora ya masafa marefu (Inter-Continental Ballistic Missiles ICBM).
 
Mwanaume putin,bado kilomita 10 tu,aingie kiev,kazi kwenu NATO marafiki wakati wa raha..
IMG_20220225_162550.jpg
 
Watu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.

● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.

Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.

Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
duh basi Ukraine wana kazi kubwa ya kufanya...ni kwamba tunaweza sema Russia anatetea haki ya mkataba kati yao na hayo majimbo
 
Watu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.

● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.

Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.

Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
shukrani mkuu angalau nimepata picha kamili ya huu mgogoro unaondelea
 
Kidume siku ya leo kaishachukua kyiev, mji mkuu wa Ukraine.

● Marekani yuko wapi???

● Umoja wa mataifa uko wapi???

● Umoja wa ulaya uko wapi???

● Umoja wa africa uko wapi???

Wamekalia porojo tu kenge hao.
Umoja wa Wamarekani wa Mwabepande na umoja wa wasiofungamana na upande wowote uko wapi?
 
Anazungumza Raisi wa Ukraine, Zelensky.

"Leo niliwauliza Viongozi 27 wa ulaya Kama Ukraine itakua ndani ya umoja wa NATO, Niliuliza Moja kwa moja. Kila mtu anaogopa, hawajibu Simu zangu. Na Sisi hatuogopi, Hatutaogopa chochote."

[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer my calls. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”

Source: Al Jazeera news
Hahahahah wahuni hawaokoti simu chawa anachezea makombora tu show kali!
 
Mmarakani hafanyi vita isiyo na faida kwake. Hawezi rudia makosa kwenda kumwaga damu ya wamarekani katika nchi za wengine bila faida yoyote. Sana sana Ukraine atasaidiwa kwenye ujasusi na Technolojia.

Pili Mmarekani anakwepa vita ya moja kwa moja na Russia. Ni busara kubwa kwani ukumbuke kwa tabia za Putin akiona anashindwa vita ya kawaida anaweza tumia Nyuklia ambayo kwa mmarekani anajua ni mwisho wa kila kitu.

Tatu vita ni gharama. Ukumbuke mmarekani akiwa vitani Mchina yupo kazini kujenga uchumi wake. Kwa vita ya moja kwa moja na mrusi si vita ya Muda mfupi. Hivyo inaweza kusababisha anguko kubwa la kiuchimi na kupelekea Mchina ku emerge kama New world Super power.

Kwa mrusi yeye hana cha kupoteza kwa kiuchuni yupo chini sawa tu na jimbo moja la Marekani. Yeye yupo vizuri kwenye technolojia ya silaha.
 
Watu wanakurupuka tu na kuchongoa midomo yao, hawajui chanzo cha haya yote. Russia sio mwenye tatizo katika hii vita.

● 2014 majimbo mawili yalijitoa katika nchi ya Ukraine, Luhansk na Donesk, yakajitangaza ni majimbo huru. Baada ya kujitoa na kujitangaza kuwa huru yalienda Moscow na kuomba msaada wa ulinzi kwa Rais Putin.

Wakaingia mkataba wa ulinzi na Russia. Ukraine walipeleka majeshi katika miji hio week mbili zilozopita, Russia ilibidi apeleke majeshi yake kutuliza amani na ulinzi kama makubaliano yalivokua kati yake na Donesk na Luhansk. Ukraine akaanza kumshambulia msafara wake.

Akatoa tamko wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chini na wajisalimishe. Wamegoma. Mnataka afanye nini sasa???
Walijitenga rasmi lini na Russia walipeleka majeshi ya ulinzi lini?
 
Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.

Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.

Kwamtazamo wangu.
ukiangalia kimkakati Putin akimalizana na Kiev hataishia pale.

Kama kweli kilicho mfanya kuvamia Ukraine ni security issues,then anahitaji kuwafurusha wanajeshi wa US Poland na Romania.

Sababu nyingine nikwamba tayari Putin na washirika wake wameona US ni debe tupu kwahiyo watataka kumjaribu Poland waone atafanyanini.

Bilashaka Putin anaamini US akibaki Poland atakuwa haja maliza kazi sababu US watatumia ukaribu huo wa Poland ama Romania kuleta usumbufu Ukraine ambayo itakuwa tayari chini ya Russia.

Wamesha mjaribu Syria, na Venezuela wakaonakumbe hanauwezo mkubwa kiasi hicho.

Vi nchi vingine kama Latvia na Lithunia havina sumu Putin akivitaka anaweza kutuma migambo tu.

Ngoja tusubiri muda simrefu moto utawakatu.
Hapa uliposema YOUR NEXT una maana gani maana sijaelewa.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wamarekani wenzangu wa kimbiji eyo wasup man. Hahahaaa.

Nimetania kidogo hapo lakini kwakweli babu Biden na serikaliyake hawalali usingizi kwa aibu wanayo ipata huko ulaya, yani nikama Putin anawapiga wao.

Kwamtazamo wangu.
ukiangalia kimkakati Putin akimalizana na Kiev hataishia pale.

Kama kweli kilicho mfanya kuvamia Ukraine ni security issues,then anahitaji kuwafurusha wanajeshi wa US Poland na Romania.

Sababu nyingine nikwamba tayari Putin na washirika wake wameona US ni debe tupu kwahiyo watataka kumjaribu Poland waone atafanyanini.

Bilashaka Putin anaamini US akibaki Poland atakuwa haja maliza kazi sababu US watatumia ukaribu huo wa Poland ama Romania kuleta usumbufu Ukraine ambayo itakuwa tayari chini ya Russia.

Wamesha mjaribu Syria, na Venezuela wakaonakumbe hanauwezo mkubwa kiasi hicho.

Vi nchi vingine kama Latvia na Lithunia havina sumu Putin akivitaka anaweza kutuma migambo tu.

Ngoja tusubiri muda simrefu moto utawakatu.
You are next ✓ # Your next ×
 
Back
Top Bottom