Galip Veryl
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 2,147
- 13,463
[emoji848] Breaking NewsWaacha wee ndugu Mbonde kutoka dunia tatu unajifanya kuwa na akili kuliko Russia.
Yaani Treni inakutana uso kwa uso na bajaj, halafu ndugu yangu unadai dereva wa Treni atakufa. Hivi vita mshindi kishajulikana kabla ya vita haijaanza.
Ukraine wamepagawa wanatangaza askari wa Urusi waliokufa wanasahahu askari wao propaganda za kitoto.
So[emoji848] Breaking NewsView attachment 2147228
Njoo nikuungeAiseee tunakosa mengi kwa mabando yetu ya kuvizia
Kwa tukila baga na chips vidali ndio tunawaza vyemaTukishakula mihogo tunafikiria ujinga ujinga tu.
Kwahiyo wewe unatupangia kipi Cha kufuatilia mitandaoni, huwa unatununulia bando au tulishawahi kukuomba pesa ya dagaa kwa kuwa tunashinda mitandaoni kufuatilia maswala ya Vita hivyo hatuna muda wa kutafuta mahitaji ya family?Wamarekani hawana pressure na hii vita. Sisi kutokana na kukosa mambo muhimu ya kufanya ndio tuko hapa masaa 24 kuzungumzia vita.
Wamejawa Upuuzi Sana[emoji848] Breaking NewsView attachment 2147228
Yawezekana wewe ndo uliona ngoma ni rahisi sana ila yeye atakuwa aliona na anafahamu mengi zaidiKwenye huu mgogoro Urusi naona anaenda nje ya mategemeo yake wakati anaanza hii operation.
Alijua ngoma itakuwa rahisi sasa mambo yanazidi kuwa mengi.
Kama hiyo amount nikweli then inatosha kufidia uharibifu.Kyiv is negotiating with European countries so that the arrested $415 billion of Russian reserves will be used to compensate for damage to Ukraine, said the deputy head of the Ministry of Economy of Ukraine. Galip SV Liwagu View attachment 2146971
bonge moja la takataka😂😂😂mmmmh ! Ona hilinalo
Kwa usalama wa nchi ya russia kwa vyovyote kama ningekuwa Putin, ningeendeleza mashambulizi.. Siwez kuweka nchi yangu hatarini kwa sabbu ya nchi ambayo naweza kuipiga..UNGEKUWA WEWE UPO KATIKA NAFASI YA PUTIN NA SANCTIONS ZOTE HIZI UNGEFANYA NINI WAKATI HUU?
NA JE UNGEKUWA ZELENSKY KATIKA NAFASI YAKE UNGEFANYA NINI?
View attachment 2147187
Mkuuhezbullah ndani ya ukraine mataifa ya ulaya yajiandae kweli kweli
Putin hapa kajua kuwaza mbali sana
Mkuu
Naomba more information ya hii habari.