MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Sababu kubwa ndio wanaotawala vyombo vya habari vingi na hii sababu wameipiga marufu RT na Sputnik News mpaka huku kwetuWamarekani wana satellites, ndege na meli ziko busy zinachunguza vita na taarifa nyingi tunazipata kutoka vyanzo vyao. Ndio wana mambo mengi ya kugawa silaha na kuweka vikwazo
Yeye ndiye kaichukulia propaganda, Ni uhuru wa mtu kusema haijarishi yuko sahihi au yuko sawa. Tukitaka tuichambue vita vizuri inabidi tutambue kuwa emotions sio mahala pake.Hajasambaza Propaganda... Soma mpaka mwisho "....Ryabkov Said"
Au ye NYUNDO YA MOTO ndo Ryabkov [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa. Na elimu ya vitu hivyo siku hizi siyo za kujivunia. Maana unaweza kusoma online na ukajua uchumi.Hata hyo elim ya uchumi ka kweli anayo bas n kiduchu mno... Tena MNO.
Au ka anayo kubwa bas anaifanyia mahaba mpk anatoka nje ya msitari na kuzungumza utooo....
Ndivyo hata Ka-Zelensky katakuja Kubebwa hivyo[emoji1][emoji1][emoji1]Nimeshangaa ukrain wamezembea hadi meya wa maliupolo ametekwa na urusi
Vila vifaru na ndege vita zilipoingia niliamini kesho yake Urusi anateka nchi.Ila ukisoma au tazama habari toka vyombo vya habari vya magharibi, unaweza ona kama Ukraine anashinda huo mtanange kesho
Hawakawii, Biden kawaponza sana na mamuzi yake ya hisia, Na yeye katika uongozi wake ame play part kubwa kutibua volcano iliyopoa.West wanaharibu soka asee soon tutaskia tim zingine zinagoma kcheza EPL hii inaweza athiri mpaka World cup ndo watu wajue Russia ni Nchi kubwa mambo mengi yatatokea asee.
Hii kitu inaawaathiri na wao walifikiri ni Russia tu na ndugu yangu yuko Uk ananmbia vitu vimepanda bei hatari ila hawatangazi soon migomo itaanza kutokea [emoji28][emoji28]
Nchi ya pili kwa ukubwa Ulaya.Ila kiukwel hii inaonesha udhaifu wa Russia
Yani kanchi kama Ukraine kanawasotesha mpaka wametafuta watu kutoka midle east na belerous
wameshamteka Meya wa mji fulan kyiv hii ni al jazeeraKuna kila dalili kwamba Russia yajiandaa kuivunjavunja Kyiv.
Hii yakumbusha miji ya Grozyn kule Chechnya na Allepo nchini Syria ambako miji yake hiyo imegeuka kuwa magofu.
Hawakawii, Biden kawaponza sana na mamuzi yake ya hisia, Na yeye katika uongozi wake ame play part kubwa kutibua volcano iliyopoa.
Maneno ya Zelensky yalimgusa sana, Alidai kuwa Nato na EU sio kitu, wamemuacha hawana nguvu juu ya Russia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...US Will move to suspend normal trade relations with Russia.
Asilimia kubwa ya vitu abidhaa zinazotumika afrika vinatoka Uchina, msijizime data.Wewe asilimia 90 ya uendeshaji wa maisha yako hapa duniani unatumia vitu/vifaa vya mnaowaita Wamagharibi, gari badala ya ngamia, bunduki badala ya jambia, ndege badala ya punda au farasi, dawa za hospitalini badala ya nyungu, simu badala ya kuandika ktk magome halafu huoni umejitia upofu.
Uchumi wa kila mtu utatikisikaBiden ni rais dhaifu mno anakimbilia vikwazo afu anashinikiza kila nchi zimpe russia sanctions. Kama Chelsea watashindwa endelea kucheza soka kuna uwezekano tim zingine zikagoma kuendelea na EPL tusubiri muda utafika.
Wanaweka vikwazo mpaka wanajiwekea na wao wenyewe pia[emoji28][emoji28]
Nchi ya pili kwa ukubwa Ulaya.
Nchi ya 22 kwa nguvu za Kijeshi duniani.
Je tuambie wakati ;
USA anaivamia Iraq lilikuwa Taifa la ngapi duniani Kijeshi na kiuchumi
NATO wanaivamia Libya ,lilikuwa Taifa la ngapi.
Tuelezee na kule Afghanistan.
Usisahau Ukraine waliwapa siraha raia ambao wanajificha maeneo tajwa.[emoji23] [emoji81] leta zako tuone zaidi mnashmbulia mashule, hospitali, na makazi ya watu warusi wako wakichoka wanaenda kuiba kuku
mmeomba msaada kwa assad na litishenko aibuuu super power ya buza
✅ huitaji PHD kujua hili.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...
USA katika trading zake na Russia anazofanya iko valued to 28Billions dollars according kw data za 2019...
Katika hyo 28Billions Dollars kuna 5.8Billions USD za Exportation na 22.3Billions USD za Importation... Yaaaani ni deficit ya takriban 16.5Billions USD kwa USA.
So mpk apo ushaelewa nani anayemtegemea mwenzake... Haya umempiga marufuku kuleta au kufanya nae biashara ilhali we ndo unaechukua kingi kutoka kwake tofauti na yeye anavochukua kutoka kwako....
Kama hujafanya Alternative ya sehem nyingine ya kuchukulia hicho unachokizuia maana ake inapelekea kufinya Supply, ambayo inaenda kuzaa inflation kwa mtumiaji wa mwisho sio Biden Ofisin...
Je hyo move inamuumiza Mrusi au mpk Marekan mwenyewe? Mrusi atabaki na vitu na vitu vyake alivokuw anavipeleka... Je ye yule aliyekuuwa anapelekewa???
Wewe ni kajinga,kwa hiyo importation anayofanya US kutoka Russia itakula kwa nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...
USA katika trading zake na Russia anazofanya iko valued to 28Billions dollars according kw data za 2019...
Katika hyo 28Billions Dollars kuna 5.8Billions USD za Exportation na 22.3Billions USD za Importation... Yaaaani ni deficit ya takriban 16.5Billions USD kwa USA.
So mpk apo ushaelewa nani anayemtegemea mwenzake... Haya umempiga marufuku kuleta au kufanya nae biashara ilhali we ndo unaechukua kingi kutoka kwake tofauti na yeye anavochukua kutoka kwako....
Kama hujafanya Alternative ya sehem nyingine ya kuchukulia hicho unachokizuia maana ake inapelekea kufinya Supply, ambayo inaenda kuzaa inflation kwa mtumiaji wa mwisho sio Biden Ofisin...
Je hyo move inamuumiza Mrusi au mpk Marekan mwenyewe? Mrusi atabaki na vitu na vitu vyake alivokuw anavipeleka... Je ye yule aliyekuuwa anapelekewa???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ndo maana nikamuuliza kaisoma mpk mwisho...???Yeye ndiye kaichukulia propaganda, Ni uhuru wa mtu kusema haijarishi yuko sahihi au yuko sawa. Tukitaka tuichambue vita vizuri inabidi tutambue kuwa emotions sio mahala pake.
Pili tusimchukulie Russia kama Adui ili tupate upenyo wa kutambua mapungufu ya pande zote mbili na nchi zinachochukua hatua jinsi zinavyokosea au kuwa sawa katika mamuzi yao.
Tuangalie katika factors mbili, ki siasa na Kiusalama na kiuchumi, Utajua Zelensky yuko sawa na upande mwingine yuko wrong. Vivyohivyo kwa Russia.
Sidhani kama atakuja na ngojera tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana nakwambia we bado sana jomba kwe uchumi... au ka waujua vyema basi mahaba yamekuzidia uwezo wa kufikiri... na sorry ka ntakua nakukwaza kama nimetumia lugha kavu...
USA katika trading zake na Russia anazofanya iko valued to 28Billions dollars according kw data za 2019...
Katika hyo 28Billions Dollars kuna 5.8Billions USD za Exportation na 22.3Billions USD za Importation... Yaaaani ni deficit ya takriban 16.5Billions USD kwa USA.
So mpk apo ushaelewa nani anayemtegemea mwenzake... Haya umempiga marufuku kuleta au kufanya nae biashara ilhali we ndo unaechukua kingi kutoka kwake tofauti na yeye anavochukua kutoka kwako....
Kama hujafanya Alternative ya sehem nyingine ya kuchukulia hicho unachokizuia maana ake inapelekea kufinya Supply, ambayo inaenda kuzaa inflation kwa mtumiaji wa mwisho sio Biden Ofisin...
Je hyo move inamuumiza Mrusi au mpk Marekan mwenyewe? Mrusi atabaki na vitu na vitu vyake alivokuw anavipeleka... Je ye yule aliyekuuwa anapelekewa???
Hii hadithi yako ni baada ya yule dogo kutumwa na kaka zake waliopo chuo kikuu na kuja kumsaidia dogo, kumbe kaka na yeye kaita washikaji zake wa masters levelHuoni maajabu sio?mfano Kaka wa form six kaenda kumpiga mdogo wake wa darasa la tano dogo kapambana halafu jamaa kakimbia kuita masela wake wamsaidie kumpiga dogo hayo huoni Ni maajabu.?