LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

Venezuela is Russia's ally, but ready to sell oil to US – minister​

Caracas is ready to restore oil trade with the US provided it recognizes legitimacy of President Nicolas Maduro.

Venezuela’s Minister of Foreign Affairs, Felix Plasencia, has said Caracas would be ready to sell oil to the United States again, while remaining “loyal” to Moscow.
Safi sana....maslahi ya nchi kwanza
 
SEKTA YA MADINI NCHINI URUSI

* Urusi ni nchi ya 3 kwa uzalisha madini ya Gold- kwa mwaka uzalisha tani 300 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 4 kwa kuzalisha madini ya silver- kwa mwaka uzalisha tani 2100 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 3 kuzalisha madini ya aluminium-uzalisha tani 3600 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 7 kuzalisha madini ya copper-uzalisha ton 850 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 1 kuzalisha madini ya Diamond-uzalisha carats milion 40 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 5 kuzalisha madini ya steel-uzalisha 71 metric tonnes kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 2 kuzalisha madini ya platinum-uzalisha 22 tones

*Urusi ni nchi ya 5 kuzalisha madini ya iron-uzalisha tani 99, 000 kwa mwaka

*Urusi ni nchi ya 8 kuzalisha madini za zinc-uzalisha tani 300, 000 kwa mwaka
 
Tumeona safu mpya ya mashambulizi kutoka kwa wanajeshi wa Urusi asubuhi ya leo - makombora yakipiga viwanja vya ndege katika miji ya magharibi ya Lutsk na Ivano-Frankivsk.

Pia wameshambulia ngome ya kati-magharibi ya Dnipro kwa mara ya kwanza tangu uvamizi huo uanze zaidi ya wiki mbili zilizopita.

Wakimbizi kutoka miji iliyokumbwa na mashambulizi ya mabomu wamekuwa wakikimbilia magharibi mwa Ukraine wakiamini kuwa ni salama zaidi.
Makumi ya maelfu wamepitia Lviv - kitovu kikubwa cha raia. Mashambulizi ya Ijumaa yanalenga miji ya pande zote.

Meya wa Ivano-Frankivsk amethibitisha kushambuliwa kwa makombora mengi na Urusi katika mji wake kusini-magharibi mwa Ukraine.

Katika ujumbe wa Facebook, alisema:
"Adui alipiga Frankivsk."

Aliwataka watu kutoshiriki picha na video za milipuko hiyo na alionekana kupendekeza mfumo wa kengele maana mfumo wa makombora haufanyi kazi.

Na aliwaonya wakazi wa wilaya za Krykhivtsi, Chukalovka, Opryshivtsi, Gorodok wasiondoke majumbani mwao.

"Kaa nyumbani kwa usalama wako! Wakati hatari itapita - nitakufahamisha," anaongeza.

Vikosi vinavyoungwa mkono na Urusi vilikamata Volnovakha, ripoti zinasema

Huku mashambulizi mapya yakiripotiwa nchini kote Ukraine, sasa kuna ripoti kwamba watu wanaotaka kujitenga wanaoungwa mkono na Urusi wameuteka mji muhimu wa kimkakati wa Volnovakha, kaskazini mwa bandari iliyozingirwa ya Mariupol, shirika la habari la RIA limenukuu wizara ya ulinzi ya Urusi ikisema.

Chanzo: BBC swahili
Screenshot_20220313-102902.jpg
 
The capital of Iraqi Kurdistan, the city of Erbil, was attacked by rocket fire near the US consulate. Videos are posted on social media.

The strike, previously, could have been delivered from the territory of Iran. Galip SV Liwagu
View attachment 2148536
Alete vikwazo vyake basi na nmeongea classmate wangu Kim Jong Un kesho anatest kombora la masafa ya Kati linalokimbia kwa kasi ya sauti
 
Back
Top Bottom