LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Tulishakubaliana lengo kugeuza kifusi cha majivu Russia sio Iran
 
"Kuna uwezekanao mkubwa Jeshi la Urusi kuvamia nchi wanachama wa NATO".
Hayo ni madai yaliyotolewa hivi karibuni na wanadiplomasia wakuu wa Umoja wa Ulaya.

......."Ulaya inajitahidi kati ya nia yake ya "kuunga mkono" Ukraine huku kukiwa na mashambulizi yanayoendelea ya Urusi na hofu yake kwamba vita vinaweza kuenea katika nchi nyingine za ulaya" - kauli ya mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell wakati akiongez na CNN .

... "Kila mtu anajaribu kuweka usawa mgumu. Kwa upande mmoja, tunajaribu kuunga mkono Ukraine na, kwa upande mwingine, tunajaribu kuzuia vita kubwa zaidi,” Josep aliongeza.

Chanzo: RT news
 
Nataman kumjua aliyezungumza hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UPDATE: Death toll in Yavoriv attack climbs to 35, with 134 hospitalized, according to regional military governor. - @gullivercragg
 
[emoji635][emoji1255] The President of Ukraine ordered the transfer of 128 separate mountain infantry and 10 separate mountain assault brigades from the western borders to the east of Kyiv to slow down the advance of Russian troops, thereby exposing the border with Poland. As a result of a pinpoint strike by two cruise missiles in the area of the settlement of Baryshevka, the 8th separate mountain assault battalion of the 10th brigade was completely destroyed. Thus, the Armed Forces of Ukraine are throwing their last strategic reserves into battle.

Hii ikoje eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…