Warussia walifikiri ingekuwa ni a walk in the park lakini hadi leo siku ya 18 wameshindwa kukamata jiji la Kiev na sasa wamehamia kwa raia.
Tulishakubaliana lengo kugeuza kifusi cha majivu Russia sio IranIdadi ya watu waliokufa kwenye shambulio hilo la Ngome ya kijeshi ya Ukraine karibu na mpaka wa Poland imetangazwa upya kuwa ni watu 20 hadi sasa, na watu 57 wamejeruhiwa vibaya.
Na kwa mujibu wa Reuters, Russia ilishambulia ngome hiyo kwa maroketi 30 [emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
Mwambieni Putin apunguze, maroketi 30 yote ya nini ?! Utafikiri anaua nyoka!
View attachment 2148827
As it happened: Zelenskiy urges Nato to implement no-fly zone
This live blog has now closed. Follow the latest updates on the Russia-Ukraine war here.www.theguardian.com
Kipigo kikizidi lazima atoe mlio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukiona Zelensky katoka kwenye Vyombo vya habari ujue kuna kipigo kizito kimetokea, Week nzima alikuwa kimya kwa sababu ya ceasefire ili kupisha humanitarian corridors
Mapigo na mwendoKuna kambi kubwa ya kijeshi huko ukraine imepewa mapigo mazito mbaya zaid kulikuwa na wajeda wa kigeni
Nataman kumjua aliyezungumza hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]whem12maisbzy2
neil111, It is not over yet, if you want to kill a sneak you have to smash it head, you can't just wand it and let it go, it can still coming back. NATO is like a big sneak which the head is the US, if you just cut the tail of the sneak you won't kill it. You have to go to the head and cut it off, then the rest of the bad will dies. Th US is the only thing that hold the EU together because they are a bunch of little nation who can't defend themselves, so, things works in both way, the US provide cover for them while they going around making trouble pretending they are something to be recognize with. But in fact they are just nothing. North Korea alone could wipe them all out.
13 hr
1 reply
====
North Korea si mchezo soma hiyo komenti. Ha ha haaaaaa!
ngoja njaa iwapige kwanza!!nandege ziache kutua kwenye uwanja wandege ule mfu wataelewa tu...ukisema "jiwe" ndugu zangu wa sukuma gang hawakuelewa kabisa
Wenzako wanakula kichapo huko huku miji ikichukuliwa na Urusi ww unafkiria bado hawataweza? [emoji23]Warussia walifikiri ingekuwa ni a walk in the park lakini hadi leo siku ya 18 wameshindwa kukamata jiji la Kiev na sasa wamehamia kwa raia.