Unamlia Timing mwenye Nuclear weapons.... muda mwingine tumieni akili. Wazungu walizoea kupigana vita vya mbali, sasahivi mavi yako sebuleni kwao mamaeee..Putin analiwa timing na watu wenye akili nyingi
Naona ndio wanakoelekea sasaAjaribu na kwenda kiev kuiteka Ukraine yote ndo utajua kuwa hakuna mbabe Duniani, Urusi ina nguvu kubwa za kijeshi kweli, lakini hii vita haitashinda
Sio Russia hii vita ni maono ya jitu moja tuu kwa uroho wake limevamia nchi huru ambayo haijamchokoza.Russia siyo mjinga, lazima keshayapiga mahesabu yake yote.
Russia siyo mroho anapigania haki yake mkuu. Ila sema mchora michoro ni usaSio Russia hii vita ni maono ya jitu moja tuu kwa uroho wake limevamia nchi huru ambayo haijamchokoza.
Yaani watu humu akili zao wanazijua wenyewe!Ukisikia vita hata iwe ya mapanga, ni mbaya sana. Nawashangaa humu ambao huwa wanabishana kana kwamba vita ni soka.
Labda kwa sababu hatujawahi kuonja machungu yake. Mungu awasaidie hawa watu kumaliza hili suala. Tuendelee kuwaombea
Sio IQ ndogo, IQ ndogo inayoongozwa na tumbo lililojaa wanga uliotokana na dona au miogo. Kuna watu wanahoji mambo ya vita kama wapo wanajikamua kinyesi cha constipationWenye IQ ndogo duniani tupo tunashabikia ...hatujui chochote tunashabikia tu
Kumbuka Putin pia nimzuri kwenye hizo timing he is very tricky and brilliant upstair unless angeshapotea kitambo Sana(A former KBG agent)Putin analiwa timing na watu wenye akili nyingi
urusi ni miongoni mwa nchi zenye wayahudi wengi na ndio siri ya wao kuwa mahodari katika ubunifu wa kutengeneza zana bora za kivita hivyo hoja ya taifa la MUNGU haina mashiko hata urusi ni miongoni mwa nchi zenye wa Israel wengi sanaMi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.
Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Umeyachoka maisha na huna uzazi? Maana umechangamka kabisa na huko kunukia kwa nukeAlijuw lazima hicho kitu kitokee na ndiyo maana nuke inanukia.
Halafu wanajifanya wachambuzi huku wameshika vikombe vya kahawa ya mkopo. ππSio IQ ndogo, IQ ndogo inayoongozwa na tumbo lililojaa wanga uliotokana na dona au miogo. Kuna watu wanahoji mambo ya vita kama wapo wanajikamua kinyesi cha constipation
Acha tu πHalafu wanajifanya wachambuzi huku wameshika vikombe vya kahawa ya mkopo. ππ
Ukraine itakuwa nchi ya mwisho Russia kuishambulia kuhusu mambo ya NATO. NATO naona wamekuja full hapo Poland na nchi za jirani.#EXTRAORDINARY - Moscow will retaliate if Sweden and Finland join #NATO! https://t.co/rfyczCteEJ