LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hivi vyombo vya habari wa kimagharibi mara zote zimekuwa na kazi ya kiwatoa bongolala kwenye attention.

Acheni propaganda, tupeni taarifa za kinachoendelea kwenye battle field. Russia hajavamia Ukraine akitegemea msaada wa China, ninachojua ametoa angalizo kwa kiherehere yoyote atakaejaribu kumuingilia na ndiomaana huoni mjinga yoyote akijipendekeza.
NATO wako standby hapo Poland na wameahidi kuendelea kutoa silaha kwa Ukraine.
 
Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.

Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Taifa La Mungu Yupi Huyo Au Mungu Dulga Wa Kwenye Bondita
 
Ahsante Mzee Mohamed ...hii mwishowe nadharia ya balance of Terror itasimama😅
 
Kwahiyo tangu leo asubuhi mpaka sasa majeshi ya Urusi yako yanapiganania kuuchukua mji wa Kyiv wakati walikuwa wamebakiza kilomita 10 kuingia central district. Yani tangu asubuhi mpaka sasa hivi wanapigania kilomita 10?

Jana hapa nilisema performance yao sio nilivyotarajia kuna watu walininanga, leo Warusi wamepewa wapiganaji 10,000 wa ziada wa Chechen. Ukraine imepata msaada wa silaha kidogo kutoka Poland mida ya jioni. Sikuwa nafikiria kama jeshi la Ukraine na raia wake wanaweza hold their positions mpaka usiku wawe na Kyiv
Vita haipiganwi kama kula maandazi na chai ya rangi unang'ata andazi popote tu hata umetizama kwingine.

Hapo kuna mission inatakiwa kukamilishwa ikiwemo kuepuka majeruhi na vifo vya raia, uharibifu wa miundo mbinu, kuwakamata walengwa wakiwa hai nk.

Urusi wamejipa saa 72 kukamilisha misheni yao. Leo rais wa Ukrain ndugu Zelesky akiongea toka mafichoni ameaga washirika wake wa NATO kuwa itakuwa mara ya mwisho kuongea nao kwani ndani ya saa 48 zijazo lolote laweza tokea kwake akiwa yeye ni mlengwa wa kwanza. Hizo saa 48 ukiongeza 24 zilizopita ni saa 72 za misheni ya Mrusi.

Vita sio maana wasio na hatia wanaumia kwa maslahi ya wapuuzi wachache
 
Vita haipiganwi kama kula maandazi na chai ya rangi unang'ata andazi popote tu hata umetizama kwingine.

Hapo kuna mission inatakiwa kukamilishwa ikiwemo kuepuka majeruhi na vifo vya raia, uharibifu wa miundo mbinu, kuwakamata walengwa wakiwa hai nk.

Urusi wamejipa saa 72 kukamilisha misheni yao. Leo rais wa Ukrain ndugu Zelesky akiongea toka mafichoni ameaga washirika wake wa NATO kuwa itakuwa mara ya mwisho kuongea nao kwani ndani ya saa 48 zijazo lolote laweza tokea kwake akiwa yeye ni mlengwa wa kwanza. Hizo saa 48 ukiongeza 24 zilizopita ni saa 72 za misheni ya Mrusi.

Vita sio maana wasio na hatia wanaumia kwa maslahi ya wapuuzi wachache
Dah raia wanapata shida sana. Mungu awanusuru.
 
Vita vya kiintel vinaendelea huko .

Mambo ni moto.

Niko na Rais wa Ukraine tunajadili namna ya kutorokea magharibi mwa nchi na kuweka kambi pale.
 
Sasa kusupport efforts to resolve the war through dialogue ndo kumtosa? Kwani Putin aliomba msaada wa kijeshi kwa Xi? Umepigwa clickbait ukaingia mkenge

Na wala China sio ally wa Russia, ila wanashare a common enemy!
China ni mshenzi kama washenzi wengine lakini ni muhimu kwa biashara na uchumi. Mtu unayemuuzia defensive systems and equipments zako alafu anaenda kufyetua kopi na kuzibrand kwa jina lake hawezi kuwa ally wako hata kidogo, hiyo ni dharau ya kiwango cha juu!

Kila mmoja anamsupport mwenzie kulingana na jinsi anayoserve interests zake!
 
Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]
Dah nakumbuka nlivokuwa skull, class kulikuwa na babe mmoja basi akitaka kumkandamiza mtu mangumi kwanza anatuchimba biti anasema qyumaa yoyoye aingilie ni mnyonye kimba basi dah unakuta mwenzenu anapigwa makonde makonzi mnabaki mnamuangalia tuu.



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom