LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kipindi hiki cha vita huko Ukraine ndo kuna fursa nyingi sana,unapiga hela mpaka benki inaona wivu.
 
Naona madege ya NATO yanazurura tu nje kidogo ya Ukraine

Screenshot 2022-02-25 at 22.25.10.png
 
JUST IN - German Defense Minister Lambrecht fears #Putin is no longer afraid of attacking NATO partners.

Lambrecht: "He is not predictable at all right now."
 
Kuna watu hapa wanasema 'Mungu awasaidie', hii narrative ya Mungu iko very compromised.

Biblia inasema Mungu aliwapa kibali wana wa Israel kuua na kuteketeza kila kilicho hai watapoingia Caanan kwani ni nchi yao ameshawapatia na hao waCaanan walikua wakiabudu miungu mingine, jambo ambalo lilimkera sana Mungu.

Leo Alqaeda and the likes wakiishambulia magharibi tunaambiwa ni magaidi, lakini wao husema ni vita dhidi ya makafir. Kuhalalisha ushoga ni ukafiri tosha haina mjadala.

Wadau hapa wanasema Mungu awasaidie Ukraine, wakati maandiko yanasema Tajiri ataongezewa na masikini atanyang'anywa hata hicho alichokuwa nacho. Utajiri unakwenda sambamba na ubabe, huwezi kuwa tajiri alafu ukawa mnyonge, utapukutishwa!

Lakini maandiko hayohayo yanasema akikupiga shavu la kushoto, mgeuzie na la kulia. Kwa maana hii ukiingia kichwakichwa kwenye haya maandiko utatoka kapa!

Waliotunga hivi vitabu walikuwa na IQ kubwa sana, maana ndio manifesto/ doctrine za mwanzo kabisa kuishape dunia.

China hawana huu ujinga na ukiuendekeza wanakumaliza (e.g uyghur society), Japan ndo kabisaa kila ofisi utakuta Shrine, India vilevile wanamiungu yao etc etc!

Msemo wetu unasema 'pilipili ya shamba inakuwashia nini?' wacha watu wapasuane adabu ipatikane!

BITHA NI BITHA MURA!!!
 
JUST IN - German Defense Minister Lambrecht fears #Putin is no longer afraid of attacking NATO partners.

Lambrecht: "He is not predictable at all right now."
 
Ukisikia vita hata iwe ya mapanga, ni mbaya sana. Nawashangaa humu ambao huwa wanabishana kana kwamba vita ni soka.

Labda kwa sababu hatujawahi kuonja machungu yake. Mungu awasaidie hawa watu kumaliza hili suala. Tuendelee kuwaombea
Yaani watu humu akili zao wanazijua wenyewe!
Kabisa mtu anashabikia kama kitu kizuri vile!
 
Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.

Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
urusi ni miongoni mwa nchi zenye wayahudi wengi na ndio siri ya wao kuwa mahodari katika ubunifu wa kutengeneza zana bora za kivita hivyo hoja ya taifa la MUNGU haina mashiko hata urusi ni miongoni mwa nchi zenye wa Israel wengi sana
 
Back
Top Bottom