permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
NATO wako standby hapo Poland na wameahidi kuendelea kutoa silaha kwa Ukraine.Hivi vyombo vya habari wa kimagharibi mara zote zimekuwa na kazi ya kiwatoa bongolala kwenye attention.
Acheni propaganda, tupeni taarifa za kinachoendelea kwenye battle field. Russia hajavamia Ukraine akitegemea msaada wa China, ninachojua ametoa angalizo kwa kiherehere yoyote atakaejaribu kumuingilia na ndiomaana huoni mjinga yoyote akijipendekeza.
Sasa Dada hapo China kamsalitije urusi Unamatatizo sana.hakuna wa kumgusa Putin.This is very important na Putin atajutia View attachment 2131149View attachment 2131151View attachment 2131152View attachment 2131153
Upumbavu ndo imewajaa, utakuta mtu ata jkt hajawahi kufika ila anavyosea Rusia na USA utadhani ni mkuu wa majeshi ya huko.Umeyachoka maisha na huna uzazi? Maana umechangamka kabisa na huko kunukia kwa nuke
😂😂😂Upumbavu ndo imewajaa, utakuta mtu ata jkt hajawahi kufika ila anavyosea Rusia na USA utadhani ni mkuu wa majeshi ya huko.
Taifa La Mungu Yupi Huyo Au Mungu Dulga Wa Kwenye BonditaMi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.
Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Ndio maana wameweka vitu sawa, ni aseme tu su.JUST IN - German Defense Minister Lambrecht fears #Putin is no longer afraid of attacking NATO partners.
Lambrecht: "He is not predictable at all right now."
Fungua hiyo.video mkuu usikilize...acha kubania bando...ukiondoa masuala Ukristo na Uhuru wa Tanzania ,Mzee Mohamed ana madiniUzi tayari
SaaanaWakati nchi kama China Brazil India zinaendelea kukuza uchumi wao na kuendelea kuwa kwenye top Ten kwa maana ya GDP Russia (ambaye top ten hayupo) anapambana na vikwazo vya kiuchumi kwanza mpaka aje atoke hapo kachoka hatareeee.
Ila na nyie ma Bank teller lazima mchomoze tuu.Watu wa Cryptos Ni kama WEHU.
Hivi kwanini mnatumia NGUVU kubwa sana kufanya PROMO ya hizo Cryptos zenu.
Tatizo Ni Nini?
Vita haipiganwi kama kula maandazi na chai ya rangi unang'ata andazi popote tu hata umetizama kwingine.Kwahiyo tangu leo asubuhi mpaka sasa majeshi ya Urusi yako yanapiganania kuuchukua mji wa Kyiv wakati walikuwa wamebakiza kilomita 10 kuingia central district. Yani tangu asubuhi mpaka sasa hivi wanapigania kilomita 10?
Jana hapa nilisema performance yao sio nilivyotarajia kuna watu walininanga, leo Warusi wamepewa wapiganaji 10,000 wa ziada wa Chechen. Ukraine imepata msaada wa silaha kidogo kutoka Poland mida ya jioni. Sikuwa nafikiria kama jeshi la Ukraine na raia wake wanaweza hold their positions mpaka usiku wawe na Kyiv
Dah raia wanapata shida sana. Mungu awanusuru.Vita haipiganwi kama kula maandazi na chai ya rangi unang'ata andazi popote tu hata umetizama kwingine.
Hapo kuna mission inatakiwa kukamilishwa ikiwemo kuepuka majeruhi na vifo vya raia, uharibifu wa miundo mbinu, kuwakamata walengwa wakiwa hai nk.
Urusi wamejipa saa 72 kukamilisha misheni yao. Leo rais wa Ukrain ndugu Zelesky akiongea toka mafichoni ameaga washirika wake wa NATO kuwa itakuwa mara ya mwisho kuongea nao kwani ndani ya saa 48 zijazo lolote laweza tokea kwake akiwa yeye ni mlengwa wa kwanza. Hizo saa 48 ukiongeza 24 zilizopita ni saa 72 za misheni ya Mrusi.
Vita sio maana wasio na hatia wanaumia kwa maslahi ya wapuuzi wachache
Ukiwachekea watu wa magharibi watakutia madole. Angalia Libya, Irak na Syria. Hapo walikuwa wanajisogeza Ukrain kumkwida Mrusi. Sasa ni kuwawahi wakafie mbele. Tazama sasa wanabweka tu wamemtosa Zelesky anakufa peke yake na hapo Putin ameshamzingira hachomoki.Putin ana roho ngumu, harudi nyuma
Sasa kusupport efforts to resolve the war through dialogue ndo kumtosa? Kwani Putin aliomba msaada wa kijeshi kwa Xi? Umepigwa clickbait ukaingia mkengeThis is very important na Putin atajutia View attachment 2131149
View attachment 2131151View attachment 2131152View attachment 2131153
Hivi hizo kilometa 10,tulizoambiwa bado hazijaisha tu?Vita vya kiintel vinaendelea huko .
Mambo ni moto.
Niko na Rais wa Ukraine tunajadili namna ya kutorokea magharibi mwa nchi na kuweka kambi pale.
Dah nakumbuka nlivokuwa skull, class kulikuwa na babe mmoja basi akitaka kumkandamiza mtu mangumi kwanza anatuchimba biti anasema qyumaa yoyoye aingilie ni mnyonye kimba basi dah unakuta mwenzenu anapigwa makonde makonzi mnabaki mnamuangalia tuu.Mwamba Putin ameshasema atakaeshoboka atamuoa bila mahari[emoji23]