LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Aliye anzisha shule za kata amelisababishia taifa hili makanga makubwa yatakayo dumu kwa miaka mingi sana

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Hizo kilometa 10 tumeanza kuzisikia toka jana.hawajafika tu?
 
Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.

Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.tako.
Wale hawawezi kupigana na Urusi labda Urusi iwaanze kuwashambulia.Wale wana deal na adui yake alie pangiwa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wanakwepa uharibu wa miundo mbinu na maisha ya raia.. ikipigwa drill ya maana hapo watu wengi watapoteza maisha, miundo mbinu mingi itaharibika..
 
Kadanganye ukoo wako na ushamba wako kile kitaifa kijaribu uone balaa lake wanapoteana wote wale mtasahau kama palikuwa na israel sijui shetani
Mi naamini islael wakiinglia huu mzozo putini atakimbizwa sana. Kwanza akisikia tu kwamba islael wanatia mkuu, atastop Vita siku hiyo hiyo.

Lile ni taifa la mungu na ndo wababe wa Vita duniani hata urusi pale inakaliswa ma.t
 
Mkuu mbona unaniangusha ?

Kwa uwelewa wako kwenye masuala ya kijeshi na kimataifa sikutegemea kama ungekuwa una toa hoja dhaifu namna hii.

Hivi mkuu linchi likubwa kama Ukraine kutekwa ndani ya siku mbili ww unaiona nika kazi ndogo?

Marekani na washirika wake walitumia miezi kuingusha Iraq lakini Urusi ni ndani ya masaa 48 wamesha ufikia mji mkuu wa Ukraine, bado tu mkuu hujaona nguvu ya Urusi.
Alafu kingine nilicho gundua kwenye vita hivi Urusi hautumii nguvu kubwa kivile hata makombora anayo tumia ni ya kiwango cha kati na ndio maana hata vifo vya raia sio vingi
Urusi ngekuwa inatumia nguvu zake kisawasawa sasa hivi tungekuwa tunaongelea vifo vya maelfu kwa maelfu ya watu.
 
Hii vita haiwezi kuwa kubwa tena yule raisi kashajua kauzwaw ana wale wahuni NATO NA USA swala la mda tu kuomba msaada hapo anapiga hesabu yaweza kutoka na chopper wala ndege maana atakufa
 
Wakati nchi kama China Brazil India zinaendelea kukuza uchumi wao na kuendelea kuwa kwenye top Ten kwa maana ya GDP Russia (ambaye top ten hayupo) anapambana na vikwazo vya kiuchumi kwanza mpaka aje atoke hapo kachoka hatareeee.
Jamani shule mnaenda kusoma nini?,hata ukuze uchumi ufikia mahala kila raia anatembelea VXR mwisho wa siku utautumia Uchumi wako katika ugunduzi wa mambo mablimbali na mwisho kabisa ni ugunduzi wa silaa za kujilinda au utanunua hii ni vicious cycle brother.
Utajenga uchumi utajengeka but at the maendeleo hayo hayo yatakupelekea kwenye destruction na IPO siku utaanza mmoja.
 
Nishaanza kuona harufu ya warusi kurudi ndani ya masanduku.
Nimeona daraja limevunjwa tafsiri yake ni kuwa wa nje nje wa ndani ndani.hao waliopo ndani wote watarudi maiti.
 
Propaganda za magharibi!!!

Warudi kutupa taarifa za uwanja wa mapambano
Yaani ukiangalia BBC, Al Jazeera na Sky News ni ujinga na upumbavu mtupu...yaani wao ni kuinesha mipicha ya kinachodaiwa ni majengo ya raia yaliyoharibiwa na makombora ya Russia..Mara waoneshe raia wanaokimbia na kuwahoji raia kuhusu kinachoitwa ubaya wa Putin...Raia wanaoiunga mkono Russia hawahojiwi...halafu mipicha mingi inarudiwa rudiwa ya tangu..
Ni propaganda za kijinga kabisa..
Very biased news reporting...
Stupid guys....ni propaganda tupu...news zote...
 
Acha ujinga huo. Vita ni mbaya. Waombee mema badala ya kufurahia kana kwamba ni Kariakoo derby
Ubaya huo utategemeana na lengo lako-acha kukariri,sasa ukiulizwa hapo Ubaya atakao update Urusi ni UPI?
Kama lengo la Urusi ni kuondoa vihatarishi katika mipaka yake ni kuwa kuliko madhara ya kiuchumi na jamii atakayotapata-ubaya wa hiyo vita unatoka wapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…