mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Upo serious na hichi ulichoandika au unataniana na huyo mwamba? if yes umemaanisha basi utakua umejaza takataka kichwani kama vitu vidogo kama hivi vinakupiga chenga halafu kwa kujiamin unasema nenda google..Katafiti NATO hawana ballistic missiles
NATO hawana ballistic missiles katafiti vizuri ninahakika Marekani ndo anaendelea kuziendeleza lakini bado hawajafanikiwa.no research no right to talk.Upo serious na hichi ulichoandika au unataniana na huyo mwamba? if yes umemaanisha basi utakua umejaza takataka kichwani kama vitu vidogo kama hivi vinakupiga chenga halafu kwa kujiamin unasema nenda google..
Ni kweli vimekaribiaVyombo mbalimbali vimeripori kuwa Majeshi ya Urusi yamekaribia mji Mkuu wa Ukraine
Kwa maneno yako unajidhihirisha kuwa wewe ni mjinga na unaelekea kwenye upumbavu.NATO hawana ballistic missiles katafiti vizuri ninahakika Marekani ndo anaendelea kuziendeleza lakini bado hawajafanikiwa.no research no right to talk.
Nimekumbusha tu uhalisia wa dunia tunayoishi.Kwa iyo wewe furaha yako ni kuona binadamu tukiuana .?
Wakuu, Baada ya Russia kupeleka jeshi kubwa mno kwenye mpaka wake na Ukraine, mataifa makubwa Duniani yalihamaki yakiongozwa na Marekani.
NATO ilisema wazi kwamba haitaiacha Ukraine ikiwa yatima,na tayari muungano huo wa kujihami wa Ulaya magharibi na Marekani umeimarisha vikosi vyake Poland na Estonia.
Russia imepeleka zaidi ya wanajeshi 130,000 kwenye mpaka wake na Ukraine na wakati wowote wanasubiria amri ya Rais Putin Kuivamia Ukraine.
Baada ya Russia kuimega Crimea na Dunia kukaa kimya,Putin alidhani itakuwa rahisi pia Kuivamia Ukraine na kufanya lolote sasa mambo yamekuwa Tofauti.
Uingereza imepeleka shehena kubwa mno ya silaha mbalimbali Ukraine na makomandoo wa kikosi maalumu cha SAS.
Canada nayo imesema haitaiacha pekee yake Ukraine itaipa misaada yote ya kijeshi dhidi ya uvamizi wa Russia. Kwa hiyo Russia inafikia hatua wanaogopa wakijua wazi kwamba kushinda vita kwao itakuwa ngumu mno.
Na hakika Russia ikijaribu kuivamia Ukraine haitashinda hii vita zaidi ya kuharibikiwa kiuchumi. Russia ni nani hasa hata ashinde vita dhidi ya Marekani, Uingereza, Canada na mataifa mengine mengi ambayo yanaisaidia Ukraine bila kuitangazia Dunia.
Mengine yabakie ushabiki tu, lakini Russia haitashinda hii vita na wao wameshaliona hilo.
View attachment 2119949
Hapo kati unaona kama palisimama kwa kuwa Corona iliamua kuchukua nafasi ya vita na kupunguza watu, hasa wazee kwa kasi ya 5G. Corona Ilisababisha hata wale wahuni wanaopenda kupigana vita kuogopa na wao kuangamia kwa COVID. Kwa sasa nchi nyingi hakuna corona kwa ile spidi ya 2020/21. Sasa wamerudi na chokochomo ya vita. Vita ni mbaya sana. Milipuko ya magonjwa nayo ni mbaya sana. Tumuombe Mungu kila wakati atunusuru na haya majanga.Wakuu, hii dunia vita ni jadi yake.
Asipopigana Urusi, atapigana Mmarekani, akipumzika huyo, Israel na Palestina wanakiwasha, hao wakichoka kuna vita somewhere in Africa.
Kuna kipindi hapa katikati palitulia kidogo nikajiuliza kulikoni, sisikii vita? Hadi kuna nchi unajiuliza kama bado zipo. Dunia ni uwanja wa vita, imekuwa hivyo siku zote.
Hii vita nayo itaisha tu kuipa nafasi nyingine, hii si mara ya kwanza Urusi kumtandika Ukraine. Nadhani Ukraine aache ukorofi na kumsikiliza sana Mmarekani anayemchochea kwa nia ya kumchokonoa Mrusi.
Bro hawana hypersonic missilesNATO hawana ballistic missiles katafiti vizuri ninahakika Marekani ndo anaendelea kuziendeleza lakini bado hawajafanikiwa.no research no right to talk.
Nafikiri alichofanya Russia ni kuwahi kushambulia kabla silaha zilizoingizwa toka west zikiwa hazijafungwa na mazoezi ya kuzitumia hayajafanyika!Lengo la kwanza halijafanikiwa kama lilivyokusudiwa awali kwa sababu mabeberu wameogopa kuweka vikwazo vikali ambavyo vingewagharimu pia. Ndo maana hawajaing'oa Urusi ksenye mtandao wa kibenki wa dunia uitwao SWIFT. Lzkini mataifa mengine yamegoma kuingia gharama kwa kuiwekea vikwazo urusi.
Lengo la pili la kufanyia majaribio silaha za magharibi ambazo wenyewe huzinadi kama LETHAL WEAPONS lenyewe limefanikiwa kwa asilimia 100!! Majibu wameyapata kuwa zilaha hizi haziwezi kuzuia silaha za kirusi. kwa mfano hizo silaha wanazoziita anti tanks ndo kabisa ni sifuri!! Vifaru vya kirusi vimeingia hadi kiev salama. Mbaya zaidi ni mfumo wa ulinzi wa anga!! Mfumo huu umeshindwa kabisa kuulinda mji mkuu wa Ukrein uitwao Kiev. Uwanja wake wa ndege ulitekwa ndani ya siku ya kwanza ya mashambulizi, na mvua za missiles zinainyeshea Kiev bila kikwazo!!
Mabeberu hawajawahi kuipenda nchi yoyote, hata wao kwa wao hawapendani!
Fupisha tusomeMakala ndefu Sana hii!!