LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hivi Wananchi wa hiyo Miji wenyewe wanasemaje?
 
kwa yanaondelea duniani ..... natamani kungekuwa na mseto fulani AFRIKA

1. ROBERT MUGABE
2. JULIUS NYERERE
3. KWAME NKURUMAH
4. SANKARA
5. MAGUFULI
6. MUSEVENI
7. SAMORA MACHEL
8. GHADAF
9. PATRICE LUMUMBA
10.
11.
12.
13.
Dah Ukiangalia unamuona Ruto na Kagame na Tz ndio sisi tupo sisi
 
Naam, ni zaidi ya elf Moja na miatatu walilambishwa mchanga Jana
 

Attachments

  • 1715414742238.jpg
    256.1 KB · Views: 3
‼️Russia Army Group North launch Offensive operation on Kharkov region‼️

First images of Ukrainian POW's that surrendered to the Army Group "North" in the Kharkov region.

 

Attachments

  • 1715414959073.jpg
    429 KB · Views: 2
  • 1715414853931.jpg
    466.8 KB · Views: 2
  • 1715414849191.jpg
    443 KB · Views: 2
Tutazidi kuwachinja warusi Kwa wingi kadri iwezekanavyo 😇 😇 😇 😇

⚡⚡Russian army has already lost more than 481,000 troops in Ukraine

The total combat losses of the Russian army in Ukraine from 24 February 2022 to 11 May 2024 amounted to about 481,030 people, including 1,320 in the last day.
According to Ukrinform, the General Staff of the Armed Forces of Ukraine reported this on Facebook.⚡⚡
 
Formula ya Vita ni rahisi tu..Ukipigwa unaachia Eneo mwenzio anakalia sasa Nyie Ukraine mnasema mmewapiga Warusi lakini mnakimbia maeneo😀😀😀
Yaani mnafanya ucomedy mpaka kwenye battle field.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…