lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Is it a true event ,or a movie?tupate MAPUMZIKO Kidogo........ maana kuna vitu vinachosha
View: https://x.com/cheatln9/status/1788878859318038963
Yote Kiongozi..
Pigaaaa mbafuuuuPutin twanga kima haooooooo
Hivi Wananchi wa hiyo Miji wenyewe wanasemaje?Chasiv Yah ni kama ilivyokuwa Avdiivka.ni ukuta wa ulinzi kuelekea miji ya Kramatorsk, Slaviansk ambayo ndo miji ya mwisho kwenye jimbo la Donesk.
Maana yake ikianguka tu hii miji basi Warusi watakuwa wana uwezo wa kushambulia Kharkiv kwa nyuma.kwa iyo itakuwa ngumu kukinga mashambulizi mbele na nyuma.Pia jimbo la Zaphorozhyia nalo itabidi vikosi vya Ukraine kuondoka kwa sababu barabara ya kuingia itakuwa kwenye range ya Warusi.
Jainshakar ni kichwa sio nyie mnaaweka Mtu Waziri hajui kitu anasema Trap na trat.Bila shaka.
Huyo Jaishankar pamoja na kihindi nae aongea kirusi, kichina, kitamil, kijapan na lugha ya Hungary ya Uralic.
Hatari sana.
Dah Ukiangalia unamuona Ruto na Kagame na Tz ndio sisi tupo sisikwa yanaondelea duniani ..... natamani kungekuwa na mseto fulani AFRIKA
1. ROBERT MUGABE
2. JULIUS NYERERE
3. KWAME NKURUMAH
4. SANKARA
5. MAGUFULI
6. MUSEVENI
7. SAMORA MACHEL
8. GHADAF
9. PATRICE LUMUMBA
10.
11.
12.
13.
Bora kusurrender kuliko kuendelea kupigana kwa Taifa ambalo unajua kabisa watakutreat vizuri‼️Russia Army Group North launch Offensive operation on Kharkov region‼️
First images of Ukrainian POW's that surrendered to the Army Group "North" in the Kharkov region.
View attachment 2987602
Formula ya Vita ni rahisi tu..Ukipigwa unaachia Eneo mwenzio anakalia sasa Nyie Ukraine mnasema mmewapiga Warusi lakini mnakimbia maeneo😀😀😀Tutazidi kuwachinja warusi Kwa wingi kadri iwezekanavyo 😇 😇 😇 😇
⚡⚡Russian army has already lost more than 481,000 troops in Ukraine
The total combat losses of the Russian army in Ukraine from 24 February 2022 to 11 May 2024 amounted to about 481,030 people, including 1,320 in the last day.
According to Ukrinform, the General Staff of the Armed Forces of Ukraine reported this on Facebook.⚡⚡
Unamfahamu lakini fundi aliecheza na hivyo vyombo kwenye hiyo sound track? Mtafute youtube anaitwa Adrian Berenguer.
Kwa Nini?Ila Urusi ina roho ngumu.