Let them continue whining.
Macaroni ameshaweka wazi kwamba Yuko tayari kutuma vikosi vyake Ukraine in case Ukraine akiomba..,unafikir ni kwa nini Ukraine wanapata kigugumizi kuomba usaidiz Kama kweli wamelemewa?
Hawajaelemewa?!Macaroni ameshaweka wazi kwamba Yuko tayari kutuma vikosi vyake Ukraine in case Ukraine akiomba..,unafikir ni kwa nini Ukraine wanapata kigugumizi kuomba usaidiz Kama kweli wamelemewa?
After all, who are they agaisnt! Haiwezekani mataifa 7 tajiri zaidi duniani yajikusanye dhidi ya taifa moja maskini duniani!View attachment 2993413Yet hawana uwezo wa kutoa two Patriot System kule Kharkov, Ukraine!
Hii kweli ndio real definition ya Paper Tiger 🐅!
Hii point Yako hua inanifikirisha sana.Tuliambiwa naAfter all, who are they agaisnt! Haiwezekani mataifa 7 tajiri zaidi duniani yajikusanye dhidi ya taifa moja maskini duniani!