LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Naam, ni zaidi ya elf Moja walilambishwa mchanga Jana πŸ₯± πŸ₯± πŸ₯±
 

Attachments

  • 1718604108202.jpg
    255.5 KB · Views: 4
hapa JF kulikuwa na kikundi makao makuu yake urusi ya mbagara wenye mlengo wa hamas walikuwa wanashagalia sana kuwa urusi ni super power
 
Kwa hapa duniani hazipo maana mwenye mitambo ya mwisho ni Mrusi na hata NATO wakienda kwa shetani hizo silaha za kumpiga Mrusi hawana
Una uhakika au ushabiki tu wa vijiwe vya kahawa vya Simba na Yanga unaleta. Nchi za magharibi zinaisaidia Ukraine silaha kwa awamu. Ni kama vile mngonjwa anavyotibiwa ana badilishiwa dozi. Mwisho wa siku Russia atajikuta katumia silaha za aina zote alizonazo bila mafanikio na kubakia na manyuklia tu πŸ€”
 
Wameona ni upuuzi tu unao endelea.Mimi huwa nadhani Ulaya na nchi zingine zinazoitii Marekani katika kila jambo ni kama viongozi wa nchi hizo wamefanyiwa kitu mbaya sana.Hivi niamini kwamba hawajui uovu na hila za Marekani kweli?Au lao moja..........!Yaani mnaingiza watu down the drain huku mnaona, lakini hamjali mna kenua tu.Inatisha na kuhuzunisha sana frankly.
 
Ukrain kweli inaongozwa na comedian, media zimekaa kicomedy kila siku hizi takwimu zao zinaonyesha heavily loss on Russian side lakin baadae unasikia Russia wanazidi kuadvance at front line... how πŸ€”
Imagine scenario ambapo Kipanya ndiye Rais wa Ukraine,unategemea nini.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kipigo anachotembezewa urusi huko maeneo ya khakivu si Cha Karne hiiπŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…