LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Walichojaribu kufanya Ukraine ni jambo la ovyo sana. Kwa mujibu wa V Putin Leo Pale walikuwa wanapiga indiscriminated raia, soldiers, ambulance na majengo. Kwahali ya kawaida kivita walitakiwa watumie nguvu hiyo kukomboa maeneo. Ni ngumu sana Kwa jeshi la Ukraine kuikalia eneo la Urusi japo Kwa saa nzima na wanajua.
Kimalengo wamefeli. Kwa hili walilofanya adhabu yake bila shaka ni kubwa kuliko na inakuja soon.
Matumizi mabovu kabisa ya vijana wa Ukraine waliojitolea kuikomboa Ukraine
 

MKUU UNA UTHIBITISHO WOWOTE KUHUSU MANENO YAKO HAYA?
 
kama kweli wewe ni MRUSI kutoka Makunduchi, wataje hao mabwana majina yao na vyeo vyao wanavyovitumikia kwa sasa.

Tumuamini GERASIMOV au tuwaamini WAUKRAINE.
Ngoja tusubirie tuone panapovuja.

Vita inaendelea huko KURSK.
Your browser is not able to display this video.
 
Wazee wa propaganda hamuishiwi vituko 😅🤣😁 kipigo kinaendelea hata mkijifarij
 
🚨🇺🇦🇷🇺 It is now official: Ukraine has liberated Kursk People's Republic from Russia.
 
🇺🇦⚡The events unfolding in Russia’s Kursk region bordering Ukraine bear not only symbolic, but also practical significance for Ukraine, German Bundestag lawmaker and defense policy expert Roderich Kiesewetter told an Ukrinform correspondent.🇺🇦⚡
 
Waukrain wanazidi kuchanja mbuga tu, sijui baada ya Kursk ni mji gani tunafuatilia

🙌⚡The Telegram channel associated with Russian military intelligence "Rybar" claims that Ukrainian units managed to reach Korenevo, Kursk region, 20 kilometers from the northern border of the state.🇺🇦⚡
 
Trump aliposhambuliwa sikio, Russia iliishutumu Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…