LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
SERGEI SHOIGU awasili IRAN
1722856195609.png
 
⚡North Korea received 250 x Hwasong-11D new tactical ballistic missile launchers with a range of over 200 km.
 

Attachments

  • 16991363-9674-4655-9279-47559523474c.jpg
    16991363-9674-4655-9279-47559523474c.jpg
    59.2 KB · Views: 4
  • 495de375-ecf7-4125-adf9-23845125f8e4.jpg
    495de375-ecf7-4125-adf9-23845125f8e4.jpg
    99 KB · Views: 4
  • 58685eb0-4aa6-4e4a-991f-9b63932b3241.jpg
    58685eb0-4aa6-4e4a-991f-9b63932b3241.jpg
    54.8 KB · Views: 4
  • 8739b8dc-4cb7-4665-89d3-8f9bbfda0108.jpg
    8739b8dc-4cb7-4665-89d3-8f9bbfda0108.jpg
    67.1 KB · Views: 3
⚡Bangladesh Prime Minister Sheikh Hasina resigns following deadly protests.

Protesters stormed the Prime Minister's residence in Dhaka.

Sheikh Hasina left via military helicopter for India.
 

Attachments

  • 092215c1-16d2-4aba-9441-5d823cb4371e.jpg
    092215c1-16d2-4aba-9441-5d823cb4371e.jpg
    19.1 KB · Views: 2
🪖 The Russian Aerospace Forces strike on New York in the Donbass was reminiscent of an atomic explosion

Russian aviation carried out a massive strike on the village of New York in the DPR. After this, a huge mushroom of smoke covered the settlement.
 

Attachments

  • d69c7062-0854-4c74-b2f0-48e472840667.jpg
    d69c7062-0854-4c74-b2f0-48e472840667.jpg
    143 KB · Views: 3
⚡Sergei Shoigu arrived on a visit to Iran, where he will meet with the President, the Secretary of the Supreme National Security Council, and the Chief of the General Staff, reports the Security Council of Russia.
 
Shida ya serikali ya ukraine inapenda sifa za kijinga bila ya kujali impact yake.

Kwao wanaamini popote patakapo kuwepo neno RUSSIA basi lifuate neno ukraine mbele yake au kabla yake.

Madhara yake ndio haya, juzi walijisifia kuwa sehemu ya walioandaa na kutekeleza mkakati wa kuwashambulia WAGNER kule MALI kwa kushirikiana na magaidi.

Mali wamevunja mahusiano ya kidiplomasia na ukraine, now wanajitoa kimasomaso kwa kukanusha kutokuhusika na shambulizi lile.

Huwezi kusifia ushirikiano wako na magaidi tena mbele ya hadhira
1722886640877.png
 
Shalom
Kwa wakristo halisi ambao hawajafungwa na kanuni za kimadhehebu,ambazo zinapingana na neno la Mungu .
Armageddon itapiganwa middle east, katika mji wa DAUDI
Na mfalme wa kaskazini ataiangamiza babeli mji ule mkuu mama wa machafuko ya dunia, na atapoigeukia israel ndipo Armageddon itakamilika

Wakati huo bibi arusI amekwisha nyakuliwa mbinguni,lakini makanisa yataendelea na segere makanisani bila kujua Bwana arusi alishakuja.
Ukiona umeyashuhudia ayo yote basi jua umekwisha achwa.
 

Attachments

  • 27813768-2217-45bc-8e67-d2ee31f3cd3c.jpg
    27813768-2217-45bc-8e67-d2ee31f3cd3c.jpg
    167.4 KB · Views: 2
Shalom
Kwa wakristo halisi ambao hawajafungwa na kanuni za kimadhehebu,ambazo zinapingana na neno la Mungu .
Armageddon itapiganwa middle east, katika mji wa DAUDI
Na mfalme wa kaskazini ataiangamiza babeli mji ule mkuu mama wa machafuko ya dunia, na atapoigeukia israel ndipo Armageddon itakamilika

Wakati huo bibi arusI amekwisha nyakuliwa mbinguni,lakini makanisa yataendelea na segere makanisani bila kujua Bwana arusi alishakuja.
Ukiona umeyashuhudia ayo yote basi jua umekwisha achwa.
Mkuu nipe dondoo kidogo,biblia inasema nani anaenda kuibuka kinara kati ya timu Russia na team usa na waisrael wake?
Kwa yanayoendelea katika ardhi ya Israel ikatokea mtu akatuaminisha kuwa wale jamaa ndio wateule na ule mji ni kwa ajili yao basi nitaamini Mungu hatafsiriki kirahisi. Wote tunaona muovu ni nani kati ya pande hizi mbili.
 
Mkuu nipe dondoo kidogo,biblia inasema nani anaenda kuibuka kinara kati ya timu Russia na team usa na waisrael wake?
Kwa yanayoendelea katika ardhi ya Israel ikatokea mtu akatuaminisha kuwa wale jamaa ndio wateule na ule mji ni kwa ajili yao basi nitaamini Mungu hatafsiriki kirahisi. Wote tunaona muovu ni nani kati ya pande hizi mbili.
Israel mungu atawaokoa watu 144000.
Ufunuo 7

Hao ndio ambao hawakujichafua na uchafu unaoendelea duniani.
Hawakushiriki kwenye ushoga,wala uchafu mwingine hao wengine ata wakifa vitani, wanunue silaha kwa pesa zao za mfukoni,Mungu hawawatambui.
Wengi wa waliopo israel ni machotara na sio wayahudi halisi.
Mungu aliwaambia wasiwe chotara,wala wasichanganyane damu na wasio wayahudi.

Ufunuo wa Yohana 7:1-4
[1]Baada ya hayo nikaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi, wakizizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari, wala juu ya mti wo wote.

[2]Nikaona malaika mwingine, akipanda kutoka maawio ya jua, mwenye muhuri ya Mungu aliye hai; akawapigia kelele kwa sauti kuu wale malaika wanne waliopewa kuidhuru nchi na bahari,

[3]akisema, Msiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.

[4]Nikasikia hesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu.


Wayahudi halisi ni wachache mnoo na sharti wawepo kwenye nchi Ya ahadi.

Marekani hukumu yake ilishatangazwa kwenye maandiko.

Na mrusi anaita silaha zake (GOD'S JUDGMENT ) BILA MWENYEWE KUJUA.

WAKATI HAYO YANATOKEA maandiko yanasema DUNIA itakuwa kwenye dhiki kuu mfano wake haujawahi kutokea.

Dunia itaanza ubatizo wa moto,
Maana ilishabatizwa kwa maji wakati wa Nuhu.
Ubatizo wa moto utakamilishwa na Mungu mwenyewe

Mwenye sikio na asikie
 
Back
Top Bottom