Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hakuna pigo kama kuua maelfu ya wanajeshi na raia wasio na hatia wa Ukraine ambayo yalishafanyanywa na Putin kwahiyo sioni kama Wana la kupoteza yaani kiufupi Ukraine wamejilipua na watafanikiwa japo watakutana na upinzani mkali.Hiii ni karata mbaya sana kwa ukrein apaa naamini counter offensive imeshaanza ubaya unakuja kushindwa kwa hii litakuwa pigo bays sana kwa ukrein naona kaamua kusogeza kete ngumu sana ngoja tuone hiii wiki
Haitafika mwisho Hadi haya yatokee.Hii vita mbona haifiki mwisho au ni maigizo tu
Naona akina @ bwana utamu na @ s v sulovikin wamekupa likes,kumbe wenzetu wanauchungulia Uzi na kurudi japo kwa uchungu sana😅🤣😁Kinachotokea Kursk Ndio sababu kubwa Russia hataki Ukraine awe ndani ya NATO. Russia na Ukraine ni Nchi tambarare ambazo Jeshi kubwa likitokea ndani ya Ukraine linafika Moscow ndani ya Mwaka
Wataalam wa kijeshi wa Ukraine hawakuliona Hilo,lkn umekuja kuona wew mrusi kutoka makambako ..,Hadi hii vita inaisha tutaona mengi!Unavuka boda na wanajeshi 1000, unafanyiwa encirclement, unabaki ndani. Petty trick by Ukranian Army, the plan does not bring the significant changes on the battle field, I bet.
Na mnamuona Mrusi kama vile hapigiki.Hao wanavutwa ndani wauliwe na silaha kutekwa kamwe usisubutu kuingia ndani ya urussi is the death trap...wawaulize wajerumani na Hitler
Alipolianzisha hakujua kumaliza?Hii vita hapa ilipofika haihitaj ustaarabu.
Putin alipaswa kufanya kama Netanyahu japo siungi mkono vita yao na Gaza.
Hii huruma huruma ya Putin itakuja kumponza.
Mtoto mkaidi haadhibiwi kiupole.
Kupigika anapigika ila kushindika ndio hashindikiNa mnamuona Mrusi kama vile hapigiki.
Kama anapigika basi msimkuze na wala asilalamike kwa kuvamiwa nchini kwake kwa vile yeye ni wa kwanza kufanya hayo.Kupigika anapigika ila kushindika ndio hashindiki
Kwahuku duniani wakumshinda RUSSIA hajazaliwa bado
Labda taifa teule😀
Hajakuzwa kapewa haki yake anayostahiliKama anapigika basi msimkuze na wala asilalamike kwa kuvamiwa nchini kwake kwa vile yeye ni wa kwanza kufanya hayo.
Hapigiki huo ndiyo ukweli urusi ingekuwa na rais kichaa ungejua nini ninacho kuambia ...NATO inamsumbua urusi kwa sababu anawalea la akiamua kuchapa mifumo yao ya mawasiliano ya anga za juu inayo tumika kuendezha siraha zote muhimu za USA NA NATO hapo ndiyo utajua kuwa URUSI inaguvu kiasi gani? Marekani huwa inakwamishwa misheni zake na back up ya nchi moja tu yoyote yenye nguvu.ila urusi inapambana na ukrain mwenye back up ya nchi zote za NATO kwa asilimia 100Na mnamuona Mrusi kama vile hapigiki.