Unaambiwa Ukraine wameshateka maeneo zaidi ya Yale waliyoteka kwenye Ile counteroffensive ya mwaka uliopita=========================
Huu Uvamizi umeonyesha hata Urusi mipaka yake sio salama....
Russia is now weak after two years of its invasion of Ukraine.
T14 Armata Gagnija TUJITEGEMEE
Hahaha, punguza Ku exaggerates story, hebu yataje maeneo walio recoverUnaambiwa Ukraine wameshateka maeneo zaidi ya Yale waliyoteka kwenye Ile counteroffensive ya mwaka uliopita
Hii ndio counteroffensive yenyewe Sasa.
Ukraine kuikalia Russia hili lifute kabisa akilini mwakoVita sio matako kila mtu anayao.
Ukraine wakiweza kufanikiwa kwenye Mkoa wa Kursk vita itaingia sura mpya sana.
1. Ukraine anataka kutumia Logic ya Russia unavamia nchi unalilia Maeneo yake, na Ukraine wanataka Waivamie Russia waseme hayo ni maeneo yake.
2. Ukraine anataka nchi za NATO ziingie vitani, Anatumia Silaha za Nchi za NATO ndani ya Russia, in another way Marekani anamfundisha jambo Russia, Silaha zake zinaweza kumpiga Russia ndani au nje, direct or indrectly
Iran kule hizbu na houthi kwasasa hapeleki tena silahaUkraine anaweza kulikalia hata miezi...
Ukraine kwa sasa wanajeshi imara lenye uzoefu wa vita na sasa Wana, options ya Silaha tofauti tofauti.
Ukraine ana Watu wengi wanaompa Silaha
Russia ukitoa China wengine wote ni failed States.
Iran akipeleka Silaha zote Moscow Houthi na Lebanon hawatakuwa na Cha kupeleka
Mnakuwa wasahaulifu mapema mbona Urusi ulinzi wa ndani wa kawaida tangu focus iwe Ukraine. Prigozhin na team yake ya Wagner wakiwa na magari ya kijeshi kiasi na air defense systems chache za short range kama Pantsir walitembea zaidi ya 24hrs bila upinzani wakielekea Moscow kutoka Rostov on Don. Njiani wakakosa upinzani wa maana mpaka mazungumzo yakafanyika. Kule Moscow mamlaka zikafunga airports watu wasipanick, M4 highway ikabomolewa sehemu na kuwekwa vizuizi. Putin akaomba msaada Belarus, huyu aliyekuwa replaced na Shoigu akaomba msaada Kazakhstan in case hali ingekuwa mbaya zaidi.=========================
Huu Uvamizi umeonyesha hata Urusi mipaka yake sio salama....
Russia is now weak after two years of its invasion of Ukraine.
T14 Armata Gagnija TUJITEGEMEE
Waliepusha mapigano yaso muhimn kati ya friendly forces yaani Wagner na Russian army . Shida ilikua kubwa inayotatulika. Hivyo suluhisho likawa ni mazungumzo. Putin ni mtu wa visasi alichomfanyia Kwa msela ake wa zamani wote tulishangaaMnakuwa wasahaulifu mapema mbona Urusi ulinzi wa ndani wa kawaida tangu focus iwe Ukraine. Prigozhin na team yake ya Wagner wakiwa na magari ya kijeshi kiasi na air defense systems chache za short range kama Pantsir walitembea zaidi ya 24hrs bila upinzani wakielekea Moscow kutoka Rostov on Don. Njiani wakakosa upinzani wa maana mpaka mazungumzo yakafanyika. Kule Moscow mamlaka zikafunga airports watu wasipanick, M4 highway ikabomolewa sehemu na kuwekwa vizuizi. Putin akaomba msaada Belarus, huyu aliyekuwa replaced na Shoigu akaomba msaada Kazakhstan in case hali ingekuwa mbaya zaidi.
Wasiwasi wote huo ni dhidi ya wapiganaji 5,000 wa Wagner. Na hapo Wagner waliamua kuacha sio kwamba walishindwa battle ingawa wangeshindwa hata hivyo.
Wanaongozwa na Vipanya ni Waongo balaaUKRAINE kwa nini munapenda kuongopa ndio maana wengine habari zinazohusu upande wenu tunakuwa hatuzisomi.
Munadanganya sana
View attachment 3065771
ina maana hiyo sehemu haibadiliki iwe jua, mvua, upepo, ukame
View attachment 3065772
Ukraine aitishe referendum ya haraka hili eneo liwe mali ya Ukraine.Russian villages are changing their names and becoming Ukrainian. We saw your desire for the letter to be replaced, we always listened to your advice. We are working, a lot of work. 😂View attachment 3065620
Ukiachana na manuclear, miezi miwili NATO wanaiteka Urusi yote.Lakini shida ipo kubwa kwenye Jeshi la Urusi naona kabisa hawa Nato wakiamua wanampiga kama angekua mtu smart angemlabua huyu Ukraine ndio wale waone kweli huyu jamaa ukimchezea ni hatari au aue hao Wakuu wa Ukraine sasa anapigwa pigwa tu kila leo..
Wale ni ndugu ndio maana Urusi hajafanya full wall kafanya smo.Lakini shida ipo kubwa kwenye Jeshi la Urusi naona kabisa hawa Nato wakiamua wanampiga kama angekua mtu smart angemlabua huyu Ukraine ndio wale waone kweli huyu jamaa ukimchezea ni hatari au aue hao Wakuu wa Ukraine sasa anapigwa pigwa tu kila leo..
Kwenye vita mara nyingi sio approach nzuri kuua viongozi wa kisiasa, huwa wana reasoning na wana woga wa kiraia. Ukiua viongozi wa kisiasa baada ya hapo jeshi linakuwa kwenye revenge mode na maafisa wa kijeshi wanakuwa kwenye mode ya "tufe wote".Lakini shida ipo kubwa kwenye Jeshi la Urusi naona kabisa hawa Nato wakiamua wanampiga kama angekua mtu smart angemlabua huyu Ukraine ndio wale waone kweli huyu jamaa ukimchezea ni hatari au aue hao Wakuu wa Ukraine sasa anapigwa pigwa tu kila leo..
Invasions of RussiaUkiachana na manuclear, miezi miwili NATO wanaiteka Urusi yote.