LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hakika vijana wa humu ukiwafatilia unajikuta unacheka peke yako, kuna madogo humu wanada details za majeshi yote ya dunia hii, yaaani aina ya silaha wanazozimiliki, ubora wa hizo silaha mpaka idadi na uwezo wa hao wanajeshi, mungine akaenda mbali anapajua mpaka Putin anapolala
Ajabu ss anaendika hayo ana mashabiki kabisa humu na wenzie wanamuamini maskini ya Mungu
Ajabu kuu kabisa ukute huyoo dogo gobole hajawahi lishika
 
Yaishe usigombane kwenye uzi wa watu
New satellite images: Russia is likely building a new bridge parallel to the Kerch Bridge. According to new satellite images, construction work can be seen on both sides of the Kerch Bridge, also called the Crimean Bridge. This may indicate that the Russians are likely trying to protect the bridge against potential further Ukrainian attacks.
 
Ukraine's operation in Russia's Kursk Oblast has helped prevent the occupation of Sumy Oblast and its regional center, the city of Sumy, President Volodymyr Zelensky said at a press conference on Aug. 24.
 
eti watu wanatekwa mara sijui ooh watu wanasanya.
sasa wew unaweza kuzuia nini ukiwa hapo matejo kwa mama kichwa mbaya ukinyonya gongo na taksime kama ngumi mdomoni
Angalau niki Tejo nini influence kwa kubweka tu. Je wewe unaweza nini ku inlfuence huko Russia na Ukraine?

Au wewe ni gasho wa kitasha?
 
Tutake ladhi wakaguru sisi tunajitambua kiongozi huyo mpe kabila linalomfaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…