LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu, umeeezea uzuri sana na yaeleweka khasa.
 
Baada ya wiki 2 zijazo mkimuona tena Kipanya44 hapa jukwaani basi mniite Asha mitako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu nakushauri tu usifikie huku kipanya huyo yeye kashajitoa ufahamu hata ukraine ikabomolewa yote haelewi we ufikiri mpaka leo anaamin bakhmut haijakombolewa na warusi, sio mtu mzuri huyo.
 
Uko sawa ni zaidi ya 12,000 lakini wote wamekwama yaani wamewekwa kati hawawezi kusonga mbele wala kurudi nyuma.

Pia kazi ya kushughulika nao wamepewa wapiganaji wa Chechen, kumbuka ziara ya kuzuga ya Putin huko Jamhuri ya Chechnya majuzi.

Ramzan Kadyrov akamhakikishia raisi Putin kwamba kuna wapiganaji wapatao 47,000.

Kazi kubwa ya Kadyrov ni kusimamia kituo cha mafunzo ya kijeshi ambacho kipo hapo mjini Chechen na chafundisha wapiganaji wa kujitolea ambao Putin awaita "Invicible".

Hivyo wapiganaji wa Chechen watamegwa kiasi na watatumika muda ukifika maana Chechnya na Kurks si mbali na wana vifaa vya aina zote.

Ndo maana naita fake news kwamba kuna wanajeshi wavutwa kutoka pande ya mashariki au wengine wapelekwa kutokea Burkina Faso.
 
Sema wanajeshi wa Ukraine kuna vitu itakuwa wanalishwa sio bure,yaani wanaivamia Russia kama wanaivamia SOMALI LAND
Lengo kubwa ambalo halisemwi lilikuwa Ukraine wachukue kinu cha nyuklia kilichopo Kursk na hiyo mission wakashindwa.

Wangechukua hicho kinu Ukraine wangekuwa na sauti kubwa na wangewalazimisha Russia waketi kwa mazungumzo.

Hicho kinu chalindwa na majeshi halisi ya Russia na si wapiganaji wa kukodiwa.
 
Kelele za chura hazimzuii ndovu kunywa maji.
Ukraine inateseka na itaendelea kuteseka.
Usidhani Russia atakaa kimya pasi na kulipiza hilo shambulizi.
Tena yeye hulipiza mara dufu.
Kaa mkao wa kula usikimbie Russia akilipiza.
Sawa kabisa, Ukraine anateseka na ktk muktadha wako, Russia atakuwa anateseka zaidi kwani ndo mwenye "shughuli".
....kwamba sasa hivi kaanza kulipia????....elewa neno mwenye shughuli.
 
Supper power mwenye jeshi kubwa anakodi vipi majeshi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…