LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ahahahahaha! Dogo unachanganya Ufalme na uongozi wa kuchagiliwa? Ahahahahaha!! Mbona hujazungumzia Uwaziri Mkuu ambao unapigiwa kura? Ahahahahaha! Tena kwa Uingereza inatwa Constitutional Monarchy. Sijui unaelewa maana yake?
Mkubwa, embu niambie tofauti yake ikiwa issue ni kukaa madarakani kwa muda mrefu?

Ikiwa uchaguzi hata Vladimir Vladimilovich Putin anapigiwa kura.
 
Inaenda kuanguka wana wameshaingia mpaka City Center.
Soon utasikia liberated
 

Usikute na mimi ningekwepa umande ningeandika kama alivyoandika huyo jamaa.
Sifa za ufalme ni kwamba raia hawana uwezo wa kuchagua kiongozi wao, haijalishi atakuja kilaza wa namna gani?

Head of state pale Uingereza ni mfalme, Spain, Denmark na Ubelgiji, Sweden na Norway, Canada, Australia.

Huyu mtu raia hawawezi kumwajibisha kwa lolote.

Unasema Demokrasia?
Unajua maana demokrasia?
Au Ile demokrasia Yao ni ya vipande vipande?
Usikute na mimi ningekwepa umande ningeandika kama alivyoandika huyo jamaa.
Embu taja elimu yako kijana
 
BECAUSE OF THE RUSSIAN INVASION IN UKRAINE- NATO will have its headquarters in the Finnish city of Mikkeli, which is approximately 140 km from the border and 300 km from Saint Petersburg in Russia.
 
Unaongea na pang'ang'a kaka.
Hana uelewa wa kukielewa ulichokieleza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…