LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huyu ni mchambuzi wa masuala ya kijeshi kutokea Marekani ,na huu ndiyo uchambuzi wake!

Long-range strikes against Russia: too late to save Ukraine?​


KYIV, Nov 18 (Reuters) - The U.S. decision to authorise long-range Ukrainian strikes could help Kyiv defend the foothold in Russia's Kursk region that it seized as leverage in any war talks, but may come too late to change the course of the war, analysts said.

"The decision comes late, and like other decisions in this vein, it may be too late to substantially change the course of the fighting," said Michael Kofman, a senior fellow at the Carnegie Endowment for International Peace in Washington.

November 18, 20245:16 PM GMT+3

 
Muda una thamani sana kwetu sisi wengine. Sijasoma kwasababu ninajua gazeti refu hivyo lina uzito wa gunia la Pamba
Una Nini unachofanya wewe kikufanye ushindwe kusoma lakini unaweza kujibu?
Watu wasio na muda huwezi kuwakuta humu,wewe kutwa kucha kuangalia nani amekomenti Nini na kujitia kukosoa.watu wasio na muda wako bize kutengeneza Pesa wewe kazi kujisifu TU humu.
 
Mfaransa ni mnyonyaji mbaya sana! Na anaendelea na ukoloni wake mpaka sasa hivi kwenye mataifa ya Afrika magharibi.
 
⚡Russian decoy drones imitate big targets to waste Patriot missiles!

This decoy drone was found in the Kyiv reservoir. It does not have a warhead, but instead carries a Luneburg lens radar reflector, to imitate a larger target in the radar range.

Such drones flies towards high value targets, like the Kiev Dam, enforcing the air defense to react.

In that way Russia actively depletes whatever is left from air defense interceptors Ukraine has.

These drones are cheap and are fired together with real missiles and drones.
 

Attachments

  • 18905795_gcqpfmzwiaipjnw_jpeg_jpegef2f8d89f36671c3ea1695fed2350dde.jpeg
    97.6 KB · Views: 5
Kile kizee kijinga kinataka kufa na sisi kife chenyewe pumbafu
 
Hawa wazungu kweli wamepatikana.
1.Let them feel walichowafanyia babu zetu miaka yote ya ukoloni- waliua watu wengi
2.Let them feel hofu ya vita jinsi walivyoharibu nchi za kiafrika hata baada ya ukoloni - Libya, Sudan, Congo. N.k
3.Let them feel unyonyaji ambao wamekua wakifanya mpaka sasa kwa makoloni yao..:France in Western Africa.
4.Let them feel vita: jinsi walivyomtwanga Iraq kwa sababu za uongo na hujuma za Israel - Netanyahu - matokeo yake hadi leo watu wanakufa tu.
5.Let them pay for the distraction they caused in Syria - Innocent people, Children, women are being killed.Tena US kakalia eneo la Syria lenye mafuta kwa nguvu mpaka leo.
6.Hawa wazungu walikua wanapeleka bibi zetu kwenye zoo zao Ulaya..kama kichekesho
7.Leopard wa Belgium kakata sana viganja vya wacongo - additionally 20Million dead.
8.Hawa wajinga ndo waliua hadi hao Wayahudi 6M..kwa gas na takataka nyingine.
9.Huko US black people kipindi cha utumwa- walibakwa, lawitiwa, na kufanywa chochote.
10.Huko US hata baada ya utumwa mpaka 1970's hapakuwa na mchangamano...n.k.
NYINYI mnaokaa mnaona sympathy kwa hao Wazungu..mnajielewa kweli??
Tunampenda Russia si kwa sababu yeye ni mtakatifu lkn sababu anatusaidia kutunyooshea hao wajinga - tunapata check and balance- anawatia speed governor..pateni picha Russia angekua ni genge lao - hawa jamaa wangeturudia tena mara ya pili.
Huo muda wanapambana na Urusi sisi tuchukue fursa zingine.
They thought they are exceptional - sasa wameingia cha kike - Tunamuombea Russia akamatie hapohapo....asilegeze...
KARMA ni hapahapa
 
Na kwa taarifa zilizopo:
Nyie mnashangilia et US karuhusu ATACAM..etc..kutumika Urusi mnachezewa kiini macho.Wazungu ni wajanja, walaghai,akili zinafanya kazi na waovu pia.
Taarifa zinasema US alimtaarifu Russia kwa siri 2 months before..As a result Russia kaondoa potential and formidable military assets deep inside motherland Russia.Bombers zote n.k wameishahamisha...Hiyo range ya km 300 inabaki na Kursk tu zaidi ambapo napo watu wengi hawapo tena...
Hawa jamaa wanatuchezea akili yaani wanafanya ulimwengu uone wako serious against lkn chini ya pazia wanakaa wanaongea na wanakunywa chai kabisa.
Ndo maana unakuta tangazo kubwa kama lile lkn watu hata hawashtuki - watu wanahaha kujua Putin atasema nini kumbe yeye taarifa aliishapata na sababu waliishamwambia na namna ya kupunguza madhara wameishazungumza naye.
Dunia watu wenye akili na shrewd wataendelea kutuendesha sana
 
Mimi nasema ikitokea vita huku kwetu alafu nikakutana na fisi anaewatetea hawa wakoloni naanza kumchinja yeye
 
Nani amezikata?? Angalia huo urefu wa uharibifu!

Undersea cable between Germany and Finland severed​


Germany and Finland say they are "deeply concerned" after an undersea cable linking the countries was severed.

The rupture of the 1,170km (730-mile) telecommunications cable - which is being investigated - comes at a time of heightened tension with Russia.



View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1858624872013844675
 
huyu ndiye kiongoz mpya wa germany mwaka huu
 
ngoja ziingie mzigon ndio tupate picha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…