Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Naamini putin anachukua ushauri toka kwa watu wa usalama. Makamanda wakuu wa kijeshi na watu wengine, haswa wa nje ya russia. Kama china india na iran pia na ututuki.Hili tukio ilibidi waonyeshe mfano ingelisaidia huko mbeleni wanajeshi wa Ukraine wajue kupigana na Russia unakwenda machinjoni!
Wangefanya matukio ya kuogofya sehemu kama 3 au 4 au hata 5 Zelensky mwenyewe angepambana kukaa mezani.
Na jinsi Putin anavyoendesha hii Operation usidhani kwamba viongozi wenzake na wakuu wa majeshi wanapendezwa na maamuzi yake la hasha!
Wengi hawapendi, ila kwa vile ni rais hawana namna!
😂😂😂 kweli bangi sio nzuri.Zile zilitumia za masafa mafupi mzee, hizi za sasa zinaweza piga hadi km 300 ndani ya Urusi, tuanze kutegemea Moscow ikichakazwa
Safari hii hadi Putin aombe pooKichapo kimeshaanza kutembea🔥🇺🇦🔥🇺🇦🔥🇺🇦🔥🇺🇦
Ukraine fired missiles at Russia for the first time with Biden's permission. "Today, for the first time in history, the AFU struck a military facility on Russian territory with US ATACMS missiles."
View attachment 3156066
Usijichekeshe kinafki, mnaona baba enu anavodhalilishwa huko wewe upo huku unajichekesha😂😂😂 kweli bangi sio nzuri.
Siku Russia ikianguka niite mbwa niko paleeeee nimekaa.Hawatokuelewa ila ukweli ndio huo russia kuanguka ni LAZIMA na ni miaka michache kutokea sasa kwa wanaofuatilia kitu inaitwa eschatology wanaelewa. Russia itaanguka pamoja na Iran, Turkey, Libya, na nchi nyingi tu ambazo zipo upande wa russia.
Hivi wewe unadhani marekani hana mbinu zakutosha katika hili.Daah!
Mtu asieelewa kinoendelea huko Ukraine kama wewe yabidi kukuachia tu uandike kama hivyo.
Russia inashinda vita wapo uwanja wa vita wakisonga mbele.
Hatua ya Marekani na NATO kuruhusu makombora ya ATACMS na UK kufuata kuruhusu Storm Shadows hakutabadili matokeo ya uwanja wa vita. Jack Sullivan amekiri kwamba Ukraine haina manpower isipokuwa yahitaji zaidi silaha soma hapa: MSN, hizo ni lazima ziwe ordered na ziwe delivered miezi hadi miwili.
Hizo ATACMS tano kati ya sita zote ziliharibiwa na Russia na moja ikaanguka na kusababisha moto lakini hakuna madhara yoyote makubwa yalosababishwa na makombora hayo na hata Ukraine hawana ushahidi wa hilo.
Hayo makombora ni ghali sana na si kwamba ni leo yamepelekwa Ukraine yapo pale kitambo kwenye maghala na yakiisha hayo Ukraine itakosa makombora zaidi kwani Trump tayari atakuwa ameapishwa, ATACMS yanagharimu kiasi cha dola milioni 1.5 (kombora moja) wakati Storm Shadow ni pauni milioni 2 kwa kombora soma hapa : Atacms: What we know about missile system Ukraine could use to strike Russia
Kinoonekana ni kwamba hatua hizi za Biden na NATO ni hatua za "panic room" na kule Marekani tayari wazungumzia kumfanyia "impeachment" raisi Biden kwa kuruhusu mabomu hayo yatupwe kwenda ndani ya "territory" ya Russia, uamuzi ambao ulitakiwa ujadiliwe na Bunge la Senate.
Unaamini hilo?Zile zilitumia za masafa mafupi mzee, hizi za sasa zinaweza piga hadi km 300 ndani ya Urusi, tuanze kutegemea Moscow ikichakazwa
Ianguke mara ngapi. Mbwa koko wee!Siku Russia ikianguka niite mbwa niko paleeeee nimekaa.
Sio mikwara,unaona nguvu aliyoipata Iran kwa siku za hivi karibuni ni matokeo ya kukiuka Red line za Putin.Defence capability ya IRAN imekuwa boosted sana kwa kupewa S400 na ndio maana uliona Israel ilibidi arushie makombora akiwa km 100 ndani ya IRAQ kwa kuhofia usalama wa ndege zake.Hata madhara ya shambulio yalikuwa madogo kwani asilimia kubwa ya makombora yalipanguliwa.Pia anampelekea Iran SU35 multi role stealth combat plane akimuongezea uwezo IRAN wa kuzichallenge F35 za Israel ambazo zimekuwa mwiba mchungu kwa nchi jirani.Alafu hata USA hawawazi, yani USA imeshavuka redline zote zilizowekwa na Putin na hakuna lolote alilofanya zaidi ya mikwara,
Ulitaka niamini kipi?Unaamini hilo?
Sio nyie mlisema hawataki vita na wanaogopa mno kifo, Leo imekuwaje mnasema wanalazimisha WW3British naye karuhusu Ukraine atumie silaha zake za long range missiles kwenda Russia. Jana zimetumika za US
Hapo wanamlazimisha Putin afanye chochote halafu watasema Putin anaescalate.
Ni kama west wamedhamiria WW3 na wanamlazimisha Putin. Ikitokea hii watakaobaki watasimulia manake nusu ya dunia tunaweza kwenda na maji..
Kwani hapo hizo storm shadow zinafanya nini si ndio kumpiga kwenyewe?,Sasa si wampige?
Kitu gani kina kuuma?? Russia anazidi kuchukua maeneo huko Ukraine kwa kifupi anafanya vzuri..mimi sina wasiwasi kabisa na Putin,Inauma sana kiukweli sisi ambao tupo upande wake
Hivi wewe unaongea Nini.?Huyo jamaa kajaa ushabiki wa kipuuzi sana, anawaza miji ya ulaya na marekani kuchakazwa, lakini ubongo wake hauwazi kuwa miji ya Urusi pia ipo uchi, yaani ni vichekesho vitupu
Sjui una Elimu gani but unaonyesha uko mtupu sana kichwani kuhusu hii vita,mtupu kichwani kuhusu Russia na historia yake,mtupu kichwani kuhusu NATO,yaani wewe ambae uko Tanzania unajua Russia ina anguka lakini marekani na washirika wake wasijue?Mimi sichambui kimahaba kama nyie. Tatizo lenu hamtaki mawazo yanayoshusha upande mnaoupenda.
Elewa tu kuwa Russia inaanguka
Kwa sentensi hii naweza kujua uwezo wako wa kiakili na uwezo wako wa kufikiri.Safari hii hadi Putin aombe poo