Russia inaanguka. Ni taarifa zinazowapa makasiriko. Na hamtaki kuona comment yoyote inayoeleza madhaifu ya Russia.Sjui una Elimu gani but unaonyesha uko mtupu sana kichwani kuhusu hii vita,mtupu kichwani kuhusu Russia na historia yake,mtupu kichwani kuhusu NATO,yaani wewe ambae uko Tanzania unajua Russia ina anguka lakini marekani na washirika wake wasijue?
Yaani Putin na warussia wameshindwa kuliona hilo ila wewe kutoka nchi ambayo hata technolojia yakuokoa watu wake hawana unaona Russia inanguuka,VERY FUNNY
KivipiKuna mtu ana kandwa leo
Kwa hiyo mmeshahamisha magoli, kwamba mtazidungua,na vita itaendelea! Hakuna Tena zile Tambo za kupiga mataifa ya NATO 🤩😍🤩😍Hizo silaha zimetumika hapo kabla wakumbuka daraja la Kerch lililipuliwa na bomu la Storm Shadow na hizo ATACMS zimetumika kupiga Crimea zikaharibu meli za kivita pale Sevastopol kiasi cha kuifanya Russia kuhamisha mali zote za kijeshi.
Hizo silaha ni ghali mno (ATCMS ni dola milioni 1.5 kwa kombora na Storm Shadow ni pauni milioni 2 kwa kila kombora soma hapa: Atacms: What we know about missile system Ukraine could use to strike Russia ) ndo maana waliziweka akiba na zikiisha hizo hakutakuwa na zingine.
Isitoshe Russia ataendelea kuzidungua na huku akiendelea na SMO kama kawaida maana wamesema matumizi ya silaha hizo hayatabadili mwelekeo wa vita yaani Russia kuchukua maeneo zaidi.
Sidhani Kama kuna big deal hapo.Atapiga tu vyanzo vya kuzalisha umeme, sijui warehouse za makombora ndo siku imeisha hio.Ukraune washazoea hayo.Tukutane kesho asubuhi maana usiku huu kuna tukio Russia walifanya. Ni tukio kubwa.
Aache mbwembwe atume hata risas Moja katika taifa la NATO tuone ukuu wake!Kitu gani kina kuuma?? Russia anazidi kuchukua maeneo huko Ukraine kwa kifupi anafanya vzuri..mimi sina wasiwasi kabisa na Putin,
,sababu ya nchi za west kuruhusu Ukraine atumie makombora ya masafa marefu kwenda Russia nahisi wataka kumlazimisha Russia abadilike aina yake na strategy zake upiganaji,they are testing something
Na wanamjaribu hivyo kwa sababu wameshamuona ni mtu wa matamko mengi tofauti na Russia ya waliyoizoea.British naye karuhusu Ukraine atumie silaha zake za long range missiles kwenda Russia. Jana zimetumika za US
Hapo wanamlazimisha Putin afanye chochote halafu watasema Putin anaescalate.
Ni kama west wamedhamiria WW3 na wanamlazimisha Putin. Ikitokea hii watakaobaki watasimulia manake nusu ya dunia tunaweza kwenda na maji..
Unajua humu kuna watu hawaelewi!Nimeamka na kupitia baadhi ya vyombo vikubwa vya habari, nisema tu nimesononeka sana sikuona habari yoyote ya respond ya russia kwa kiev.
Ukiwa mvumilivu sana wakati mwingine ni ujinga.. Putin plz embu fanya kama anavyofanya Netanyahu. Unachezewa sharubu ujue!! Unakwama wapi mzee baba? Aaarrgghhhhh
Majengo ya balozi za marekani, uingereza, ufaransa na german nataka kuona vifusi pale... Tuondolee hii aibu tafadhali.
Kaanza USA kuruhusu silaha zake zitumike!Nimeamka na kupitia baadhi ya vyombo vikubwa vya habari, nisema tu nimesononeka sana sikuona habari yoyote ya respond ya russia kwa kiev.
Ukiwa mvumilivu sana wakati mwingine ni ujinga.. Putin plz embu fanya kama anavyofanya Netanyahu. Unachezewa sharubu ujue!! Unakwama wapi mzee baba? Aaarrgghhhhh
Majengo ya balozi za marekani, uingereza, ufaransa na german nataka kuona vifusi pale... Tuondolee hii aibu tafadhali.
Shujaa wa kwenye Keyboard kwenye Moja na mbili....Hivi bado hamjagundua kuwa Putin na Russia yake hawana uwezo mkubwa zaidi ya mikwala na vitisho tu. Na tayari US/NATO wameshajua kuwa Russia anapigika kirahisi sana na ni joka lisilo na sumu. Na kuna uwezekano tayari NATO wanazo targets zote muhimu zilizopo Russia KINACHOSUBIRIWA NI MUDA MUAFAKA TU UFIKE.
Binafsi ningependa sana dunia iwe na balanced power au two Blocks hasa kwa faida yetu sisi vi nchi maskini kuliko kuwa na Mbabe mmoja tu duniani ambaye atatuendesha anavyotaka yeye. Ningependa sana Russia ashinde LAKINI KWA MOVE INAVYOENDELEA NI DHAHIRI RUSSIA INAKWENDA KUPIGWA NA KUANGUKA VIBAYA TENA ANGUKO KUBWA KULIKO LILE LA UJERUMANI YA HITLER.
Na wanamjaribu hivyo kwa sababu wameshamuona ni mtu wa matamko mengi tofauti na Russia ya waliyoizoea.
Ili udili na watu jamii ya UK na US inabidi ujitoe ufahamu ndiyo watakuelewa.
Ujinga ambao anafanyiwa Russia si North Korea wala Iran wanaweza wakafanyiwa, kwa sababu hawa watakupokea jinsi utakavyokuja.
Sio busara tu ni msikivu pia, sababu kaishaelezwa akijaribu kutumia nukes, watamtandika kwelikweli.Ila namuona Putin ana busara sana, hivi akiliamsha ujue dunia itapoteza watu wengi sana..hawa west ni kama wendawazimu hivi yani vampire fulani wanakunywa damu za watu hawatosheki
Umesahau yafuatayo.Mpaka sasa Ukraine imepokea silaha nyingi za aina mbalimbali ambazo pro ukraine waliziita game changer lakini Ukraine imeshindwa kukomboa maneno yake zaidi ya kupoteza zaidi.
Mpaka sasa mafanikio makubwa ya Ukraine ni
1. kuteka wilaya ya Sudza ndani ya mkoa wa Kursk
2. Sabotage na taharuki anazozileta ndani ya Russia. Lengo likiwa ni Riot ya wananchi
Ni ukweli usiopingika kwamba mpaka sasa Pro Russia wengi wako disappointed kwasababu Kuna mambo yanakwenda tofauti na walivyotarajia, lakini wanapqswa kuelewa hiyo hali hata upande wa pro ukraine na pro NATO ipo tena ya kutosha. Refer kilichotokea Germany, Italy na Uk
Nashindwa kuamini kwamba sisi hapa jamii forums tunazijua strategies za vita kuliko na ugumu/urahisi wa kufanya maamuzi juu ya vita kuliko wahusika wa hiyo vita. Kwamba hapa jamii forums tuko very bright kuhusu hii SMO kuliko Putin na washauri wake ana kuliko NATO na washauri wao
Jamaa walikuwa wameshamuandalia bunkers mbali kabisa na Moscow..,kwa Sasa Moscow anapasikia tuPutin alivyo muoga kajificha kwenye mahandaki tena choon
Putin anasubiriwa afanye kama anajikuna Ili wamgonbanie kama mpira wa konaSio busara tu ni msikivu pia, sababu kaishaelezwa akijaribu kutumia nukes, watamtandika kwelikweli.