LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mimi Maoni Huru ambae ni Lee Van Cliff zamani nasema wote mnaomlaumu Putin mtakuja kumsifu baadae na wote mnaodhani kushindwa mtakuja kumlaumu baadae.
Kwa kufuatilia habari nimesoma mahali Putin Yuko kwenye vikao na Viongozi wa ulinzi na usalama na wataalamu.
Nafuatilia vyombo vingine vya habari hapa.
 
Wakati huko urusi kwenyewe kukiendelea kuchakazwa

Huko pia kwenye battle field wanazidi kuchinjwa
1732173667747.jpg
 
Mimi Maoni Huru ambae ni Lee Van Cliff zamani nasema wote mnaomlaumu Putin mtakuja kumsifu baadae na wote mnaodhani kushindwa mtakuja kumlaumu baadae.
Kwa kufuatilia habari nimesoma mahali Putin Yuko kwenye vikao na Viongozi wa ulinzi na usalama na wataalamu.
Nafuatilia vyombo vingine vya habari hapa.
Duh! Jamaa umekomaa kweli 🏃🏃🏃🏃
 
Mimi Maoni Huru ambae ni Lee Van Cliff zamani nasema wote mnaomlaumu Putin mtakuja kumsifu baadae na wote mnaodhani kushindwa mtakuja kumlaumu baadae.
Kwa kufuatilia habari nimesoma mahali Putin Yuko kwenye vikao na Viongozi wa ulinzi na usalama na wataalamu.
Nafuatilia vyombo vingine vya habari hapa.
Atakaa vikao sana, lakini kuingia kwenye vita ya muda mrefu namna hii kwa kutegemea wingi wa askari, Putin alichemsha sana.
1. Amesababisha vifo vya warusi wengi sana.
2. Amesababisha vifo vya wa ukraine wengi sana.
3. Na sasa more than 100,000 North Koreans wameingizwa kwenye conveyor belt.
 
Kila mmoja Anamaoni yake
Lakin Lazima Mjue Vita ya Sasa Sio Kukurupuka kama Mnavyo Fikiria
Na sio lazima Ukipigwa lazima Ujibu Muda huo huo ili ionekane ww ni mwamba hapana.
Lazima mipango Ipangwe
Na Kwa karne ya sasa Nuklia Sio Rahisi kutumika Kwa Haraka Hivyo.
Ukrein Atapigwa tena Vibaya sana
Na Marekani Uk nao watapata Majibu yakuumizwa inaweza isiwe Urusi moja kwa moja
Bali wanaweza wakawa Huthi au Wengineo
Meli yeyote ya Us , Uk zikapewa moto na Silaha za Mrusi kupitia Hao Huthi
 
Kila mmoja Anamaoni yake
Lakin Lazima Mjue Vita ya Sasa Sio Kukurupuka kama Mnavyo Fikiria
Na sio lazima Ukipigwa lazima Ujibu Muda huo huo ili ionekane ww ni mwamba hapana.
Lazima mipango Ipangwe
Na Kwa karne ya sasa Nuklia Sio Rahisi kutumika Kwa Haraka Hivyo.
Ukrein Atapigwa tena Vibaya sana
Na Marekani Uk nao watapata Majibu yakuumizwa inaweza isiwe Urusi moja kwa moja
Bali wanaweza wakawa Huthi au Wengineo
Meli yeyote ya Us , Uk zikapewa moto na Silaha za Mrusi kupitia Hao Huthi
una tungo zuri unafaa kuwa mwalimu wa tungo
 
Nimeamka na kupitia baadhi ya vyombo vikubwa vya habari, nisema tu nimesononeka sana sikuona habari yoyote ya respond ya russia kwa kiev.
Ukiwa mvumilivu sana wakati mwingine ni ujinga.. Putin plz embu fanya kama anavyofanya Netanyahu. Unachezewa sharubu ujue!! Unakwama wapi mzee baba? Aaarrgghhhhh
Majengo ya balozi za marekani, uingereza, ufaransa na german nataka kuona vifusi pale... Tuondolee hii aibu tafadhali.
Mzee Baba kuwa mpole Putin ni zaid y mtu upande wa ujasusi wazungu wa Ulaya wameundiwa michuma chuma wakapewa maelezo ya uwongo mifano ipo wazi uko Telaviv kunawako moto bahari nyekundi tumeona yale matenga ya nyanya yalivyo fanywa. Kwaiyo Putin anawavuta waje kaawacha kwanza wajitutumu ili ulimwengu ujue mchokozi nani kisha haaaaa atawafuraisha na watacheka kweli kwenye mashimo ya foot6 tuupe muda heshima.
 
Mimi Maoni Huru ambae ni Lee Van Cliff zamani nasema wote mnaomlaumu Putin mtakuja kumsifu baadae na wote mnaodhani kushindwa mtakuja kumlaumu baadae.
Kwa kufuatilia habari nimesoma mahali Putin Yuko kwenye vikao na Viongozi wa ulinzi na usalama na wataalamu.
Nafuatilia vyombo vingine vya habari hapa.
Mr. Lee Van Cliff, habari zs miaka ndugu yangu!

Unajua Russia anapigana proxy war against the USA directly.

Sababu kuu na maalumu ya SMO ilikuwa ni kuepuka kwa Russia kushambuliwa na western missile moja kwa moja kwenye ardhi yao. Lakini kwa sasa wanapiga moja kwa moja kwenye ardhi ya Russia.

Haya ni mawazo yetu tu tunachangia: Russia inabidi ifikirie tena upya au history will be written for them.
 
Kila mmoja Anamaoni yake
Lakin Lazima Mjue Vita ya Sasa Sio Kukurupuka kama Mnavyo Fikiria
Na sio lazima Ukipigwa lazima Ujibu Muda huo huo ili ionekane ww ni mwamba hapana.
Lazima mipango Ipangwe
Na Kwa karne ya sasa Nuklia Sio Rahisi kutumika Kwa Haraka Hivyo.
Ukrein Atapigwa tena Vibaya sana
Na Marekani Uk nao watapata Majibu yakuumizwa inaweza isiwe Urusi moja kwa moja
Bali wanaweza wakawa Huthi au Wengineo
Meli yeyote ya Us , Uk zikapewa moto na Silaha za Mrusi kupitia Hao Huthi
Putin kaishajichanganya kwa kuanza kufikiria kama USA & CO. Na nadhani wamempandikizia hizo fikra bila yeye kuelewa kwamba anacheza mziki wao.

Toka walipoanza kumsaidia Eukraine, USA & CO wamekuwa wakijifanya kumzuia EUKRAINE asipige ndani ya Rusia sababu hiyo itakuwa ni escalation, lakini pia wamekuwa wakidai wao sio washiriki wa hivyo vita hivyo hawatapeleka majeshi yao Ukraine.

Matokeo yake, Putin akashindwa kushambulia Misafara ya siraha ndani ya Poland, au iliyobebwa na vyombo vya usafiri vya USA & Co.

Sasa wanadai Kaescalate kwa kukodisha majeshi ya North Korea, hivyo na wao wanaruhusu apigwe nyumbani kwake.

Na yeye anaamini kaescalate yeye. of course yeye ndio mwanzilishi na yeye ndiye atayeamua vita iishe au isiishe.
 
Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, but inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.

Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
 
Aisee Col Douglas Macgregor ameongea vizuri sana.
Huyu ni Afisa mstaafu wa jeshi la USA na alikua mshauri wa Trump wa masuala ya Ulinzi anaona hatari iliyopo na uwezo wa Urusi.
Lkn Cha ajabu utakuta kijimtanzania Fulani hivi ki Tindiga,ki Hadzabe au kitoto Cha Mfumu Fulani hivi kinaidharau Urusi na mwamba Putin.
Aisee Tanzania Kuna maajabu sana.
Anasema ni ushenzi TU wa Biden na timu yake wanataka kumharibia Trump mtu alieonesha Nia ya kumaliza vita hii.
Anasema haijwahi kutokea huko nyuma Rais anaemaliza muda wake kutaka kumuachia janga Rais ajae.
Col Yuko vizuri sana aisee.haw ndio wamarekani wenye akili nzuri.
Unatuzingizia sisi tu Wahadzabe. Wahdazabe sisi tuna amisha yetu ya kijadi kabisa wala hatujishughulishi na yanayoendelea duniani na wala hatujui yanayoendelea nje ya maeneo tunayoyaona kwa macho yetu. Wanaojifanya kuijua dunia ni nyie Waswahili wa mijini.
 
Putin kaishajichanganya kwa kuanza kufikiria kama USA & CO. Na nadhani wamempandikizia hizo fikra bila yeye kuelewa kwamba anacheza mziki wao.

Toka walipoanza kumsaidia Eukraine, USA & CO wamekuwa wakijifanya kumzuia EUKRAINE asipige ndani ya Rusia sababu hiyo itakuwa ni escalation, lakini pia wamekuwa wakidai wao sio washiriki wa hivyo vita hivyo hawatapeleka majeshi yao Ukraine.

Matokeo yake, Putin akashindwa kushambulia Misafara ya siraha ndani ya Poland, au iliyobebwa na vyombo vya usafiri vya USA & Co.

Sasa wanadai Kaescalate kwa kukodisha majeshi ya North Korea, hivyo na wao wanaruhusu apigwe nyumbani kwake.

Na yeye anaamini kaescalate yeye. of course yeye ndio mwanzilishi na yeye ndiye atayeamua vita iishe au isiishe.
Nonsense
 
Mr. Lee Van Cliff, habari zs miaka ndugu yangu!

Unajua Russia anapigana proxy war against the USA directly.

Sababu kuu na maalumu ya SMO ilikuwa ni kuepuka kwa Russia kushambuliwa na western missile moja kwa moja kwenye ardhi yao. Lakini kwa sasa wanapiga moja kwa moja kwenye ardhi ya Russia.

Haya ni mawazo yetu tu tunachangia: Russia inabidi ifikirie tena upya au history will be written for them.
Russia anauwezo wa kuifuta Marekani kwenye uso wa dunia kwa hiyo usiwaze Russia kupoteza hivi vita.
 
Back
Top Bottom