LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Haka kajamaa kaigizaji kana ufala mwingi sana, limeshuka moja tu kashapagawa🀣🀣
 
Ile milipuko inatisha mkuu,maana huo moto unavyowaka doooh kama mimi askari wa Ukraine sishiki tena silaha.
Aah wapi, hakuna Cha maana urusi anafanya huko,Bora hata angefanya Mass attacks kama alivofanya wiki iliyopita kwa kupiga vituo vya umeme,hiyo kidogo ingesaidia kuwapoza maumivu mashabiki wake πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Safi kabisa na ni ukweli Kwa asilimia mia moja.
Nadhani katika kitu wamarekani wanajuta ni Hiroshima na Nagasaki.
Sio vizuri kiongozi Bora kabisa hapa chini ya jua Bwana Putin kuvutwa kirahisi katika kuiingiza Dunia katika janga kubwa .
 
Halafu inasemekana sio ICBM,s ila ni vibomu tu vidogo vidogo vilitengenezwa na mabaki ya materials baada ya ICBM zenyewe kumaliziwa kutengenezwa.Sasa ICBM zenyewe zikitumika itakuaje 😁😁😁😁😁😁😁
Ogopa sana mpo kama 50
Mnamchangia jamaa mmoja kwa kila mbinu mnashirikiana
Alafu anawagonga kwa mkono mmoja bado mnarudi nyuma

Kama drafti mnamchangia master mmojana anawatutusa.
Uku anaongea na simu.
Kiufupi hata nuclear hazitamsaidia ukraine
 
Omba uhai mrefu
 
😁😁😁😁 Sasa ana lalamika nini !?

Ila zelensky bhana kwahiyo yeye alitegemea Arushe mabomu direct to Russia then wamkalie kimya hahaha nimecheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…