Ha ha haaa.Huyu Lee Van free hataki kusikia maoni kinzani na upande wake.
Hivi ndugu unafahamu kua Karibu Kila nchi duniani Ina sehemu za kujificha Viongozi wakati mambo yakienda kombo wakati wa vita?View attachment 3158315
Dikteta uchwara anajificha kwenye bunkers🤣🤣🤣
Unaongea na kijana wa form six mkuu....usipoteze muda na rasilimali akiliWewe member hua ni mgumu sana kuelewa halafu mwepesi wa kusahau.
Nimesema hivi,USA na NATO waache kuirushia mawe Urusi wakiwa nyuma ya Ukraine.
Nikaendelea kusema sio tabia ya USA na NATO kuisaidia nchi kijeshi kwa kuipa misaada bila wao kuingia mazima kama walivyofanya Iraq, Yugoslavia, Afghanistan na Libya.
Hapa nilikua nikilenga wanajifanya kumpa Ukraine silaha lakini wao ndio wanaziopareti.
Nikaongeza kusema wanapigana na Urusi kiujanjaujanja,hii sio tabia Yao na inaonekana udhaifu wao.
Nilimaanisha kua Hali hii inainyima Urusi uhalali wa kujibu mapigo moja kwa moja Kwa nchi yoyote inayorusha jiwe Urusi ikiwa nyuma ya Ukraine,sio nchi tu,hata NATO wote.
Kwa hiyo sio rahisi kwa Urusi kurusha jiwe Kwa NATO.
Ila kama unaona Urusi inaiogopa NATO basi omba Mungu NATO waingize jeshi lao kama walivyoingiza Iraq au Afghanistan au Yugoslavia halafu uone kama Urusi atajibu ama hatajibu.
😁😁😁😁 Wanunue majenereta tena ?!!Kitu cha jana kinazidi kuwachanganya! Wameshajua Ukraine kachapika!
View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1859857484841627723
Mbona form six ni shule kubwa sana tuUnaongea na kijana wa form six mkuu....usipoteze muda na rasilimali akili
Akiendelea kujitia uchizi tunapachika Nukes sehemu zile zile zilipotoka zile vyuma vya jana,halafu unafikiri kazi basi yaani unapachika kama vile unaweka CD,s kwenye drive unapo updates Windows kwenye laptop 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hivi Kuna watu wanaidharau form six?!🏃🏃🏃Mbona form six ni shule kubwa sana tu
Afghanistani na Vietnam na somalia ilikuwaje?.kule Syria si walikuwa wanasema Assad must go, vipi ikawaje tena wakabadili kauli yao.Hawa pro Russia ni wazee wa kutupiga kamba tu ,hii vita Putin imemuelemea kabisa,nchi kubwa kama urusi kupingana na nchi iliyoko mpakani mwake with full force,Tena kwa Miaka 3 ni aibu mno Tena aibu isiyoneneka🏃🏃🏃
Hiyo ni tisa..,kumi tusijisahaulishe kwamba Putin alisema bila kupepesa macho kwamba Long range missiles anayezicontrol ni NATO, Hivyo zikitimika Ina maana NATO ndio watakuwa wamemshambulia na majibu hayatachelewa ,nashangaa mpaka Sasa bado anabung'aa tuu 🏃🏃Afghanistani na Vietnam na somalia ilikuwaje?.kule Syria si walikuwa wanasema Assad must go, vipi ikawaje tena wakabadili kauli yao.
Bwashee hicho kiwanda ambacho kilikuwa na mpango wa kuzalisha hizo missiles ndio jana Oreshnik zilikuwa zinaruka sarakasi🇺🇦🚀 Ukraine already has the capacity to produce 3,000 cruise missiles next year, it only needs contracts for purchase, - Forbes
❗️8 missiles per day, this exceeds the pace of the Russians and Americans. The price of the issue is from $3 billion…
View attachment 3158732
Siku zote si mnasema Ukraine anapigana peke yake...!?Sasa mbona unaziingiza nchi za NATO? Au leo ndiyo umekubali kuumbia umma ukweli kuwa siku zote Russia anapigana na Nchi 32 za Ulaya na Amerika?Urusi aitie kiberit nchi mojawapo ya NATO kama alivyahaidi..