LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Kuna sababu zngine kabisa sio NATO kuikaribia Russia kwani mpaka sasa NATO inapakana na Russia ktk nchi za
Estonia
Latvia
Lithuania
Norway
Sweden
Hivyo vita vipo kugombani Mali nguvu kazi na utaalamu
Russia alitumia advantage ya mukataba wa Minsk ambazo katika masharti yake ni kufanya Ukraine sehemu salama isiwe na siraha za maangamizi
Kwa hila hizo Ukraine alisalimisha siraha zake Kwa Russia
Hilo gap ndilo alitumia Russia kuivamia Ukraine
Kama Ukraine asinge salimisha siraha zake ingekua Kati ya nchi zenye siraha za nyukiria duniani
Na isngekua na haja ya kuombaomba siraha
Kama unafikiri Urusi ingeiogopa Ukraine Kwa sababu ya kua na silaha za nyukilia unajidanganya.
Urusi katika kulinda usalama wake haogopi nchi yoyote hapa Duniani,iwe na silaha ama isiwe na silaha za nyukilia.
Hapa leo hii Urusi inataka kupigana na inaweza kupigana na nchi zote za NATO na hizo nchi wanamiliki silaha za nyukilia.
Ukraine hata kama angekua na silaha hizo na akawa anamletea jeuri Urusi,Urusi wasingemwacha.
Nadhani Leo unaona jinsi anavyowaonya UK France na USA,usikikiri warusi Wana bluff.
 
Jitahidi sana kutafuta maarifa. Pia jiulize kwa nchi majirani zinazoizunguka nchi yako ya Tz ni ipi ina muhimu zaidi kwa Tz Kiusalama au hata Kiuchumi.
Pia jiulize ni kwanini Muungano wa Tanganyika na Znz una faida zaidi kwa Tanganyika.
Ndio utufahamishe kati ya majirani zetu wote, ni yupi wa hatari kwetu kiuchumi na kiusalama. Unadhani waasisi wetu walikuwa na wazo la kuungana, walitaka ama walipenda kuungana?
 
Watu wengi wenye Nia njema humu jukwaani mmewaelimisha haya jamaa zetu Pro UkraiNATO kuhusu nchi huru kujiamlia mambo Yao.
Mmeitolea mfano Cuba.
Mimi naenda mbali zaidi,hata Korea kaskazini na Iran nazo ni nchi huru nazo zina haki ya kumiliki nyukilia lkn Cha ajabu USA haitaki nchi hizo zimiliki .
India na Pakistan wanamiliki .
Point kubwa ni kwamba hizi chokochoko zote ni USA kutaka marafiki zake wamiliki na maadui zake ama marafiki wa maadui zake wasimiliki silaha za nyukilia.

Hata hivyo imekua too late.
 
Mnapenda sana ushabiki usio na tija mkuu

Ukraine ni taifa huru lililojimega kutoka muungano wa SSR na likapewa uhuru wake na kutambulika kimataifa, na tena halikuwa taifa hilo pekee katika kujimega kutoka muungano huo na yote yalitambuliwa

Linapokuja suala la namna ipi Ukraine ijiendeshe, taifa lolote halina mamlaka ya kuliamlia kwa wananchi wake

Russia ni mhuni tu na hii lana haitawaacha mkuu,hata wakishinda leo, lakini miaka mingi ijayo, hiyo laana itawarudia
Ndugu ukiwa masikini na tegemezi hauwezi kujiamilia. Maana wewe unakuwa hatari sababu unaweza kushawishiwa na huyo unayemtegemea na ukafanya lolote analolitaka bwana mkubwa wako.
 
Kuna sababu zngine kabisa sio NATO kuikaribia Russia kwani mpaka sasa NATO inapakana na Russia ktk nchi za
Estonia
Latvia
Lithuania
Norway
Sweden
Hivyo vita vipo kugombani Mali nguvu kazi na utaalamu
Russia alitumia advantage ya mukataba wa Minsk ambazo katika masharti yake ni kufanya Ukraine sehemu salama isiwe na siraha za maangamizi
Kwa hila hizo Ukraine alisalimisha siraha zake Kwa Russia
Hilo gap ndilo alitumia Russia kuivamia Ukraine
Kama Ukraine asinge salimisha siraha zake ingekua Kati ya nchi zenye siraha za nyukiria duniani
Na isngekua na haja ya kuombaomba siraha
Kumbuka Ukraine kama Ukraine haijawahi kuwa na siraha za Nyuklia bali zilikuwa ni siraha za USSR na pia yeye kuziachia ndilo lilikuwa sharti la uhuru la sivyo mpaka sasa isingekuwa huru
 
Nearly four months after Kyiv launched a surprise cross-border incursion into Russia’s Kursk Oblast, some Ukrainian soldiers are increasingly pessimistic about the costly operation.
“Aviation is a key factor, and (Russian troops) are throwing all the aerial bombs every night, destroying us little by little,” said Ukrainian serviceman Oleksii with the 80th Air Assault Brigade that is currently deployed in Kursk Oblast.
When Ukrainian forces unexpectedly opened a new front in the northeast in August by breaking through Kursk Oblast, it was a significant morale-boosting moment for the country. Ukraine continued to advance forward day by day, shocking even Western allies with the stunning operation, despite being severely outgunned and outmanned across the front.

While unable to quickly prevent a deepening Ukrainian advance, Russian forces eventually began to counterattack in September to push the Ukrainians out. Military analysts say that there have been three waves thus far, with an upcoming one expected in December. Nearly 60,000 Russian troops are deployed in Kursk Oblast, Ukrainian public broadcaster Suspilne reported on Nov. 22, citing an undisclosed General Staff source.
The Kursk operation — the first time Russia was invaded by another country’s army since World War II — kicked off three months before uncertain U.S. presidential elections. Ukraine's grip on Russian territory has given it leverage in potential negotiations. But that grip is weakening. Reuters reported on Nov. 23, citing Kyiv's senior military source, that Ukraine has lost over 40% of the territory it previously captured in Kursk Oblast.

Russia could begin a larger push in December in an attempt to reclaim the entirety of Kursk Oblast before U.S. President-elect Donald Trump enters office in January 2025, according to Oleksandr Kovalenko, a Ukrainian military and political analyst with the Kyiv-based think tank Information Resistance.
Trump has claimed to end the war swiftly in a deal “that’s good for both sides,” leveraging what he described as “a very good relationship” with Russian President Vladimir Putin. A policy document envisages the new administration pushing Russia and Ukraine to enter peace talks by threatening to either halt or ramp up U.S. military aid to Kyiv should either side refuse, the Guardian reported on Nov. 28.

Meanwhile, Russia continues to gain ground across the front, particularly in the eastern Donbas region, as talks of freezing the front line surface with Trump’s return to power. The Ukrainian military leadership has claimed the operation had forced Moscow to pull forces to its southern region and alleviated stress for Kyiv in Donbas.
But Russia managed to capture over 1,600 square kilometers (roughly the size of London) of Donbas territories between September and November, despite "spending significant amounts of men and material in the process,” according to the Finland-based open-source analytical organization Black Bird Group.
The estimated Russian gains in Donbas over the fall surpass the territories Ukraine held in Kursk Oblast at its peak, which the senior Ukrainian military official told Reuters was roughly 1,380 square kilometers.
Ukraine currently controls about 800 square kilometers (roughly the size of the city of Chicago), the source told Reuters in late November.
Kursk_Raids_Map_take-1-latenov-01.jpg
A map of the front line in Kursk Oblast as of late November. (Nizar al-Rifai/The Kyiv Independent)

Strategic value?​

As the front line in Kursk Oblast more or less stabilizes and the Ukrainians are once again back on the defensive, more soldiers — many of whom said their units took heavy losses in the area — are beginning to question the incursion. Kyiv has allocated substantial resources for the operation, which is also supported by Western long-range striking capabilities, to hold the lands at any cost.
President Volodymyr Zelensky has hailed the Kursk operation, reiterating how it enabled Ukraine to return "a significant number" of Ukrainians from Russian captivity and prevent a re-occupation of bordering Sumy and Chernihiv oblasts.
"Instead of a buffer zone on the territory of Ukraine, which the Russians planned, we have created a buffer zone near our border on Russian territory,” Zelensky said during an October evening address.
Observing how Russian troops were advancing quicker in Donetsk Oblast from the distance, the Ukrainian soldiers stressed that the elite Ukrainian units deployed to invade Russia could have instead been used to hold the eastern front.
“Not one soldier whom I speak with understands why we are here (in Kursk Oblast),” Oleksii said, adding that many guys from his unit refused to be deployed in the Kursk operation and went home.
Other soldiers, including another serviceman from the elite 80th brigade, Illia, suggested that the Kursk incursion would likely be destined for a short life and that it was probably a Ukrainian attempt to distract the public from the worsening situation in Donbas.
“I'm 100% sure they'll force us out of Kursk Oblast, it's just a matter of time,” Illia told the Kyiv Independent. “It's a pity that people are dying for PR.”
Western and Ukrainian military experts are divided on the operation's strategic value, but they stressed that Russian troops would have advanced on the eastern front regardless of the Kursk operation.
Emil Kastehelmi, an analyst at the Black Bird Group analyzing the war closely through open source, said that there appear to be “more negatives” in the operation, with Ukraine prioritizing the operation “pretty high” despite the deteriorating Donbas situation.
Experts have said that the operation's pros included Ukraine bringing the war to Russian territory and enhancing the protection of bordering areas in Ukraine’s northern Sumy, Kharkiv, and Chernihiv oblasts.
The operation has also forced Russia to divert some troops that could have been deployed elsewhere to its own Kursk Oblast and suffer a high cost to reclaim the territories. Ukraine claimed in late October that Russia had lost over 17,000 soldiers in Kursk Oblast since August.

The recent deployment of North Korean soldiers to the area as reserves signals that Moscow is also suffering personnel shortfalls, Kovalenko from the Kyiv-based think tank Information Resistance said. According to Western and Ukrainian government estimates, Russia has already deployed 10,000 to 11,000 North Korean soldiers in Kursk Oblast.
Russian troops are currently unleashing the heaviest offensive from the western direction from the village of Lyubimovka along the Snagost River in the Kursk region to the west of the Ukrainian stronghold, according to Kovalenko. “(Russian troops) are trying to put pressure from the west to the east,” Kovalenko said, adding that the Snagost used to be Ukraine’s geographical barrier until Russians toppled over the area in October.
Ukrainian soldiers on the ground said that Russia continues to attack in small groups supported by equipment and swarms of deadly first-person-view drones.
It is unclear how long Ukraine can realistically occupy the patch of Russian territory. Among the struggles that Ukrainian troops face include the apparent lack of high-quality fortifications, at least in large amounts, and good defensive terrain, according to Kastehelmi from the Black Bird Group.
And as Ukraine loses more territory in Kursk Oblast, it would make it more difficult for Ukrainian forces to maneuver and easier for Russian troops to observe movements in the Ukrainian-controlled areas, he added.
“There are issues, but at least it seems to be a bit more stabilized than it was earlier in the, in the autumn when the Russians struck the Ukrainians back more quickly,” he assessed.
The fate of the Russian region would largely depend on whether Moscow prioritizes the Kursk operation, as Russia is not facing a threat from Ukraine holding onto these areas from a military point of view, he explained.
“The Ukrainians don't really control anything that important in terms of, for example, cities or areas, and they aren't really threatening (Russia with) anything important by holding this area,” he said, adding that the situation has become “increasingly political” for Moscow.
The recent Western permission to strike into Russia with long-range weaponry paved the way for Kyiv to hit military targets from afar. Multiple Western media reports about the Ukrainian strikes using U.S.-made long-range ATACMS and British-supplied Storm Shadow missiles in Russian bordering regions. The Russian Defense Ministry on Nov. 26 admitted that Ukraine hit a Russian S-400 air defense system and an airfield in embattled Kursk Oblast with U.S.-provided ATACMS.

The soldiers on the ground said that they had not felt the results of these long-range strikes on the battlefield.
Serhii Kuzan, co-founder and chairman of the Ukrainian Security and Cooperation Center, said that the long-range strikes “help a lot” in the defense of Kursk Oblast. The warehouse of the 67th arsenal of Russia's Main Missile and Artillery Directorate in Bryansk Oblast that Ukraine claims to have struck with ATACMS equipped the Kursk Grouping of Russian forces.
Neutralizing the ammunition stockpiles allowed Ukraine to slow down the pace of the Russian offensive and could disrupt Moscow’s plans, the expert stressed. “This means that we have lowered their fighting capacity,” he said, continuing: “They understand they already can’t count on this warehouse and that they must rearrange again, make adjustments, and make their plans from new calculations.”
But while destroying Russian military components that could be used against Ukraine is helpful, “the effect is still probably rather limited as Ukrainian missile stocks are also limited,” Kastelmi said.
Low stocks don’t allow Ukraine to conduct a large-scale strike campaign targeting a substantial number of headquarters, ammunition depots, training centers, and logistical hubs to “paralyze the whole system,” according to Kastelmi.
“Because the permission to shoot the missiles on the Russian soil like was given so late and missile stocks are limited, it really means that it's a nice bonus, but it won't change the larger dynamics of the battle,” he added.
The critical components would instead be manpower, quality of troops, and the availability of equipment, drones, and artillery, according to Kastelmi.
“A bunch of combat-ready units are being wiped out (by Russian forces),” Illia, the soldier from the 80th brigade deployed in Kursk Oblast, said, stressing how exhausted his guys were.
“It’s possible that I don’t know something or don’t understand something, but it’s sh*t.”
 

Attachments

  • Screenshot_20241203-175810.png
    Screenshot_20241203-175810.png
    1.4 MB · Views: 4
Ndio maana tumekuambia uvumilivu uliishinda Russia.
Ni kweli majirani zake Urusi wengi walijiunga na NATO.
Urusi hakukaa kimya,aliendelea kuwakumbusha Kila mara kuhusu kuendelea kujitanua kwa NATO,wao wakawa wanamdharau.
Suala la Ukraine waliendelea kumdharau wakijua ataendelea kulalamika TU bila hatua zozote.
Nadhani kwa suala la Ukraine kutaka kujiunga na NATO kwa Urusi ilikua ndio Red line yake.
Kwamba kuachia Ukraine ijiunge na NATO ni kuvuka red line.
Na nadhani ndio maana Urusi wakaamua kui demilitarize Ukraine.
Haya ukiangalia vizuri katika nchi zote zilzoKua sehemu ya USSR zilizojitenga na kujiunga na NATO hakuna nchi kubwa na yenye uwezo kama Ukraine.
Vikina Estonia,Latvia,Lithuania n.k ni vi nchi vidogovidogo mno.
Hapo nimekuelewa mkuu
 
Mtaalu kutoka bonyokwa unaifahamu Canada zaidi ya Trump
Usiwe kama mbumbumbu unafikiria ndani ya box.
Kwani Trump ni Mungu hadi ushadadie Kila anachosema kuwa ni sahihi!??
Vipi kuhusu trade war na China Trump aliishia wapi alipoanza kuropoka ku impose higher tarrifs Kwa China!?
Si aliishia kudumaza uchumi wa USA na kumpa mwanya China kusonga mbele zaidi!??
Eti na wewe msomi unategemewa kwenu looooh!!
 
Tupate matangazo kutoka South Korea!

Troops attempting to enter main parliament hall​




View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1863961943733620953


View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1863966383500886174
 
Kumbuka Ukraine kama Ukraine haijawahi kuwa na siraha za Nyuklia bali zilikuwa ni siraha za USSR na pia yeye kuziachia ndilo lilikuwa sharti la uhuru la sivyo mpaka sasa isingekuwa huru
USSR ni umoja wa nchi za ki Soviet Russia na Ukraine wakiwa sehemu ya umoja huo ulipo sambaratika kipindi cha Gorbachev akiwa raisi wa USSR
Boris yersin na Russia ndiyo nchi ya Kwanza kujiondoa katika umoja huo wakifuatiwa na nchi nyingine nyingi na ya mwisho ni Ukraine Gorbachev alikosa nchi ya kutawala
Kama sasa ikitokea USA ikasambaratika hizo state na maseneta wao wanaweza kujiondoa na tramp akaosa nchi ya kutawala j
Jeshi ilikua la USSR sio la Russia hivyo siraha za nyukiria zilizokua Ukraine zilibaki kua za Ukraine
mpaka huo mukataba Tata wa Minsk ambazo siraha zake za nyukiria alisalimisha
 
Back
Top Bottom