kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Super power anapigwa tafu live na north Korea alafu Kuna watu wanamuona mungu mtu wao 🏃🏃🏃At least thirty North Korean soldiers were killed or wounded during assault operations in Russia’s Kursk Oblast, Ukrainian military intelligence (HUR) claimed on Dec. 16.
Following the attacks that took place on Dec. 14-15 near the villages of Pliekhovo, Vorozhba, and Martynovka, North Korean losses have to be replenished by fresh soldiers from North Korea's 94th Separate Brigade, HUR claimed. Three soldiers also reportedly went missing
Niwe mkweli! Kwa sasa hata sielewi Russia anafanya nini?Russia imeshindwa kuyachukuwa kwa 100% yale majimbo ma4 yaliyofanya referrundum kuwa upande wa russia.
Kila siku tunaletewa story za kukomboa vijiji na vitongoji.
MAisha yakoje kwenye hayo majimbo?
Warussi wanaelewa sana wanachokifanya.Niwe mkweli! Kwa sasa hata sielewi Russia anafanya nini?
Lavrov kwenye interview yake na Tucker Carlson naona naye alikuwa anajitetea tu! Mara ooh watu wanasema mistari mekundu yote Russia aliyoiweka Nato wameivuka, anajinasua anasema tumetuma ujumbe, na ujumbe wetu mpaka sasa umeeleweka.
Ujumbe wenyewe ni ile missile mpya waliyoitumia dhidi ya Ukraine.
Tuwe wa kweli, maamuzi ya Putin yanawàweka Russia kwenye wakati mgumu sana wa kiusalama duniani. Tena sana!
Wamagharibi wapo serious na wanachokipambania, Putin anajifanya ana hekima.
Kwa sasa wapo wakati mgumu sana kiusalama. Wamagharibi wamemwanzishia vuguvugu jengine mlangoni kwake Georgia. Sijui kama ataweza kupigana vita mbili kwa wakati mmoja.
Na Georgia pakinuka ni lazima apeleke idadi si chini ya laki jeshi lake huko kwa sababu kipindi cha Bush alipeleka wanajeshi takribani elfu 60 naaa!
Putin anajifanya master mind, wenzake wanatanua wigo wa kulishughulisha jeshi lake.
Putin kuna mahali anafeli sana! Ijapokuwa watu humu watakataa kwa mapenzi waliyonayo kwa Russia, lakini tufike mahali tùkubali ukweli; Usalama wa Russia kwa hali anayokwenda nayo Putin atautia hatiani.
Itazame movie ya 13 days uone wamarekani walivyo haha baada ya Russia kupeleka nukes zake Cuba baada ya yeye kupeleka zake Turkey.
Ukraine intercepted 12 of the 3 missiles launched...🤣
Nilijiuliza kwa muda kisha nikapotezea!Hii kihasibu imekaaje?
Ushaichoka ardhi ya Ukrein, umeongeza eneo sasa /bwana mtumishi!?Tunasubir Putin atupie hata unyoya kwenye nchi mojawapo mwanachama wa NATO,aache kujificha kwenye kichaka Cha Ukraine, NATO tayari wamembonda,atoe majibu kama alivoaidi 🏃🏃
Warusi wanachinjwa kotekote,huko nyumbani na kwenye battlefield 🏃🏃🏃
Kitendo cha Putin kuivamia Ukraine ilikuwa 'failure' kubwa kwake.Niwe mkweli! Kwa sasa hata sielewi Russia anafanya nini?
Lavrov kwenye interview yake na Tucker Carlson naona naye alikuwa anajitetea tu! Mara ooh watu wanasema mistari mekundu yote Russia aliyoiweka Nato wameivuka, anajinasua anasema tumetuma ujumbe, na ujumbe wetu mpaka sasa umeeleweka.
Ujumbe wenyewe ni ile missile mpya waliyoitumia dhidi ya Ukraine.
Tuwe wa kweli, maamuzi ya Putin yanawàweka Russia kwenye wakati mgumu sana wa kiusalama duniani. Tena sana!
Wamagharibi wapo serious na wanachokipambania, Putin anajifanya ana hekima.
Kwa sasa wapo wakati mgumu sana kiusalama. Wamagharibi wamemwanzishia vuguvugu jengine mlangoni kwake Georgia. Sijui kama ataweza kupigana vita mbili kwa wakati mmoja.
Na Georgia pakinuka ni lazima apeleke idadi si chini ya laki jeshi lake huko kwa sababu kipindi cha Bush alipeleka wanajeshi takribani elfu 60 naaa!
Putin anajifanya master mind, wenzake wanatanua wigo wa kulishughulisha jeshi lake.
Putin kuna mahali anafeli sana! Ijapokuwa watu humu watakataa kwa mapenzi waliyonayo kwa Russia, lakini tufike mahali tùkubali ukweli; Usalama wa Russia kwa hali anayokwenda nayo Putin atautia hatiani.
Itazame movie ya 13 days uone wamarekani walivyo haha baada ya Russia kupeleka nukes zake Cuba baada ya yeye kupeleka zake Turkey.