LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Jenerali wa ngazi za juu katika jeshi la Urusi ameuawa katika mlipuko uliotokea mjini Moscow.
Luteni Jenerali Igor Kirillov, mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Nyuklia, Biolojia, Kemikali (NBC), alikuwa akiondoka kwenye makazi yake mapema Jumanne wakati kifaa kilichofichwa kwenye skuta kilipolipulika, Kamati ya Uchunguzi ya Urusi ilisema.
Iliongeza kuwa msaidizi wa Kirillov pia aliuawa.
Mnamo mwezi Oktoba, Uingereza iliweka vikwazo kwa Kirillov, ikisema alikuwa amesimamia matumizi ya silaha za kemikali nchini Ukraine na alikuwa kiungo muhimu kama "msemaji wa habari za Kremlin".
 
Nimegundua kumbe Ukraine wana uwezo wa kummaliza hata Putin. Ni vile hawataki tu
 
17 Dec, 12:58
Russian forces clear some seven hectares of forest near Kremennaya of Ukrainian troops

Russian Defense Minister Andrey Belousov announced on Monday that 99.3% of the LPR territory had been liberated

LUGANSK, December 17. /TASS/. Russian forces have expanded their patrol zone near the city of Kremennaya in the Lugansk People’s Republic (LPR) in the past few days, military expert Andrey Marochko told TASS.

"Our forces taking part in active military operations have managed to wipe out the front lines of Ukrainian militants and expand their own patrol zone southwest of Kremennaya. Over the past few days, some seven hectares of the Kremennaya Forest have been cleared of fighters. Up to a squadron of enemy troops were killed or wounded and over ten armored vehicles were destroyed," he specified.

Russian Defense Minister Andrey Belousov announced on Monday that 99.3% of the LPR territory had been liberated.

Marochko told TASS on December 3 that Russian troops had to drive Ukrainian forces out of five more settlements in order to take full control of the region. According to the military expert, the five settlements that remain to be liberated are Nadiya, Novoyegorovka, and Petrovskoye in the Svatovsky District, Novolyubovka in the Kremenskoy District, and Belogorovka in the Lisichansky District.
 
16 Dec, 17:19
IN BRIEF: Russian defense minister speaks out on confrontation with West, Ukrainian losses

MOSCOW, December 16. /TASS/.
According to the minister, Ukrainian losses exceeded 560,000 servicemen killed and wounded in 2024, and the enemy lost almost 1 million people over the entire period of the special military operation.
 
Military operation in Ukraine
16 Dec, 17:00
Ukraine's losses, compensations to residents: situation in Russia's Kursk Region

Over the period of fighting in the Kursk frontline area, the Ukrainian army has lost over 41,400 troops, 242 tanks, 182 infantry fighting vehicles, 126 armored personnel carriers and 1,276 armored combat vehicles


MOSCOW, December 16. /TASS/. The Ukrainian armed forces have lost up to 540 servicemen in the Kursk area over the past day, with the total number of enemy losses since the fighting began in the region amounting to more than 41,400 troops, the Russian Defense Ministry reported.

Over 4,300 displaced residents of Russia’s Kursk Region have received compensation for rent for a total amount of more than 145 million rubles ($1,396), Andrey Belostotsky, the region's acting deputy governor, said.
 
16 Dec, 16:44
Drafting 14-year-olds won't help Kiev, Putin asserts

MOSCOW, December 16. /TASS/. The situation on the battlefield will not change even if Ukraine lowers the country’s call-up age to 14, Russian President Vladimir Putin said.

"I think that lowering the mobilization age to 18 would already be a crime. Reducing it to 14, as was done in Nazi Germany with the creation of the Hitler Youth, would be an atrocity. Everybody understands this," he said after a Russian defense ministry board meeting.

He said that he has no doubt that the draft age in Ukraine will ultimately be lowered. "And they will send young boys for slaughter. Just as they are now doing when they catch men in the streets, like stray dogs, to send them to the battlefield to face the bullets via involuntary mobilization, they will do the same with these young boys," he noted.
 
Putin: US Fuels Ukraine Conflict by Sending Mercenaries and Military Advisers.
16.12.2024
MOSCOW (Sputnik) - The United States is encouraging the escalation of the conflict in Ukraine by sending mercenaries and military advisers there, Russian President Vladimir Putin said on Monday.
"In their effort to weaken our country and deliver a strategic defeat, the US continues to supply the regime in Kiev that is in fact illegitimate with weapons and money, while sending mercenaries and military advisers, thereby encouraging further escalation of the conflict," Putin said at an expanded meeting of the of the board of the Russian Defense Ministry.
 
Russian Forces Advance in DPR, Liberate Yelizavetovka and Repel Counterattacks

16.12.2024

Russian armed forces continue their offensive operations in the Donetsk People's Republic (DPR), according to reports from the Russian Ministry of Defense.
Troops of the Yug battlegroup have captured the settlement of Yelizavetovka in the Donetsk People's Republic.
"As a result of decisive actions, the settlement of Yelizavetovka has been liberated," the ministry stated.
The battlegroup also:
Eliminated up to 345 Ukrainian troops
Destroyed two MaxxPro armored vehicles, a Paladin self-propelled howitzer, a D-20 gun and a D-30 howitzer
Eliminated an ammo depot, an Enclave-N electronic warfare station and a US-made AN/TPQ-50 radar
Targeted six Ukrainian brigades near Seversk, Belogorovka and other locations in the DPR
The Vostok Battlegroup continued advancing into the Ukrainian defenses, targeting two mechanized brigades and a territorial defense brigade near the settlements of Razliv, Zelenoye Pole and Vremevka in the DPR. The battlegroup’s forces also repelled three counterattacks by Ukrainian assault groups.
Reported Ukrainian losses over the past day included:
Up to 185 personnel
A German-made Leopard tank
One infantry fighting vehicle
Two armored fighting vehicles
Four motor vehicles
A US-made M777 155mm howitzer
A Bogdana 155mm self-propelled howitzer
A Gvozdika 122mm self-propelled howitzer
The Tsentr Battlegroup also achieved more advantageous positions, striking personnel and equipment from seven Ukrainian brigades and two assault battalions near the settlements of Shevchenko, Shcherbinovka, Novoolenovka, Novopustynka, Petrovka and Dzerzhinsk in the DPR.
According to the ministry, nine counterattacks by Ukrainian forces were repelled. Ukrainian losses included:
Over 440 personnel
Three armored fighting vehicles
One Msta-B 152mm howitzer
Three D-20 152mm guns
Three D-30 122mm howitzers
A Nota electronic warfare station
 
Mzee Putin aendelee vita vyake ktk jina la SMO, aache kulalamika. Kwani wa korea kaskazini wanapigana upande wa Kiev?
 
Uduwanzi kama huu huwezi kusikia NATO waki entertain.

Intuition

Na hiyo ni inside Moscow.

Putin is embarrassingly weak. West wanatageti wata muhimu wa Russia na hakuna kitu Russia anafanya ili waone ni hatari kujaribu tena kitu kama hicho!

Syria washukuru Mungu wameingia makubaliano na magaidi ambao ni vibaraka wa USA, Turkey na Israel n.k

Ambapo mpaka kwa sasa wameachiwa waendelee na makubaliano yao ya base zao kubaki. Hizo base ni njia kuhimu sana kwa Russia kuweza kulinda maslahi yake mashariki ya kati na Afrika.

Ili West wamchanganye Putin wametanua wigo wa matatizo kwa usalama wa Russia: Wametanua Georgia na wakatanua Syria. Kitu ambacho kimemfanya Russia asiwe na uwezo wa kupeleka majeshi yake Syria kwani ubavuni kwake kuna vuguvugu huko Georgia muda si mrefu kunaweza kulipuka na bado anaendelea na SMO yake Ukraine.

Kila mstari mwekundu Putin anaoutamka wanauvuka na Putin yupo kimya anajibu kiuoga.

Nani anayejua sasa hivi watafanya nini? Russia kwa sasa tatizo ni Putin. Ni mlaini sana. Siasa yake na West haina tofauti na CCM na Mbowe.

Hizi kazi za milipuko wanafanya sana M16 na si ajabu idara ya usalama wa taifa wa Ukraine wameshirikiana nao.

Mna kazi ya kung'ang'ania sijui kuna raia jamii ya warusi kule Ukraine na sababu nyenginezo kama hizo!

Ramzan Kadyrov ni nani? Siyo mrusi kwani? Makamanda wake wa kijeshi ni nani kwani siyo Warusi? State of Duma ni nani kwani siyo warusi? Mbona wote walimshauri Putin afanye kama tunachokiona sisi na bado Putin kanywea?

Putin kwa hali iliyofikia sasa hivi kwa usalama wa Russia ni mdhaifu.

Hili ni pigo kubwa kwa Russia.
 
Hii sababu haina mashiko!

Putin alitembelea mojawapo ya kambi za kijeshi huko kwake. Wanajeshi wanaonyesha hawakurudhishwa na sababu ambayo wewe umeishikilia na ambayo Putin aliitoa!.

Wakamuuliza unawachukuliaje hawa watu ni ndugu zetu wakati wanatumia kila hila kuhatarisha usalama wa raia wetu na wa nchi yetu hali ya kuwa tunazonyenzo za kukata mzizi wote wa fitina?
 
Putin aache kulalamika apigane watu tumeshachoka maneno yake!
 
2.Pilli bila shaka anataarifa nyingi kuliko tunavyofikiri - hafanyi maamuzi kwa hisia...taarifa ndo zinafanya wafanye hayo maamuzi.
Suala si taarifa nyingi, suala unao uthubutu wa kufanya?

Nenda kasome cold War uone Nikita Khrushchev alichukua maamuzi gani?

USA wameizingira Cuba na Russia meli yao inapita USA wanaizuia. Makamanda wa Russia wanapewa amri wapite hivyo hivyo na watu wamepita.

Dmitry Anatolyevich Medvedev alitoa misimamo gani wakati hii Operation inaanza? Kwa kuangalia tu unadhani kama angelikuwa rais wa Russia hawa manazi wa Ukraine na West wangethubutu kuichezea Russia kama wakati huu wa Putin?
Ofcourse warusi hawaogopi! Ila Putin ndiye anayeogopa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…