kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Wapeleke vikosi haraka, Russia sio Iraq.🚨🇺🇸 JD VANCE WARNS PUTIN: ‘SANCTIONS OR MILITARY ACTION’ IF UKRAINE WAR CONTINUES
Vance made it clear that all options, including troop deployment, are on the table if Moscow doesn’t act in good faith.
Wapeleke vikosi haraka, Russia sio Iraq.
Russian forces recently advanced in Kursk Oblast and near Borova, Siversk, Toretsk, Pokrovsk, and Kurakhove.Vip huko pokrovsk bibie, mbona huleti updates
Thursday 13 February 2025 18:24, UKhizo zinazoitwa negotiations kati ya urusi na Ukraine Kuna mtego mkali mno
Yaani wewe Mtanzania kutoka Kazuramimba unayajua yote hayo halafu wataalamu wa Intelejensia pale FSB wasijue? Hii ni hatariKuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.
WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
Safari hii WH inaendeshwa kihuni. Kauli zinapishana wakati wowote. Na kugeuzwa wakati wowote. Sera ya nje ya Marekani haieleweki tena.=================
Trump ana mikwara kweli kweli
Huyu Mzee atawapa wakati mgumu mno washirika wa Marekani wa Ulaya magharibi na wale wa nchi kama Japan.Trump ameshangaza sana. Anaitisha mazungumzo ya kutisha vita kati ya Russia na Ukraine halafu yeye na Waziri wake wa Ulinzi wanatangaza kabisa matakwa ya Russia ambayo lazima yakubaliwe - kabla mazungumzo hayajafanyika! Na bila kushauriana na wadau: Ukraine, NATO na EU. Sio kawaida ya viongozi wa US.
Haaaa T14 Armata analima matikitimaji.Boris Johnson popote alipo, hatamani kabisa kunyanyua sura yake. Hiyo ndiyo Amerika tuliyowaambia sasa!
Wapi T14 Armata ??? Au kuna shida ya mtandao huko ulipo???
Hapa ndipo watanzania wanaponiacha hoi. Yaani mtanzania asiye na ujuzi wowote wa masuala ya usalama na ujasusi unaijua mipango ya US, NATO na Wayahudi ila majasusi wa Russia walivyovilaza hawajui chochote?Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.
WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
Hapo kwenye Russia, weka Ukreni. Mkuu, mnadaiwa bilioni ngapi hadi sasa?America hawezi kumpa Russia " free lunch"
Kwani ni rasilimali gani pale inayosababisha vita pale middle, maana hili swali kama unafuatilia Geo politics ni very lame queastion na inatakiwa liulizwa na immature,Unaijua Israel? Nitajie utajili wa madini na maliasili nyingine walizobazo
Nadhani tuzingatie taarifa ya usomaji,Safari hii WH inaendeshwa kihuni. Kauli zinapishana wakati wowote. Na kugeuzwa wakati wowote. Sera ya nje ya Marekani haieleweki tena.
Natumaini tu kuwa Vance ataendelea kuwa loyal kwa Trump kipindi chote. Vinginevyo itakuwa tabu sana kwake. Aliwahi kuwa mpinzani wa Trump kiasi kwamba wengi walishangaa alipochaguliwa kuwa mgombea mwenza wake. Jamaa yuko more polished, more diplomatic. Sio kama kina Musk, Hegseth, Gaetz na Trump mwenyewe.
Trump ameshangaza sana. Anaitisha mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Russia na Ukraine halafu yeye na Waziri wake wa Ulinzi wanatangaza kabisa matakwa ya Russia ambayo lazima yakubaliwe - kabla mazungumzo hayajafanyika! Na bila kushauriana na wadau: Ukraine, NATO na EU. Sio kawaida ya viongozi wa US.
Mkuu, mazungumzo na mashauriano yalishafanyika kitambo sana tangu mwaka jana Trump aliposhinda uchaguzi (na hata kabla ya uchaguzi maandalizi ya msingi yalikuwa yameshafanyika).Trump ameshangaza sana. Anaitisha mazungumzo ya kusitisha vita kati ya Russia na Ukraine halafu yeye na Waziri wake wa Ulinzi wanatangaza kabisa matakwa ya Russia ambayo lazima yakubaliwe - kabla mazungumzo hayajafanyika! Na bila kushauriana na wadau: Ukraine, NATO na EU. Sio kawaida ya viongozi wa US.