Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imperialism amna cha bure⚡The US is seeking to own 50% of Ukraine’s rare earth minerals in a proposal presented to President Volodymyr Zelenskiy as part of a partnership accord between the two countries, NBC reported.
Hahahahaaaa zelensk alienda kuomba msaada kwa simba mwenye njaa acha wamnyonyoe. Na hapo bado EU hawajataka walipwe dola billion 100 waliyomkopesha kugaramia vita mbona atajuta. Hiyo vita itamtia hasara kubwa.⚡The US is seeking to own 50% of Ukraine’s rare earth minerals in a proposal presented to President Volodymyr Zelenskiy as part of a partnership accord between the two countries, NBC reported.
Kuna namna nyingine West wanataka ku deal na Russia. Kumaliza vita na amani iwepo halafu kumuaminisha Putin kuwa mambo yamekaa sawa ikiwa ni pamoja na kutembeleana. Baadae tutasikia Putin anaumwa na kuanza kuipambania Afya yake kwa muda tu na itafikia kipindi hataweza kumudu shughuli za kuendesha serikali, kazi zitafanywa na waziri mkuu. Baadae Taifa litatangaziwa kuwa jamaa Mwendo kaumaliza. Russia 🇷🇺 itaingozwa na mtawala mwingine atakayekuwa na msimamo wa wastani.
WAYAHUDI NDIO WANAOIONGOZA MAREKANI NA MYAHUDI HAJAWAHI KUSHINDWA.
Oy nyie Wamarekani wanaiogopa Urusi vibaya. Muda wote⚡U.S. Vice President J.D. Vance:
Russia is not the main threats to Europe, the danger is within itself.
kp kipanya44 upo??U.S. Vice President JD Vance warned of sanctions and military action to push Putin into a Ukraine peace deal
Huyu sasa nahisu anataka kuchanganyikiwa, hata Ulaya hakuna nchi yenye hizo fleet ya 160 at per,⚡Zelensky:
"If we have 150-160 F-16 aircraft, plus 25 Patriot systems, then we are ready for a peacekeeping contingent exclusively of Ukrainians."
Naona Avatar yako inasema Zero 2 Hero. Nadhani bado unakwamia kwenye hiyo Zero.Hapa ndipo watanzania wanaponiacha hoi. Yaani mtanzania asiye na ujuzi wowote wa masuala ya usalama na ujasusi unaijua mipango ya US, NATO na Wayahudi ila majasusi wa Russia walivyovilaza hawajui chochote?
Kwani walikua wanasaidiwa na USA?⚡Ukrainian President Zelenskyy said Friday that it would be “very, very, very difficult” for Ukraine to survive without U.S. military support, both now as it tries to repel Russia's invasion and in the future after the war ends.
"Probably it will be very, very, very difficult. And of course, in all the difficult situations, you have a chance. I don’t want to think about fighting against Russia without American support." Zelenskyy said.
Watu wanaishi kwa kukariri sana,walipoona Iraq na Libya zimepigwa wakadhani warusi nao watapigwa.Mliambiwa Russia ni war machine mkakaza shingo, ona sasa mnakosa maneno ya kuwaambia wananchi wenu.
Dah Ukraine!⚡The US is seeking to own 50% of Ukraine’s rare earth minerals in a proposal presented to President Volodymyr Zelenskiy as part of a partnership accord between the two countries, NBC reported.
Hii taarifa ni ya mwezi Januari, 2025 ndio aliitoa Bw. Vance Makamu wa Rais wa Marekani. Ukiisikia hotuba ya Vance jana kule Munich utazimia. Jamaa amewabwatukia EU mpaka hawana hamu tena na Marekani. Baada ya kumaliza kuwachamba EU. Bw. Vance alimgeukia Zelensky naye amepewa maagizo yakutosha. Kwa muhtasari EU wamesema wanataka wajipange upya na waache kumtegemea Marekani.Loading…
english.nv.ua
Ha ha ha ha haaa,aaaaha ha aa haaaAnazidi kupagawa! Kinachofuata ni................
Volodymyr Zelenskyy: Ukraine's president calls for creation of 'armed forces of Europe' amid fears of reduction in US support
The Ukrainian leader's comments follow US President Donald Trump saying he didn't see any way "that a country in Russia's position" could allow Ukraine to join NATO.
Saturday 15 February 2025 12:25, UK
![]()
Volodymyr Zelenskyy: Ukraine's president calls for creation of 'armed forces of Europe' amid fears of reduction in US support
The Ukrainian leader's comments follow US President Donald Trump saying he didn't see any way "that a country in Russia's position" could allow Ukraine to join NATO.news.sky.com
14 Feb, 2025 21:09
![]()
Zelensky refused to sign rare earths deal with US – media
US President Trump has said he wants access to Ukraine’s natural resources in exchange for the aid providedwww.rt.com