🤣🤣🤣🤣JD ni mchonganishi sana, ukiangalia kiundani yeye ndo kama amesababisha hii vita ya leo, Trump kama alikua na staha fulani ya kiutu uzima ila Vance alikua anajitahidi sana kumchokonoa Zelensky mpaka nae busara ikamshinda akaamua kuanza kuropoka, na upande wa pili alijua kabisa kuna vitu akiongea lazima mashetani ya bosi wake yapande.
Unaweza sema walipanga makusudi kuionesha dunia Zelensky ni mtu wa aina gani make kete zilikua zinasukumwa kwa akili nyingi si mchezo.
Huu ni mwendelezo wa propaganda,mithili ya zile zinazodai urusi aliondoka Kiev Ili kuonesha Nia njema.., kumbe alipewa kipondo akakimbia 🏃🏃Alibakia baada ya waziri mkuu wa Israel kuongea na Putin akamuomba Putin amhakikishie kwamba hatomuua Zelensky, baada ya Putin kutoa hiyo commitment ndio Zelensky akaanza kiburi kwasababu anajua Putin ni mtu wa kuheshimu kauli.
Hakuna huruma kwenye vita, Urusi hata yeye anahofia "retaliation" itakayofanywa kwake its either akubali moja apige Ukraine apoteze sehemu kubwa ya uchumi wakeUnachosema Mkuu Hammaz ni kweli Kuna watu au vi nchi vinakera,lkn nahisi ni undugu TU baina ya watu wa Urusi na ukraine ndio umeepusha haya maaangamizi.
Sio wewe TU unaona hivyo,
Kuna mijitu huko Moscow ilikua inampa Presha Putin achukue maamuzi kama Yako, nadhani nafasi ikawa inamsuta kuua halaiki ya watu Kwa mara moja sio jambo Dogo.
Kuna Li Bunge limoja huko Urusi liliwahi kumwambia Putin apige makombora kwenye makambi ya NATO huko Ulaya kwa sababu ndio wanampa kiburi Ukraine.
Sasa hebu fikiria jitu kama hilo ndio lingekua li Rais la Urusi.
Watu wengi humu walikua wanabisha kua Urusi inaidekeza Ukraine lakini Trump kapasua jipu kama tulivyokua tunawaambia kua Urusi inaipiga Ukraine Kwa huruma,ingeamua siku nyingi Kiev ingeshapotea,na Jana kasema bila wao USA siku nyingi Ukraine ingeshaangukia mikononi mwa Urusi.
Ha ha haa,Dah,Kuna mijitu Moscow Ina usongo hatari.Kuna limoja huko huko MOSCOW lilishauri SOYUZ ijazwe milipuko ya kutosha ishushwe hapo KIEV
Ukraine ni wajinga sana,hawakuweza kusoma alama za nyakati kua utawala wa USA hubadilika Kila baada ya miaka minne?
Wao walijiona kama Jimbo la USA nje ya Amerika wakapigana na jirani Yao Kwa jasho na damu ili kuwafurahisha wamarekani.
Leo kaja rais mwingine USA Hana interest na vita hiyo.
Safi sana,naomba hii ifanyike kwa vitendo ili vita iishe na watu waache kufa.
Ajabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩
Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili! Ikuumbukwe hii vita ni ya kuanzia mwaka 2014🏃🏃🏃🏃
Dah andiko hili Lina ubunifu mkubwa. Sana,maneno machache TU lkn mazitoo mno.Amini usiamini, Zelenskyy ana mabwana wawili Marekani - bwana wa kwanza ni yule aliyemwambia apigane vita na Russia, bwana wa pili ni huyu anayemwambia asitishe vita mara moja.
Hawa wawili wako active na wanampa pressure kubwa sana jamaa hadi anashindwa ashike lipi, aache lipi.
This is always the price of being a puppet state.
Kabisa Yani.Huko MOSCOW kuna vichwa tenge vikipewa urais dunia itachafuka
Trump amekua ni Kwa faida ya zelensky na Ukraine yake.Ajabu ni kuwa na nyinyi Leo mnaendeleza huo ujinga kwa kufurahishwa na trump😍🤩
Mnaweza kuona miaka 4 mingi lakini mambo yanaweza kwenda hivihivi mpaka muhula wa Trump ukaisha kisha akaja kiongozi mwingine pro-kyiv haswa,nani alitegemea Biden ataondoka Whitehouse na kuacha vita hii ikiendelea!?., nadhani hakuna binadam wa kawaida alitegemea hili!
Mna hasira sana. MkomeLoosers ya nyoko
Ndoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁Trump amekua ni Kwa faida ya zelensky na Ukraine yake.
Wala Trump Hana msaada wowote kwa Urusi.
Urusi haisumbuliwi na binadamu yoyote wa USA atakae kua Rais wa USA.
Urusi imeweza kuwafanyia ujeuri Marais wote wa USA tokea Putin akiwa madarakani.
Tuachane na habari za zamani USSR ilipozivamia chekoslovakia na Afghanistan.
Tuangalie Putin TU alivyowatesa Marais wanne wa USA.
Urusi iliipiga Georgia na kukomboa majimbo ya Southern Ossetia na Abkhazia bush akiwa Rais.
Urusi ilichukua Crimea Obama akiwa Rais.
Urusi inaipiga Ukraine na imechukua Donbas Biden akiwa Rais.
Urusi inaendelea kuipiga Ukraine na kuchukua maeneo zaidi Trump akiwa Rais.
Tumsubiri nani aje kua Rais wa USA ndio ataidhibiti Urusi labda.?
Tuambie.
Nakupa miezi kadhaa asipochutama yatamkuta ya Sadam HZelensinky ni jasiri haswa,kwa Jinsi anavomvimbia Putin..,na kwa Jinsi alivowavimbia Trump na makamu wake hapo Jana inaonesha kabisa jamaa Hana chochote Cha kumtisha chini ya jua🏃🏃
Oia Philippines wasome upepo vyema, waueleweTAIWAN nawaita tena.
Pataneni na ndugu yenu muwe kitu kimoja.
Xi akimuhakikishia tu Trump atarudi kuwekeza Marekani biashara ya microchips ambayo Trump anailalamikia Taiwan mpaka leo na wakaweka sawa mambo mengine kadhaa kati yao mtaenda na maji hamtakaa muamini.
Pataneni muishi kwa umoja.
Hamtopata ishara nyingine zaidi ya hii.
Kwenye hii vita Zelensky amefaulu sana kwa kupoteza zaidi ya 20% ya nchi yake na amefaulu sana kwa kupoteza rasilimali zilizoko Donbas na soon anaenda kufaulu kwa kupoteza madini yaliko kwenye maeneo ya Ukraine yaliyobaki chini ya UkraineNdoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁
Hivyo mpaka hapa Putin kafeli.., kutoka kuiteka Ukraine ndani ya siku 3 mpaka mwaka wa 4 Sasa🏃🏃
Kumbe wewe ni msomaji wa ndoto.Ndoto ya Putin ilikuwa ni kuiteka Ukraine ndani ya siku 3..,kama ulingalia mkutano kati ya zelensinky na trump wote wakikubaliana katika hili,Tena Trump alienda mbele zaidi na kusema huenda hata siku 3 zisingefika😁😁
Hivyo mpaka hapa Putin kafeli.., kutoka kuiteka Ukraine ndani ya siku 3 mpaka mwaka wa 4 Sasa🏃🏃
Kwenye hii vita Zelensky amefaulu sana kwa kupoteza zaidi ya 20% ya nchi yake na amefaulu sana kwa kupoteza rasilimali zilizoko Donbas na soon anaenda kufaulu kwa kupoteza madini yaliko kwenye maeneo ya Ukraine yaliyobaki chini ya Ukraine