LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huko Syria Wayahudi na wamagharibi wanazidi kufanikisha malengo! Israel inazidi kumega ardhi ya Syria , AlGholani anaangalia na kuwachekea. Tofauti za kidini nazo on peak Kila kundi bunduki mkononi, Kuna wale ASSADISTS, wasunni nk .. Assadist wanataka kuuangusha utawala huo coz unawachekea Israel wanaomega Ardhi Yao ovyoovyo. Sunni wafia dini rafikizo Israel na West wanatetea dini na kumtetea Israel chini ya command za AlGholani. Rasmi Syria Iko vitani Tena wenyewe Kwa wenyewe
 
Bado nauona udhaifu mkubwa wa NATO west wote pamoja na nyie mashabiki wao.
Nyie mnataka na mnafurahi kweli kweli Ukraine akisaidiwa na mnasema Ukraine ana allies lkn hamtaki kabisa kuona Urusi akisaidiwa na mnasema Urusi Hana allies.

Hapa umetaja kua Urusi kasaidiwa drone toka Iran na askari toka Korea kaskazini.
Wakati askari wa Korea kaskazini wameingia Urusi oktoba 2024 vita ilianza Feb 2022 .

Iran yeye Katia drone TU hakuna silaha nyingine alizotoa.

Lakini Ukraine wamepewa Kila aina ya silaha unayoijua na usiyoijua wewe hapa duniani kutoka nchi zaidi ya 57.

Ok tufanye kua Urusi nayo imesaidiwa sana tuangalie nani amesaidiwa sana?

Misaada ya silaha na wanajeshi kwa Urusi
Iran _drone
Korea kaskazini _askari 13000
Isaada ya silaha na wanajeshi kwa Ukraine:
USA _
UK _
France_
German _
.........
.........
.......

The deadly​

consequences​

of misclassifying​

foreign fighters​

in Ukraine​

estimated 20,000 foreign fighters from 52 countries participating directly in the Ukraine hostilities is not just a question of semantics. Misclassification can have profound life-or-death implications, as several foreign fighters enlisted in the Ukrainian International Legion of Territorial Defence discovered.
Ten foreign fighters from the United Kingdom, Sweden, Morocco, the United States and Croatia, whom Russian authorities controversially predetermined to be mercenaries, were taken captive in Mariupol.


Southeast Asia’s Soldiers of Fortune in the Russia-Ukraine War​

Are Southeast Asians fighting in the Russia-Ukraine War?
According to Russia’s Ministry of Defence, the answer is yes. Last week, it published a list of alleged foreign mercenaries fighting in Ukraine’s armed forces.
The list, broken down into regions and countries, claimed that since the conflict began on 24 February 2022, 13,387 foreigners had taken up arms on behalf of Ukraine and that 5,962 had been “eliminated” (presumably killed or seriously wounded).
Among the 88 countries, three Southeast Asian states appear: the Philippines (17 volunteers, two “eliminated”); Indonesia (ten volunteers, four “eliminated”); and Thailand (three volunteers, one “eliminated”).
 
Achana nao hao mkuu
Wanaposema Russia imesaidiwa ndio maana wameshinda au wanaelekea kushinda wapo sawa tu.
Kwani hii inamaanisha upande wa Russia na washirika wake ndio wababe wa Dunia against Marekani na washirika wake.
Kwa ujumla Huwa wanakubali kiaina kuwa Upande wa Russia ndio wababe wa Dunia.
 
Kweli kabisa Mkuu.
Hii ni sawa na kusema kua kambi mbili zilikua zinapigana,kambi ya Urusi yenye nchi 3 TU ndio imeishinda kambi ya USA yenye nchi 59.
 

Russian forces strike mercenary concentrations, airfields in western Ukraine — expert​

LUGANSK, March 7. /TASS/. Russia targeted training areas for mercenaries and airfields as it launched attacks in western Ukraine overnight, military expert Vitaly Kiselyov told TASS, citing data from underground resistance.
Air raid sirens sounded across Ukraine in the early hours on Friday. While an air raid alert lasted almost 3.5 hours in the Ternopol Region, explosions were reported in Ternopol, Ivano-Frankovsk, and other western Ukrainian cities.
"Ivano-Frankovsk, Lvov, and Ternopol are key cities for mercenaries, mostly from Poland, France, and Great Britain. The area is a strategic point between Poland and [the zone of] hostilities where ordnance is being supplied to, and there are also training facilities there," the expert explained. Among other targets, ammo depots and a train station where combat vehicles were parked were struck, Kiselyov said, citing partisans.
In addition, airfields with concentrations of NATO-standard and Soviet-made warplanes were hit, according to the expert.

Kiselyov did not rule out that more strikes on concentrations of Ukrainian military hardware and troops deep behind enemy lines will be delivered. These, he said, will contribute to the advance of Russian forces on the battlefront.
 
Iran imeipa Urusi drone na wenyewe imepewa ndege za su35 sasa niambie ninani kafaidika zaidi na hii biashara?
Kwa hiyo wewe mmatumbi ndio ntaalamu wa kujua aliyefaidika zaidi kwenye hiyo biashara!?
 
Ukraine has received 752 million pounds ($970 million) as the first installment of the U.K.'s contribution to the G7 loan covered by frozen Russian assets, Prime Minister Denys Shmyhal announced on March 7.
 
Germany should reduce its dependence on U.S. defense manufacturers amid shifting political signals from Washington, the CEO of Airbus Defense and Space, Michael Schollhorn, warned in an interview with Augsburger Allgemeine, published on March 7.
 
President Volodymyr Zelensky's approval rating has risen to 68% following his heated exchange with U.S. President Donald Trump, according to a poll by the Kyiv International Institute of Sociology published on March 7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…