Bugucha
JF-Expert Member
- Jan 3, 2020
- 3,374
- 13,922
Ww una post nini jamaa,unasikia wameombewa msamaha huko na Trump?!🤣🤣🤣🤣🇷🇺🇷🇺🇷🇺Jamaa wanazidi kuchinjwa tu 🥱 🥱 😢 😢 View attachment 3268719
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww una post nini jamaa,unasikia wameombewa msamaha huko na Trump?!🤣🤣🤣🤣🇷🇺🇷🇺🇷🇺Jamaa wanazidi kuchinjwa tu 🥱 🥱 😢 😢 View attachment 3268719
Kursk ilikuwa last card ya zelensky,kuanguka kwake maana yake Ukraine Hana la kufanya zaidi kuweka silaha chiniKumbe anataka wa Kursk peke yao ndo wasarende, nikajua askari wote wa Ukraine
Watu wanasahau kilichomkuta Hitler Kursk wanarudia Yale yaleNi mwendawazimu pekee anaweza vamia na kukalia eneo la Nchi kama russia au US ategemee kuenjoy na kuvimba ,Russia ana ana endesha vita pole pole sanaa anacho kifanyw saiv ni kama kuongeza speed kidogo kuwaonyesha West
Kutoka kuwa heroes mpaka kuombewa msamaha🇷🇺🇷🇺💪Trump amemuomba Putin wasiwaue wa Ukraine waliokuwa surrounded huko kursk
Ukraine ameshapata medali zake muhimu alizokuwa anafukuzia kwa udi na uvumba
1.resume flowing of military aid
2.intelligence sharing from USA
3.Access to satellite images
Kwa Ukraine hata akipigana miaka 10 hii si tatizo kwake, sanasana urusi atazidi kupoteza ushawishi kama alivofurushwa huko syria
Mkuu hao mateka waletwe huku kasungamile tuna kazi nao ya kulima majaruba yà mpungaOy mpaka trump kuigilia kati kwamba wavamizi wa Kursk waonewe huruma hali sio shwari inavyoonekana. From heroes to zeroes.
Shhhh...!!!! Ukraine is winning, Russia is using DIsh washers and washing machines chips from west , shovels and spade and are running out of food and arms
Ukiweza hii kitu... utaendelea sana kwenye maisha yako! 'Ignore and override'Hili jukwaa linakuzidi uwezo. Unatumia lugha yenye kuleta kinyaa bila sababu yoyote. Nadhani uandishi wa namna hii unatokana na malezi mabovu uliyopata utotoni. Nadhani lugha kama hiii ilikuwa ni sehemu ya maisha yako. Fanya jitihada ujikomboe. Jukwaa hili ni la great thinkers wenye hoja za maana, na si kutuletea lugha za uwanja wa fisi.
Hapo kisungamile siku hizi mna Lima mpunga ? Nataka nimuombe Putin asiwaue wake huko majarubaniMkuu hao mateka waletwe huku kasungamile tuna kazi nao ya kulima majaruba yà mpunga
Mawasubiria hapa Ibondo na NayamililoPutin awalete huku hao mateka wa kivita waje kasungamile sengerema tuna kazi nao ya kulima majaruba ya mpunga
Oh maskiini poleni sana Ukraine Kwa kudanganywa na kujaribu kupigana na kuingia katika Moja ya nchi zenye ardhi ya moto kuliko zote duniani. Ardhi ya warusi. Hapo Russia walishindwa wafaransa baadae wajerumani na Leo pia Ukraine wataumia vibaya. Ila nwape pia hongera Kwa moyo wa kujaribu kuingia ndani ya mdomo wa mamba Kwa kufikiri mamba ni Mzee hawezi kutafuna TenaMedvedev hua hacheki na wowote.
Ukrainian troops in Kursk Region will be destroyed, if refuse to surrender — Medvedev
MOSCOW, March 14. /TASS/. The Ukrainian soldiers in the Kursk region will be ruthlessly destroyed, if they refuse to lay down their arms, said Dmitry Medvedev, Deputy Chairman of the Russian Security Council.
Earlier, Russian President Vladimir Putin told the Security Council that Ukrainian militants who lay down their weapons near Kursk would be guaranteed life and decent treatment.
"This is a very humane approach by our country, but for the Ukrainian Nazis, there is also a flip side—should they refuse to lay down arms, they will all be systematically and mercilessly eliminated," he wrote in his Telegram channel.
He noted that the coming hours will show whether the Kiev regime will use the chance to save its soldiers.
On March 13, Putin said Russia was in full control of the situation in the Kursk Region, and a group of Ukrainian solders was in complete isolation. On March 12, he visited one of the command posts of the Kursk group of the Russian army.
A massive attack by the Ukrainian army on the Kursk Region began in August, 2024. According to the General Staff of the Russian army, more than 86% of the area occupied by the Ukrainian army has already been liberated. Residents are being evacuated from the liberated Sudzha. In some sections of the border, the Russian army entered the Sumy Region. According to the Russian Defense Ministry, since the beginning of hostilities in the Kursk area, the enemy has lost more than 67,000 troops.